-->

Daily Archives: April 25, 2016

Amanda Asubiri Ndoa Amuanike Hubby Wake

Post Image

Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa amejifunza kuwa msiri kwenye uhusiano wa kimapenzi na sasa atamuanika mpenzi wake atakapokaribia kufunga ndoa. Akipiga stori na Ijumaa Amanda alisema kuwa, siku hizi amekuwa hapendi kuweka wazi kajiweka kwa mwanaume gani kutokana na historia ya maisha yake ilivyoathirika kwa kujianika. “Yaani mtu […]

Read More..

Diamond Afungukia ‘Reality Show’ Ya...

Post Image

Inawezekana wasanii wakubwa kutoka nchini Nigeria, P.Square ambao sasa hivi wako nchini South Africa wakishoot video ya ngoma mpya ya Diamond wakaonekana kwenye ‘reality show’ ya huyo ambayo itaanza kuonekana hivi karibuni,kwenye moja ya post zake kwenye page yake ya ‘Instagram’ aliandika kuwa shoo hiyo sio ‘kireality show’ bali ni ‘reality show’. ‘’Nikisema sio kireality […]

Read More..

Uzinduzi wa Tanzanite International Film Fe...

Post Image

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye Jumapili hii mkoani Arusha amezindua tamasha kubwa la Kimataifa la Filamu, ‘Tanzanite International Film Festiva’. Waziri Nape aliwaambia wadau na waigizaji wa filamu waliohudhuria uzinduzi wa tamasha hilo, kuwa hii ni moja ya hatua kubwa kwenye historia ya filamu nchini na kuahidi Wizara yake itaendelea kutoa […]

Read More..

Sijawahi kuwa na Mahusiano na msanii Lady J...

Post Image

JayDee ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa papo wakati akizindua video ya NdiNdiNdi kwenye kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV.   Katika uzinduzi huo msanii huyo aliweka bayana kwamba ameandaa albam nzima ambapo ameanza kutoa single ya NdiNdiNdi na nyingine zitaendelea kutoka. Aidha amewashukuru watu wote ambao wanaendelea kumuunga mkono katika kazi zake […]

Read More..

Jide: Ray C Anahitaji Marafiki Sahihi

Post Image

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ a.k.a Jide, amesema msanii mwenzake, Rehema Chalamila, anahitaji marafiki sahihi ambao watamsaidia katika kipindi hiki kigumu. Ray C ambaye amewahi kujihusisha na madawa ya kulevya, kwa sasa ameripotiwa kurejea kwenye matumizi hayo huku mara kadhaa ikiripotiwa kuwa mrembo huyo aliyekimbiza na Kibao cha Na Wewe […]

Read More..