-->

Daily Archives: November 2, 2016

Weusi Kuja na Studio Pamoja na Ofisi

Post Image

Kundi la Weusi limedai kuwa na mipango ya kutengeneza studio yao pamoja na kujenga ofisi. Wakiongea na Planet Bongo ya East Africa TV baadhi ya wasanii wanaounda kundi hilo akiwemo Nick wa Pili, Joh Makini na G-Nako wamesema kuwa wapo kwenye mipango ya kutengeneza studio yao na ofisi kwa pamoja. “Tuna mpango wa kuwa na […]

Read More..

Dr Cheni Aachana na Bongo Movie Kwasasa, Hi...

Post Image

Staa mkongwe wa Bongo Movie, Dr Cheni  amefunga kuwa kwasasa hata cheza tena filamu hadi pale serikali itakapo hakikisha kuwa filamu zao zinalindwa dhidi ya wizi wa kazi zao. Akiongea na Enews ya EATV, Dr Cheni alisema kuwa usalama wa kazi zao ndiyo tatizo kwenye tasnia ya bongo movie “ Siwezi kutoa tena filamu hadi […]

Read More..

Lulu Diva Afingukia Kitendo Kinachomuumiza ...

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva,’ amefunguka kuwa katika maisha yake hata siku moja hawezi kusahau jinsi alivyolazimika kugawa penzi kwa mzee, kisa pesa za kumtibisha mama yake mzazi ambaye alikuwa anaumwa hoi! Akichonga na Risasi BMM, Lulu aliongeza kuwa wakati akifanya tukio hilo alikuwa ni msichana mwenye umri wa miaka […]

Read More..

Lady Jaydee Apatikana na Hatia, Kesi Yake n...

Post Image

Mahakama ya wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, imemkuta na hatia ya Judith ‘Lady Jaydee’ Wambura katika kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Clouds Media Group miaka takriban mitatu iliyopita. Hukumu hiyo imetolewa Jumatano hii (November 2) na Hakimu Boni Lyamike. Katika kesi hiyo, Lady Jaydee alifunguliwa mashtaka na Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Joseph Kusaga […]

Read More..