-->

Daily Archives: November 13, 2016

Rapper wa Kike Chemical Adai Hajawahi Guswa...

Post Image

Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la “I’M SORRY MAMA” mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu azaliwe). Chemical ameongea hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha D’WIKEND CHATSHOW kinachorushwa kupitia clouds tv. Chemical ameongeza, licha ya kuwa bikira hajawahi kujihusisha na mapenzi ya […]

Read More..

Wema Sepetu: Munalove ni Mshamba

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambae kwa sasa ametibuana na aliekuwa rafiki yake Munalove amesema kuwa Muna ni msamba. Akihujiwa na e newz juu ya  bifu lake na Muna, Wema alidai kuwa  Kudai kuwa yeye huwa hadeal na washamba akaongeza kusema kuwa urafiki na Muna ulikuja akijua Muna ni Mshamba lakini alikubali kuweka […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Sababu ya Kufanyakazi ...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa amerudi kwenye game na kolabo ya wimbo wa ‘Kajiandae’ aliyofanya na Alikiba tena, ametoa sababu ya kuamua kufanya tena kollabo na msanii huyo. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television na East Africa Radio, Ommy Dimpoz amesema mara ya kwanza alivyofanya kollabo ya Nai Nai na Alikiba ilikuwa ili […]

Read More..

TID Aituhumu Clouds FM Kuuza Wimbo Zeze Bil...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed aka TID ameingia kwenye mgogoro na kituo cha redio cha Clouds FM baada ya kukituhumu kituo hicho kimejiingizia fedha kwa kuhadaa wao ndio waliotayarisha wimbo wa Zeze. Muimbaji huyo ametoa tuhuma hizo kupitia mtandao wa kijamii wa istagram pamoja na kuweka kielelezo cha kava ya CD ambacho amedai amekipata […]

Read More..