Rapper wa Kike Chemical Adai Hajawahi Guswa...
Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la “I’M SORRY MAMA” mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu azaliwe). Chemical ameongea hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha D’WIKEND CHATSHOW kinachorushwa kupitia clouds tv. Chemical ameongeza, licha ya kuwa bikira hajawahi kujihusisha na mapenzi ya […]
Read More..





