TUZO za EATV: Kwanini Mastaa Wametoswa?
MIONGONI mwa habari zinazobamba kwa sasa katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni pamoja na Tuzo za EATV 2016, lakini kinachozunguka zaidi vichwani mwa wadau ni kutoswa kwa baadhi ya mastaa wengi wa filamu na muziki katika kinyang’anyiro hicho. Tuzo hizo ambazo zinatarajiwa kutolewa Desemba 10, mwaka huu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es […]
Read More..





