Wastara Akiri Sadifa Juma Kumharibu Kisaiko...
STAA mahiri wa Bongo Muvi, Wastara Juma ameibuka na kusema aliyekuwa mume wake wa tatu ambaye ni Mbunge wa Donge, Sadifa Juma, amemuharibu sana kisaikolojia kiasi kwamba anamchukia kila mwanaume anayemweleza kuwa anampenda. Akizungumza na Za Motomoto News, Wastara alisema kuwa huwa hataki hata kuiona kabisa picha ya mbunge huyo, iwe kwenye gazeti, televisheni au […]
Read More..





