-->

Author Archives: editor

Juma Nature Amshushia Lawama TID, Kisa KR K...

Post Image

Msanii wa muziki na kiongozi wa Kundi la TMK Wanaume Family, Juma Nature amemtupia lawama mkurugenzi mkuu wa Rada Entertainment TID kwa tuhuma za kumuaribu KR Muller. KR ambaye zamani alikuwa katika Kundi la TMK Wanaume Family na Juma Nature, aliondoka katika kundi hilo mapema mwaka huu na kujiunga na Rader Entertaiment iliyo chini ya […]

Read More..

Serikali Yakanusha Kuhusu Makamu wa Rais Ku...

Post Image

YAH: KUKANUSHA TAARIFA INAYOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII Ofisi ya Makamu wa Rais inakanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, ameomba kujiuzulu nafasi yake na kwamba taarifa hiyo ni ya uzushi na uongo haina ukweli wowote. Taarifa hiyo ni ya uchochezi inayolenga […]

Read More..

Jux Akiri ‘Kuuzia Sura’ Kutumia...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Juma Jux anayetamba kwa sasa na ngoma yake ya ‘Wivu’ amesema kabla hajafanikiwa kimuziki alikuwa akitumia vitu vya nyumbani kwao kusumbua na kuuzia sura mjini. Jux ameweka wazi kuwa hapo mwanzo alikuwa akitamba mjini kwa mali za wazazi wake ila kwa sasa hawezi kufanya tena hivyo bali anapambana kiume kwa kulipa […]

Read More..

Fella Agonga Mwamba kwa Juma Nature

Post Image

Mkurugenzi wa Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella ameonekana kugonga mwamba juhudi zake za kutaka kurudisha mahusiano yake ya kazi na msanii wake wa zamani wa Kundi la TMK Family, Juma Nature. Hapo awali Juma Nature alikuwa msanii wa Kundi la TMK Wanaume Family la Mkubwa Fella lakini baadae aliondoka na kwenda kuanzisha […]

Read More..

Babu Talent ni Jipu – Nikki Mbishi

Post Image

Rapa Nikki Mbishi maarufu kama ‘Unju’ amefunguka na kusema kuwa meneja wa wasanii Babu Tale ni jipu ambalo Rais Magufuli pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na Michezo Nape Nnauye hawawezi kuliona serikali ya awamu ya tano itakapomalizika. Rapa Nikki Mbishi maarufu kama Unju amefunguka na kusema kuwa meneja wa wasanii Babu Tale ni […]

Read More..

Wasichana Kunigombania Siyo Dhambi – Stev...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai wasichana kugombana kwa ajili ya staa ni jambo la kawaida hivyo yeye ashangai kusikia bado kuna wasichana wanagombana kwa ajili yake. Akiongea katika kipindi cha Uhondo cha EFM wiki hii, Steve Nyerere amedai ameshazoea kusikia wasichana wakigombana kwa ajili yake. “Unapozungumzia kuna watu waligombana kwa ajili yangu, kwangu […]

Read More..

Diamond Platnumz Awavuruga Mashabiki

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ maarufu kama Simba ameachia kipande kidogo cha wimbo ambao ni remix ya ‘All The Way Up’ ambayo na yeye ameshiriki na kuchana katika wimbo huo. Mashabiki wengi wa Diamond Platnumz wamefurahishwa na jinsi msanii huyo alivyoweza kuchana vyema huku maneno yake ya kiswahili aliyoyatumia katika ngoma hiyo […]

Read More..

Raymond Aeleza Sababu ya Kumuimbia Avril Ju...

Post Image

Raymond alisababisha yowe kubwa mwishoni mwa wiki katika show ya WCB mjini Mombasa alipompandisha mrembo wa Kenya, Avril aliyekuwa mmoja wa watu waliohudhuria. Akiongea na Bongo5, Raymond amefunguka; Sikutegemea kabisa kwamba nitamuona Avril katika show , walikuja watu wengi lakini wakati nipo stejini nikaona VIP kama kuna mtu kakaa, kuangalia vizuri nikaona ni Avril so […]

Read More..

Mastaa Walivyoweka Ustaa Pembeni Kwenye Har...

Post Image

INAWEZEKANA huu mwaka ukawa ni mwaka uliovunja rekodi kwa mastaa wengi kuingia kwenye mapenzi ya ndoa. Haina shaka kwa sababu inaonekana wazi wasanii wa kiume wameamua kuoa na wasanii wakike nao wameamua kuolewa. Nyota mbalimbali kutoka kwenye tasnia ya muziki na filamu kama vile Roma, Baghdady, Manecky, Ricardo Momo, Menina, Mr Blue, Masanja Makandamizaji wote […]

Read More..

Harmonize Afunguka Kutomuogopa Raymond

Post Image

Msanii wa kundi la WCB Harmonize amesema kwa sasa hayuko tayari kufanya colabo na kuwapa watu muda wa kuwatengenezea ushindani kati yao.   Akipiga story ndani ya eNews amesema “Colabo ni kubadilishana mashabiki kwa wakati nafanya colabo na Diamond nilikuwa nikilenga kuwa kuna mahali muziki wa Diamond umefika wa kwangu haujafika na pia Diamond ana’hit’ […]

Read More..

Nitafunga Ndoa Januari-Steve Nyerere

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere aliwasurprise baadhi ya wasanii wenzake wa filamu katika harusi ya Shamsa Ford baada ya kutangaza anaoa mwezi januari mwakani. Akitoa neno kwa niaba ya wasanii wenzake katika harusi ya Shamsa Ford iliyofanyika Sinza Afrikasana Ijumaa iliyopita, Steve Nyerere aliwaabarisha wasanii wenzake kuwa ataoa Januari 2017. “Mimi sina maneno mengi […]

Read More..

Shamsa Ford Afunguka Siri ya Kupata ‘Mume’

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye amefunga ndoa na mfanyabishara Chidi Mapenzi wiki iliyopita amefunguka na kutoa chanzo cha yeye kukutana na mpenzi wake huyo ambaye amefunga naye ndoa na kusema chanzo kilikuwa ni chakula. Shamsa ford anasema kuwa siri ya mahusiano aijuae ni Mungu kwani yeye alikuwa anapita karibu kila siku kwenye duka […]

Read More..

Papa Amtangaza Mama Theresa Kuwa Mtakatifu

Post Image

VATICAN: Maelfu ya watu wameshuhudia ibada ya kutawazwa kuwa mtakatifu, Mama Teresa ambaye ametangazwa na Papa Francis leo.   Raia huyo wa Albania ambaye alifariki mwaka wa 1997 alianzisha shirika la hisani la kimishenari ili kuwasaidia walala hoi katika mtaa wa mabanda wa Calcutta nchini India. Atajulikana kama mtakatifu Teresa wa Calcutta. Waandishi wanasema kuwa […]

Read More..

Wahu Ndiye Mke Sahihi Kwangu – Nameless

Post Image

Msanii kutoka nchini Kenya, ‘Nameless’ amemmwagia sifa mke wake ambaye pia ni msanii mwenzake ‘Wahu’ kuwa ni mke sahihi katika maisha yake. “Nina miaka 11 sasa tangu nifunge ndoa na Wahu, naweza kusema kuwa huyu ni mwanamke sahihi kwangu kwa kuwa kila mmoja hakuna ambaye amemtuhumu mwenzake kutoka nje ya ndoa. “Kupendana kunatufanya kila mmoja […]

Read More..

Muonekano ni Dili – Dogo Janja

Post Image

Msanii Dogo Janja amesema saa hivi ana mpango wa kuweka muonekano wake vizuri kibiashara zaidi, ili aweze kuingiza mkwanja mrefu zaidi ya muziki anaofanya. Akizungumza kwenye Planet Bogno ya East Africa Radio, Dogo Janja amesema sasa hivi muonekano wake umebadilika kutokana na kukua, na pia kutokana na jinsi anavyojiweka safi, ili aweze kuvutia makampuni kumpa […]

Read More..

Mwasiti: Nimepania Kuwafunda Mabinti

Post Image

UNAPOWATAJA wasanii wa kike waliowahi kupata majina makubwa katika muziki wa Bongo Fleva, huwezi kukosa jina la Mwasiti Almasi. Mpaka sasa Mwasiti bado anatesa kwenye muziki huo. Mwasiti amewahi kutamba na wimbo wa ‘Nalivua Pendo’ ambao mwaka 2009 ulipata tuzo ya Wimbo Bora wa Zuku Rumba katika Tuzo za Kili. Swaggaz imepata wasaa wa kupiga […]

Read More..

Matatu Kutoka kwa Mwana FA Baada ya Kuoa

Post Image

Miezi kadhaa baada ya kuuaga ukapera, Hamisi Mwinjuma ‘Mwana FA’ amefunguka mambo matatu ambayo hayafanyi tangu ameoa. KUPIGA MISELE “Kwa kweli tangu nioe, imenibidi kupunguza baadhi ya ratiba ambazo zilikuwa zinanichukulia ‘time’ huko nyuma na kunifanya wakati mwingine kuwa nje ya nyumbani. Kwa kuwa mimi siyo mtu wa kujirusha kiivo, suala hili limekuwa rahisi na […]

Read More..

Fella Kumuachia Mikoba Temba

Post Image

Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanae Foundation pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema tayari ameshampata mtu sahihi ambaye atamwachia mikoba yake ya kusimamia wasanii pale atakapostaafu. Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii, Fella amesema amemuandaa msanii wa Kundi la TMK Family, Temba kuwa mrithi wake. “Kusema kweli mtu ambaye nitamwachia kijiti ni Temba, tayari imeshamuandaa vya […]

Read More..