-->

Author Archives: editor

Utajiri wa Nay, Umaskini wa Mr. T-Touch

Post Image

Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ IKIWA humfahamu kwa sura mkali wa midundo Bongo, Thabith Mango ‘Mr. T-Touch’ ni lazima utakuwa unafahamu kazi zake hata kwa kuzisikia tu zikichezwa kwenye vituo mbalimbali vya redio au mitaani. Baadhi ya kazi hizo ni Muziki Gani, Salamu, Akadumba zote alizofanya na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Too Much ya […]

Read More..

Faida za Urasimishaji Tasnia ya Filamu 2015...

Post Image

Na Ignas Mkindi Kabla mnaonishutumu inbox hamjanihukumu niwaeleze nnachoelewa mimi…. Kwa makadirio ya filamu 1329 zilizokaguliwa na kupewa madaraja: 1.Kwa wastani wa filamu moja kuwa na masaa mawili yaani part 1&2, Bodi ya Filamu imeingiza shilingi 159,480,000 kwa ukaguzi na kama walahu robo zilipewa vibali vya kushuti, bodi ilipata tena 165,000,000. Jumla ya shilingi 324,480,000 […]

Read More..

Witness Atoa Sababu ya Kuchora Tatoo Kiunon...

Post Image

Mwanamuziki wa muziki wa kufoka foka nchini Tanzania, Witness, a.k.a Witness kibonge Mwepesi, ameelezea sababu ya kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake wa sasa Ochu Sheggy katika kiuno chake. Akizungumza ndani ya eNewz amesema “Ukiweka tattoo sehemu niliyoweka mimi inazuia hata unapotaka kumsaliti mwenza wako yule unayekuwa naye ina kunyima hamu kabisa na anashindwa […]

Read More..

Darasa Atoboa Sababu za Yeye Kufanya Vizuri

Post Image

Rapa Darasa ambaye kwa sasa anatesa na wimbo wake ‘Too much’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa anafanya vizuri kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia kwenye maisha yake ambazo zimempelekea kufanya kazi kwa kujituma ili asirudi nyuma tena. Darasa anasema moja ya vitu ambavyo vilimpa changamoto ya kupambana ni pamoja na yeye kukosa chakula, sehemu ya […]

Read More..

Mr Blue Afunguka Kuanzisha Ubishoo Kwenye B...

Post Image

Mkali wa wimbo ‘Mboga Saba’ Mr Blue amesema yeye ana mchango mkubwa katika mabadiliko ya muziki wa bongofleva nchini. Akiongea katika kipindi cha Ndoto Kubwa cha Clouds TV Jumapili hii, Mr Blue amesema yeye ndiye msanii wa kwanza kufanya muziki akiwa na swagga. “Mimi baada ya kuingia kwenye muziki kuna vitu ambavyo nilivifanya mimi kama […]

Read More..

Wema na Idris Kama Chris Brown na Karrueche

Post Image

Hii sasa kali, uhusiano wa mlimbwende kwenye tsnia ya Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Mchekeshaji, Idris Sultan umekuwa kama ule wa rapa, Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Karrueche Tran, wazungu wanauiita ‘off and on.’ Baada ya hivi karibuni kuzinguana tena hadi kumfanya Idris ajiondoe Instagram hadi sasa, wawili hao wanaonesha kuanza kutafuta suluhu. […]

Read More..

Vita Hivi ni Vya Kwangu Pekee Yangu- Rado

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu wa kiume  Simon Mwapagata ‘Rado’ ametamba kwa kusema kuwa yeye ndio mpiganaji pekee ambaye anaamini kuwa ataiokoa tasnia ya filamu na kuwa huru kutoka kwa wezi wa kazi zao bila kutegemea msaada kutoka kwa wasanii wenzake wala Serikali kwani vita hiyo ni ngumu na inahitaji uzalendo siyo njaa. “Filamu ni maisha yetu […]

Read More..

Masanja Asimulia Alivyochezea Kifinyo

Post Image

NYOTA wa  vichekesho nchini Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ambaye wiki iliyopita alitawala kwenye vyombo mbalimbali vya habari baada ya kuvuta jiko, mtoto mrembo Monica, amesema kati ya vitu ambavyo hawezi kuvisahau maishani mwake ni pamoja na adhabu ya kufinywa aliyokuwa akipewa na mama yake. Akizungumza na Mtanzania, Masanja alisema kuwa nidhamu aliyonayo hivi sasa imetokana […]

Read More..

Man Fongo Awachimba Mkwara wa Bongo Fleva

Post Image

Kwa kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli, ni wazi kwamba unaelekea kuupoteza muziki wa Bongo Fleva kutokana na kasi ya kuenea kwake hapa nchini, jambo linalosisitizwa na mkali anayetesa katika muziki huo, Amani Hamisi ‘Man Fongo’. Man Fongo ambaye amepachikwa jina la Mfalme wa Singeli, anayesumbua na kibao chake cha Hainaga Ushemeji amesema wasanii wa […]

Read More..

Kajala: Nataka Kuzaa Mtoto wa Kiume

Post Image

“Nahitaji kuzaa mtoto wa kiume ili Pamela naye ajivunie kuwa na kaka, siku zote nilitamani nipate watoto wenye jinsia tofauti, tayari ninaye wa kike sasa ni zamu ya kumpata mwingine wa kiume.” Ni kauli ya Kajala Masanja mwanadada anayefanya vyema kwenye soko la filamu nchini. Kauli hiyo ya Kajala imekuja siku chache baada ya kuulizwa […]

Read More..

Lady Jaydee Atokelezea Kwenye Jarida la Tru...

Post Image

Muimbaji nguli wa muziki Tanzania, Lady Jaydee amekava jarida maarufu la wanawake, mahusiano, maisha na mitindo, True Love la Kenya. Jarida hilo hupatikana Kenya, Uganda, Tanzania na Rwanda. Kwenye jarida hilo la mwezi huu, Jaydee amefunguka kuhusu sababu za kuachana na mume wake, Gardiner G Habash, kutamani kwake kufanya kazi na Usher na kwanini hawezi […]

Read More..

Jux Afungukia Muonekano Wake na Muziki

Post Image

Msanii Jux ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Wivu’ amefunguka na kusema muonekano wake pamoja na mavazi yake yamemsaidia kumuweka mahali fulani katika kazi yake ya muziki.  Jux alisema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa alitambua kuwa muonekano unaweza kumsaidia katika muziki ndiyo maana kabla […]

Read More..

Mtunzi wa Fiamu,Ally Yakuti Adai WalikoseaK...

Post Image

Ameandika filamu zaidi ya 100 zikiwamo maarufu kama Swahiba, Agano la urithi, Yellow Banana, Oprah, Hot Sunday, Family Tears, Fake Smile, Peace Of Mind, More Than Pain, Devil Kingdom na Foolish Age. Huyu ni mtunzi mahiri Afrika Mashariki, Ally Yakuti. Akifanya mahojiano na Starehe Yakuti anayataja mambo manne ambayo kwa njia moja ama nyingine yamerudisha […]

Read More..

‘Bifu’ la Diamond, Kiba Linalipa

Post Image

MOJA ya mbinu inayotumiwa na nyota mbalimbali wa muziki duniani ni ile ya kutengeneza bifu bandia na kuwahusisha mashabiki wao. Mbinu hiyo inasaidia kuuza idadi kubwa ya nakala za kazi za sanaa za wasanii hao wenye bifu. Asikwambie mtu! Hapo ndipo wasanii wengi wanapiga hela. Wakati mashabiki wanatupiana vijembe vilivyojaa kejeli za hapa na pale […]

Read More..

Ukimya wa Tip Top Connection Unaniumiza ...

Post Image

Msanii Kassim Mganga ambaye awali alikuwa ni moja kati ya wasanii kutoka katika kundi la Tip Top Connection amesema ukimya wa kundi hilo unamuumiza na kumgusa sababu yeye bado ni mwanafamilia wa Tip Top Connection licha ya kutofautiana kibiashara. Kassim Mganga akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo alisema yeye bado ni mwanafamilia wa Tip Top […]

Read More..

Huyu Ndiye Man Fongo, Wasanii wa Bongo Flev...

Post Image

KWA kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli, ni wazi kwamba  unaelekea kuupoteza muziki wa Bongo Fleva kutokana na kasi ya kuenea kwake hapa nchini, jambo linalosisitizwa na mkali anayetesa katika muziki huo, Amani Khamisi ‘Man Fongo’. Man Fongo ambaye amepachikwa jina la Mfalme wa Singeli, anayesumbua na kibao chake cha Hainaga Ushemeji amesema wasanii wa […]

Read More..

Nay wa Mitego: Siwezi kurudiana na Siwema, ...

Post Image

Rapa wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nay wa Mitego amesema hana ndoto za kurudiana na mwanamke yeyote kati ya aliwaowahi kuwa nao katika uhusiano wa mapenzi. Nay alisema iwapo itatokea nafasi kwa yeye kurudiana na mmoja kati yao, atampa nafasi mwanamke aliyezaa naye mtoto wake wa kwanza. Alisema kwa sasa hana mapenzi na yeyote […]

Read More..

Isha Mashauzi Aibukia Kwenye Bongo Flava

Post Image

Msanii wa muziki miondoko ya taarabu nchini Isha Mashauzi ameamua kuanza kuimba muziki wa dansi pamoja na Bongo Flabva ili kukonga nyoyo za mashabiki wake kutoka kila upande. Akizungumza na eNews ya EATV Mashauzi amesema ameshafanya video ya wimbo unaokwenda kwa jina la ‘Jiamini” na umepokelewa vizuri sana na mashabiki kutokana na idadi ya watu […]

Read More..