-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Uwoya: Nikilala, Nikiamka Nawaza Siasa Tu

Post Image

STAA mkali Bongo Muvi, Irene Uwoya amefunguka kuwa bado hajakata tamaa ya kuwa mwanasiasa japokuwa mwaka jana alishindwa lakini hiyo imempa nguvu ya kujipanga zaidi na kwamba kwa sasa akili yake yote akilala, akiamka ni kuwaza siasa tu. Akizungumza na Amani Uwoya alisema kuwa, changamoto alizozipitia kipindi cha kampeni zimemfundisha mambo mengi na pia zimemkomaza […]

Read More..

Tetesi:Masogange, Rammy Galis Wamwagana

Post Image

Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia ubuyu ulioenea ‘town’ kuwa uchumba wa mastaa wapenzi Bongo, Rammy Galis na Agness Gerald ‘Masogange’ unadaiwa kuvunjika. Ubuyu huo ulianza kutapakaa baada ya picha ya Rammy ambaye ni mwigizaji wa Bongo Muvi na Masogange kuwekwa kwenye kurasa mbalimbali za Mtandao wa Kijamii wa Instagram huku zikiwa zimeambatana na maneno yanayodaiwa […]

Read More..

Shilole: Huyu Ndiye Mrithi wa Nuh!

Post Image

STAA anayebeba fani mbili kwa mpigo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, juzikati alimwanika bwana’ake mpya huku akijinadi kuwa ndiye mrithi halali wa aliyekuwa mpenzi wake wa kitambo, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni baada ya kubambwa kwenye Ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga jijini Dar es Salaam ilipokuwa ikifanyika Shoo ya Black Tie, […]

Read More..

Picha: Shamsa Ford Amuweka Wazi Aliyechukua...

Post Image

Staa mrembo kutoka bongo movies,  Shamsa Ford baada ya kupigana chini na mkali wa bongo fleva Nay wa Mitego na kuapa kutomwanika tena mpenzi wake mpya katika mitandao ya kijamii, Jumamosi hii hali imemshinda na kuanza kushare picha mbalimbali akiwa na mtu wake wa karibu. Muigizaji huyo mahiri wa filamu ambaye ni mama wa mtoto […]

Read More..

Shule 25 Kunufaika na Filamu za ZIFF

Post Image

MKURUGENZI wa Tamasha la Ziff, Profesa Martin Mhando, amesema kwamba baadhi ya filamu katika tamasha la mwaka huu zitatumika kwa ajili ya kufundishia. “Tumeanza kujihusisha na filamu za kuonyesha vijijini na kufundishia shuleni ambapo shule zaidi ya 25 zitanufaika kwa elimu hiyo itakayokuwa ikitolewa kila wiki.” Alisema wameona kuna umuhimu mkubwa kutumia filamu kufundishia ili […]

Read More..

Dkt Shein: Zanzibar Kuwa Kitovu cha Filamu ...

Post Image

RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Zanzibar inaweza kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo katika tasnia ya utengenezaji filamu na maigizo kutokana na mandhari na historia yake katika fani hiyo sambamba na mikakati liyojiwekea. Dk. Shein aliyasema hayo leo Ikulu mjini Zanzibar, wakati alipokuwa na mazungumzo na Mkongwe wa Filamu za Kihindi Kunal […]

Read More..

Rose Ndauka Afundukia Swala Ulabu ‘Lokesh...

Post Image

YAPO madai ya chini kwa chini kwamba eti staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka ili aweze kuigiza kwa uhalisia sawasawa lazima apige ulabu location, jambo ambalo amelikanusha vikali. Akizungumza na Juma3tata kwa njia ya simu juzi Jumamosi, Rose alisema kuwa hajawahi kunywa pombe location na kwamba maneno hayo yapuuzwe kabisa na mashabiki wake. “Nani […]

Read More..

Wolper Adaiwa Kunasa Mimba!

Post Image

Habari ya mjini! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe, anadaiwa kunasa ujauzito wa mwandani wake ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ hivyo yupo mbioni kutimiza ndoto yake ya kupata mtoto hivi karibuni. Habari za uhakika kutoka kwa watu wa karibu wa mastaa hao zilidai kwamba, ishu hiyo ni mpango wa […]

Read More..

Masanja Mkandamizaji Amvalisha Pete ya Uchu...

Post Image

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi Masanja Mkandamizaji Jumapili hii amemvalisha pete mpenzi wake aitwae Monica akijiandaa safari ya kufunga pingu ya maisha. Muigizaji huyo ambaye pia ni mchungaji, Jumapili hii akiongezana na ndugu zake wa karibu pamoja na wasanii wenzake katika kanisa la Mito ya Baraka, aliweza kumvalisha pete mchumba wake Monica.

Read More..

Kutoka na Staa, Lazima Ujipange Aisee

Post Image

USTAA gharama! Inaelezwa hivyo na ndiyo ukweli wenyewe ulivyo. Mastaa wenyewe hupata wakati mgumu kutokana na kulazimishwa namna ya kuishi na taito zao kwa jamii. Pengine utakuta msanii fulani angependa kupanda daladala kwa nauli ya shilingi 400 kwa ruti moja, lakini kwa sababu ya kuogopa macho ya watu na kulinda ‘image’ yake inambidi akodi taksi […]

Read More..

Picha: Show ya ‘The Black Tie’ ya Wema ...

Post Image

Msanii wa muziki Christian Bella amefanya show ya nguvu katika show ya ‘The Black Tie’ ambayo iliandaliwa na malkia wa filamu Wema Sepetu. Steve Nyerere amwaga mapesa kwa Christian Bella Show hiyo ambayo imefanyika usiku wa Jumamosi hii katika ukumbi wa King Solomon jijini Dar es salaam, imeacha historia ya aina yake katika muziki kutokana […]

Read More..

Kiki za Mastaa Zilizotingisha, Shilole, Van...

Post Image

KIKI siyo kitu kigeni kabisa kwa wasanii ulimwenguni. Kutafuta jambo la kushtua na kuwafanya mashabiki wamzungumzie msanii husika kwa muda mrefu zaidi akiwa na lengo la kuachia kazi yake. Lakini kwa baadhi ya wasanii wetu hapa Bongo hujiingiza kwenye skendo wakidhani ni kiki. Kwa kawaida kiki ni nzuri ili kumsaidia msanii kujipaisha na kuchomoa kazi […]

Read More..

Mtitu Afunguka Maprodyuza Kuwamaliza Waremb...

Post Image

PRODYUZA na muigizaji wa sinema Bongo, William Mtitu amefunguka kuwa maprodyuza wengi wamekuwa wakipewa lawama za kutembea na waigizaji wa kike kutokana na wao wenyewe kujirahisisha. Akizungumza na mwanahabari wetu ofisini kwake Magomeni jijini Dar, Mtitu alisema endapo warembo wenyewe wakijitambua, hakutakuwa na malalamiko hayo kila kukicha. “Wanajirahisisha wenyewe halafu baadaye wanalalamika katika vyombo vya […]

Read More..

Nitakuwa Sauti ya Wengine- Wankota

Post Image

KILA mwandishi wa Script anajua ugumu wake na kufanya waandishi wake wawe wachache zaidi katika tasnia ya filamu Swahilihood, mwanadada mwenye kipaji cha ajabu Wankota Kapunda kwa kupitia kipaji chake anasema kuwa atakuwa sauti ya wale wote waliopatwa na tatizo kama lake. Wankota anawaambia FC kuwa kupitia kipaji chake anatakuwa kuwa daraja la wale wote […]

Read More..

Mike: Naitamani Sana Salamu ya Thea

Post Image

MSANII wa muda mrefu kwenye tasnia ya filamu Bongo, Mike Sangu amefunguka kuwa anatamani sana hata kusalimiana na mtalaka wake Salome Urassa ‘Thea’ kwani ameshakubaliana na matokeo hivyo kiu yake ipo kwenye salamu tu. Akizungumza na gazeti hili, Mike alisema tangu watengane na mkewe huyo, takriban miaka mitatu iliyopitana hawajawahi kusalimiana kitu ambacho anaona si […]

Read More..

Bodi ya Filamu Yataka Wasanii Wasaidiwe

Post Image

Serikali imewataka wadau wa kazi za sanaa kuwasaidia wasanii wachanga katika kazi zao ili waweze kufanikiwa na kutangaza kazi zao kimataifa. Wito huo umetolewa na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bi.Joyce Fissoo jijini Dar es Salaam wakati akimkabidhi Bi Wakonta Kapunda Shilingi laki tano kwa ajili ya Safari ya kwenda Zanzibar kushiriki mashindano ya […]

Read More..

Mastaa Waliobadili Dini Kisa Ndoa, Watumbul...

Post Image

Baadhi ya wasanii wa filamu Bongo waliowahi kufanya uamuzi wa kubadili dini kutoka kwenye Ukristo kuingia kwenye Uislam ‘wametumbuliwa’ kufuatia mienendo yao isiyokubalika. Masupastaa hao wakiwemo Jacqueline Wolper, Rose Ndauka, Flora Mvungi, Aunt Ezekiel na Ester Kiama wametumbuliwa kutokana na kutoonesha jitihada zozote za kuijua vilivyo dini waliyoiendea. Akizungumza na Ijumaa, hivi karibuni, Shehe Mkuu […]

Read More..

Uwoya: Sipendi Kudumu na Mpenzi Mmoja

Post Image

Staa wa filamu mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Irene Uwoya ametoa kali ya mwaka kwa kusema kuwa, huwa hana mzuka wa kudumu na mpenzi mmoja kwa muda mrefu akidai kuwa, wakizoeana sana inakuwa kero kwake. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Uwoya alisema kuwa haoni sababu ya kukaa muda mrefu na mpenzi kwa sababu siyo baba […]

Read More..