-->

Matonya Atua kwa Gigy

Baada ya fununu kuzagaa kuwa kwa sasa Giggy Money ameiparamia ndoa ya Matonya na imekua ni mwendo wa kunyweshana supu tu, wawili hao wamefunguka juu ya ishu hiyo.

Giggy Money na Matonya1

Akizungumza na eNewz Matonya hakutaka kufunguka wazi kuwa ameshaonja supu ya Gigy,na huku Gigy akisema wazi kuwa mpaka sasa msanii huyo kashakunywa kabisa supu yake ingawa inafahamika ana mkewe wake wa ndoa.

“Salamu kwa mkewe sasa Matonya kwangu ni zaidi ya mpenzi akiwa kwake nafasi ni yake na akiwa kwangu ni zaidi ya mpenzi,”alisema Gigy.

Giggy Money na Matonya3

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364