-->

MSANII MPYA: CELINE JOHN msanii mpya wa nyimbo za Gospel

Msanii mpya kutoka Tanzania anayeitwa CELINE JOHN anaye chipukia na nyimbo za Gospel.

Na hadi hivi sasa ameshaachia nyimbo mbili ambazo ni “NAMPENDA YESU” na “LEO“. Msanii Celine ni kijana mdogo na ameweza kutimiza ndoto zake za kuwa mwanamziki wa nyimbo za injili.

Anamshukuru Mungu kwa afya anayomjalia kila siku na pia anawashukuru wazazi wake kwa support wanaompatia kwa kukuza kipaji chake cha uinjilishaji kupitia mziki ya Gospel.

Pia amewahasa wazazi wengine kuwa support watoto wao ambao wana vipaji mbalimbali Vikiwemo vya kuimba.

Hivi karibuni anategemea kutoa single mpya ya tatu na hivyo ameomba mashabiki wake waendelee kumpa support.

Usisahau ku – SUBRCRIBE ili uweze kupata video mpya itakapotoka.

Bofya play kutazama video zake hapa chini

CELINE JOHN – NAMPENDA YESU

CELINE JOHN – LEO

Comments

comments

Post Tagged with , , ,

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364