-->

Tag Archives: SHAMSA

Shamsa Ford Afurahia Kurudiana na Ney wa Mi...

Post Image

BAADA ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani, Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na kufurahia kauli hiyo. Shamsa aliliambia MTANZANIA kwamba, “Mimi na Ney tuliwahi kuwa wapenzi japo tumeachana ila kiukweli tulipendana sana na […]

Read More..

Shamsa Ford Atoa Wito kwa Wanawake Kupinga ...

Post Image

Shamsa Ford kutoka kiwanda cha filamu Bongo amezungumza kwa mara nyingine tena sababu ya kuachana na aliyekuwa mzazi mwenzie, aliyezaa naye mtoto mmoja wa kiume kuwa ni Vipigo vya mara kwa mara kutoka kwa mzazi mwenzie huyo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shemsa Ford ameandika hivi: Wanawake wenzangu tusimame kwa pamoja na tukemee hii tabia […]

Read More..

Lowassa Bado Una Nafasi Kubwa Kwangu -Shams...

Post Image

Msanii wa filamu nchini na aliyekuwa akitoka kimapenzi na msanii Nay wa Mitego amefunguka na kusema kuwa bado aliyekuwa mgombea wa urais nchini mwaka jana kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo yupo moyoni mwake. Kupitia Account yake ya Instgram Shamsa Ford alipost picha ya Mh Edward Lowassa na kusema ni kumbukumbu yake lakini siku […]

Read More..

Shamsa: Mkongo wa Wolper,Wema Amenitongoza

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati alimwaga ‘ubuyu’ hadharani kwa kusema kwamba, yule jamaa Mkongo ambaye amekuwa akidaiwa kutoka na Wema Sepetu, Jacqueline Wolper amemtongoza. Akizungumza na kona ya Bongo Movies Shamsa alisema, hivi karibuni alienda saluni na kukutana na ujumbe wa Mkongo wa Wema, Wolper ukimuhitaji kimapenzi jambo ambalo lilimuudhi sana. “Hii si […]

Read More..

Shamsa: Siwezi Kumhukumu Nay

Post Image

STAA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford kwa mara ya kwanza ameibuka na kuiongelea Ngoma ya Shika Adabu Yako iliyoimbwa na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuwa kamwe hawezi kumhukumu Nay kwa maneno aliyoimba. Akigonga mbili-tatu na Showbiz, Shamsa aliyewahi kubamba na Filamu ya Chausiku alisema kuwa aliusikia wimbo huo uliowachana mastaa wengi wa Bongo Muvi […]

Read More..

Picha: Shamsa Amwaga Lazi ukumbini

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford juzikati alitoa kali ya mwaka baada ya kutinga kwenye Ukumbi wa Sky nightlife uliopo Masaki akiwa ametinga kigauni kifupi ambacho kila alipoinama kwa kucheza alikuwa akimwaga lazi. Shamsa aliyekuwa kivutio ukumbini hapo alionekana kukongwa na nyimbo za msanii Belle 9 ambapo kila ulipopigwa wimbo aliinuka akiwa na glasi yake mkononi […]

Read More..

Siwezi Kurudiana na Nay wa Mitego – S...

Post Image

Ikiwa imepita siku moja toka Nay wa Mitego kupost picha ya Shamsha Ford kwenye mitandao yake ya kijamii ikiwa na ujumbe wa ‘Happy Valentine’ hususani siku ya wapendanao mwanadada Shamsha Ford amefunguka na kusema kuwa kamwe hawezi kurudiana kimapenzi na msanii huyo wa bongo fleva ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Shika Adabu yako’, […]

Read More..

Kuna Wakati Nauchukia Umaarufu – Shamsa F...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa wakati mwingine anajuta kuwa maarufu. Kupiti instagram, Shamsa ameandika. Umaarufu una raha lakini ubaya wake ukiwa maarufu ni ngumu kumjua mtu anayekupenda kwa dhati kwa sababu wengine wanaweza wakawa wanakufwata kwa ajili ya jina lako ili mradi awe karibu tu na wewe. Umaarufu Ubaya […]

Read More..

Habari Njema Kutoka kwa Shamsa na JB

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amewadokeza mashabiki wake kuwa wakae mkao kula kwani hivi sasa wapo chimbo NA jb wakiandaa kazi mpya itakayo kwenda kwa jina la BI MAPOZI. “Movie inayokuja nitakuwa na big boss, si unajua vicwa hivi viwili vikikutana. Itakuwa ni balaaa. Bonge la Movie inaitwa ( BI MAPOZI.)” Shamsa aliandika […]

Read More..

Mimi na Shamsa Ford Tuliachana Vizuri – N...

Post Image

Nay wa Mitego amezungumzia jinsi alivyoachana na aliyekuwa mpenzi wake Samsha Ford baada ya mwanadada huyo kudai hataki tena kutoka kimapenzi na mastaa.   Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, rapa huyo alisema licha ya kuachana na mwanadada huyo bado ni mshkaji wake na wanapiga stori kama kawaida. “Mimi binafsi sijui alikuwa anamaanisha nini lakini kitu […]

Read More..

Shamsa Ford: Sitaki Tena Kutoka Kimapenzi n...

Post Image

Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amesema amekoma kutoka kimapenzi na watu maarufu.   Muigizaji huyo ambaye miezi michache iliyopita alikiri kutoka kimapenzi na rapa Nay wa Mitego, ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi amepata mpenzi mpya ambaye atamweka wazi siku ya harusi yake. “Mimi ni mwanamke mzuri nakosaje mwanaume? Nimetimia kila […]

Read More..

Wapenzi na Mashabiki wa Jerusalem Films na ...

Post Image

Kutoka kwa mkurugenzi wa Jerusalem films, Jacob Stephen ‘JB’ RATIBA kutoka Jerusalem films, movie yetu itakayo fata baada ya Chungu cha Tattu ni Chale Mvuvi, washiriki ni Shamsa Ford na Haji Adam ‘Baba Haji’, Mzee Halikuniki, Makombora , Mzee Chepuo na wengine. Movie hii ili tengenezewa zanzibar mwaka 2013, movie hii itafuatiwa na Kalambati Lobo, […]

Read More..

Shamsa Achekelea Mpenzi Mpya

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameonesha furaha yake ya kuumaliza mwaka kwa kumpata mpenzi mpya, ambaye hata hivyo, alikataa kutaja jina lake. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Shamsa alisema mwaka huu pia umeweka historia kwa yeye kuweza kutimiza mambo yote aliyojipangia tangu alipoachana na baba wa mtoto wake. “Nafurahi sana namaliza mwaka nikiwa nimetimiza […]

Read More..

Shamsa Amvulia Kofia Irene Uwoya

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Shamsa Ford, amesema katika wasanii ambao anawakubali kutokana na ubora wa kazi zao mmojawapo ni Irene Uwoya. Shamsa alisema msanii huyo anajua nini anachofanya na anapenda kupeana ushauri na kushirikiana katika mambo mbalimbali na wenzake. Shamsa aliyasema hayo alipokuwa akimkabidhi zawadi Irene katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki […]

Read More..