-->

‘Tajiri Mfupi’ ya Ray Kigosi kuibua vipaji vipya’

Msanii mkongwe wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema filamu yake mpya ‘Tajiri Mfupi’ inakuja kuibua vipaji vipya vya kuigiza kutokana na ubora wake pamoja na wahusika aliyowatumia.
Ray Kigosi

Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Ray alisema filamu hiyo itakuwa kubwa na itabadili mitazamo ya watu wengi kuhusu tasnia ya filamu.

“Tajiri Mfupi inatoka mwezi huu mwishoni,” alisema ‘Ni filamu kali kusema ukweli, itaibua vipaji vipya vya uigizaji kwa sababu ni kazi ambayo imeandaliwa kwa ubora mkubwa sana,”


Bongo5

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364