-->

Tag Archives: RAY

Mtoto wa Mwigizaji Ray na Chuchu Hans Apata...

Post Image

MTOTO wa Staa wa Filamu Bongo, Vicent Kigosi ‘Ray’, aitwaye Jaden Kigosi, amepata shavu kutoka kwa wazazi wake baada ya kumfungulia  akaunti ya ‘NMB Mtoto Akaunti’ kwa ajili ya akiba itakayoweza kumsaidia hapo baadaye. Akizungumza na waandishi wa habari  wakati wa kumfungulia akaunti hiyo, Makao Makuu ya Benki ya NMB, Posta jijini Dar, Ray alisema […]

Read More..

Vincent Kigosi (Ray) ndani ya “BEST M...

Post Image

Msanii maarufu wa Filamu kutoka Tanzania ( Industry ya Bongo Movies) Ndg. Vincent Kigosi aka ” Ray ” leo ameandika kwenye ukurassa wake wa Instagram  “ VOTE FOR ME AS BEST MALE MOVIE STAR ” .   Hii ikiimanisha kuwa kwa upande wa wasanii wa filamu wa kiume jina lake limeingia kwenye orodha ya wasanii 14 […]

Read More..

Kama Kweli ni Mkorogo…! Daktari: Ray Kupa...

Post Image

Lile sakata la nyota wa sinema Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ kudai kwamba, siku hizi amekuwa mweupe pee kwa sababu ya kunywa sana maji na kufanya mazoezi, limechukua sura mpya kufuatia daktari mmoja jijini Dar kusema mwongozo huo ni upotoshaji mkubwa, Amani linakupa zaidi. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi juzi, daktari wa kituo cha kutoa huduma za afya kilichopo Kimara jijini Dar, Godfrey Chale alisema binadamu kunywa maji kwa wingi, hata […]

Read More..

Ray Baada ya Kukimbiza na Maji Sasa Anakimb...

Post Image

MUONGOZAJI,mtayarishaji na mwigizaji wa filamu  Vincent Kigosi ‘The Greatest’ Mzee wa Maji akiendelea kutikisa na unywaji wa maji sasa ameibuka na filamu yake kali na ya kusisimua ya Tajiri Mfupi ambayo ipo madukani na inatembea kama karanga kila mtu anataka kujua Mzee wa Maji kafanya balaa gani humo! anasema kuwa filamu ya Tajiri Mfupi ni […]

Read More..

Filamu Zetu Zinapotushawishi ‘Tunywe Maji...

Post Image

NAWASALIMU wapendwa wasomaji wa gazeti hili, hasa katika kipande hiki ambacho kinatupa wasaa za kuzungumzia masuala kadha wa kadha katika nyanja ya filamu hapa nchini. Nimekuwa nikiandika mambo mengi katika eneo hili na kwa hakika baadhi ya wadau wamekuwa na mrejesho mzuri kuhusu mada ninazoziandika. Yapo mengi ambayo yanaendelea kwenye filamu zetu na nimekuwa nikiyaeleza […]

Read More..

Ray : ‘Tajiri Mfupi’ Imegharimu Milioni...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ amesema filamu yake mpya ‘Tajiri Mfupu’ imegharimu milioni 17 mpaka inaingia sokoni. Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 Ijumaa hii, Ray alisema bajeti ya milioni 10 ndio bajeti kubwa kwa filamu nyingi za bongo. “Filamu zetu nyingi za bongo kwa sisi wasanii wakubwa ni kuanzia milioni 10 hadi […]

Read More..

Ray Atakiwa Awe Balozi wa Maji

Post Image

BAADA ya mwigizaji mashuhuri katika filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’ kudai weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na siyo mkorogo, makampuni manne yanayojishughulisha na masuala ya maji yamemtaka awe balozi wao. Ray alisema licha ya makampuni hayo ambayo hakutaka kuyaweka wazi kujitokeza, bado hajawa tayari kwa sasa. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ray […]

Read More..

Ray: Kama Huamini Sikulazimishi, Mi Maji Ya...

Post Image

HIVI kari-buni gumzo kubwa mitaani pamoja na kwenye mitandao mingi ya kijamii ilikuwa juu ya staa wa Bongo Muvi, Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa kunywa maji mengi kunamfanya aendelea kuwa mweupe. Kauli hiyo alianza kuitoa katika mahojiano aliyofanyiwa katika Kipindi cha E-News kinachorushwa na EATV ambapo alisema kwamba huwa anakwenda saluni mara moja […]

Read More..

Ray Producer wa Tajiri Mfupi Ndio Habari ya...

Post Image

MWIGIZAJI Muongozaji na mtayarishaji wa filamu  Vincent Kigosi Ray ameteka kila kona ni yeye kuliko hata game ya Yanga na samba wala watu hawana habari na matokeo ya kidato cha nne kila mtu ni Ray Ray, hiyo inaonyesha msanii huyo ni Nyota kweli katika tasnia ya filamu Bongo.   Huku akijiandaa kuachia filamu yake ya […]

Read More..

Mama Yangu Hapendi Nihame Nyumbani Kwetu ...

Post Image

Msanii wa filamu Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kuchanwa kwenye wimbo wa Nay wa Mitego ‘Shika Adabu Yako’ kuwa bado anaishi kwao, amejibu tuhuma hizo kwa kudai anaishi kwao mpaka sasa ili kuwa karibu na Mama yake. Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Ijumaa hii, Ray alisema yeye ni mtoto wa mwisho […]

Read More..

Ray: Nilishawahi Kumuokoa Nay wa Mitego Asi...

Post Image

STAA wa Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara nyingine ameendelea kuteka ‘headlines’ baada ya kuibuka na kudai kuwa alishawahi kumuokoa staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego asipigwe. Akizungumza asubuhi hii katika kipindi cha Leo Tena kinachorusha na Clouds FM, Ray alisema kuwa alipokuwa katika shoo ya Fiesta Mwanza, Nay alivamiwa na kundi la […]

Read More..

Siri Nzima ya Weupe wa Ray Upo Ndani ya ‘...

Post Image

Kabla ya ya uvumi wa kudhulumiana kwa mwigizaji Batuli na Vicent Kigosi ‘Ray’, tayari mwigizaji huyo ameshazua tafrani katika mitandao ya kijamii baada ya kuulizwa swali lilotokana na waupe wake. Ilikuwa katika kipindi kinachorushwa Ea TV cha Nirvana, ndipo Ray alisema wala hatumii Mkorogo isipokuwa weupe wake unatokana na Utumiaji wa maji kwa wingi na […]

Read More..

Weupe Wangu ni Kwakuwa Nakunywa Maji Mengi ...

Post Image

Mwigizaji maarufu wa Bongo Movie hapa nchini Ray Kigosi amesema kwamba yeye hajawahi kujichubua bali huwa anakunywa maji mengi pamoja na kufanya mazoezi . Ray ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha ENews kinachorushwa na EATV na kusema kwamba hua anakwenda salon mara moja kwa wiki kwa ajili ya kusafisha uso wake (Scrub) ili […]

Read More..

Mzimu wa Kanumba wamsumbua Ray Kigosi

Post Image

Ikiwa ni zaidi ya miaka minee toka alipofariki dunia msanii wa filamu nchini Kanumba The Great lakini bado wapenzi wa filamu nchini na mashabiki wanaonesha kukubali zaidi kazi zake. Hali hiyo imepelekea wapenzi kusema kuwa aliyekuwa mpinzani wake katika tasnia hiyo Ray Kigosi ameshindwa kufikia kiwango ambacho alikiacha Kanumba miaka minne nyuma. Leo kupitia ukurasa […]

Read More..

Mimi Ndiye Msanii Nianyefanya Vizuri Sokoni...

Post Image

MWIGIZAJI anayefanya vizuri zaidi sokoni katika soko la filamu nchini, Vicent Kigosi anasema kushuka kwa soko la filamu nchini na kukosa ushindani ambao ulikuwepo hapo awali. Akifafanua zaidi  alisema tofauti na zamani filamu zilikuwa zikizungumziwa zaidi sababu ya ushindani wake mkubwa na marehemu Steven Kanumba. Kigosi anasema kipindi hicho ya filamu kutoka kulikuwa na mambo […]

Read More..

Wapuuzwe Wanaodai Tasnia ya Filamu Imekufa ...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ amewataka mashabiki wa filamu kuwapuuza watu wanaodai tasnia ya filamu imekufa baada Steven Kanumba kufariki. Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii, Ray alisema huu ni wakati kwa wadau wa filamu pamoja na mashabiki kusupport wasanii waliopo kwa nunua kazi zao. “Mimi nataka mashabiki wa filamu wajue hii tasnia […]

Read More..

Ray Kigosi Apigilia Msumari Mwingine Kwa Ba...

Post Image

  Ray amesema kuwa, filamu hiyo itatoka kama ilivyopangwa licha ya tuhuma za Batuli, akijitetea kuwa, hawezi kushindwa kumlipa mtu mmoja na kufanikisha kuikamilisha kazi hiyo waliyoifanya miaka 3 iliyopita tayari kwa kuiingiza sokoni. Ray pia akatolea ufafanuzi hisia zilizoanza kujengeka kuwa, wametengeneza ugomvi huo na Batuli ili kuipatia kiki kazi yao, kitu ambacho amekipinga […]

Read More..

‘Tajiri Mfupi’ ya Ray Kigosi kuibua vip...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema filamu yake mpya ‘Tajiri Mfupi’ inakuja kuibua vipaji vipya vya kuigiza kutokana na ubora wake pamoja na wahusika aliyowatumia. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Ray alisema filamu hiyo itakuwa kubwa na itabadili mitazamo ya watu wengi kuhusu tasnia ya filamu. “Tajiri Mfupi inatoka mwezi huu mwishoni,” alisema […]

Read More..