-->

Category Archives: Other News

Mh. Shonza Atoa Wito Huu kwa Bodi ya Filamu

Post Image

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Shonza ameitaka Bodi ya Filamu Tanzania kufanya utafiti na kukusanya takwimu sahihi za mapato yatokanayo na sekta ya filamu nchini ili kuweza kubaini sekta hiyo inavochangia katika pato la taifa. Mhe. Shonza ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam alipofanya ziara katika Ofisi za Bodi ya Filamu […]

Read More..

ACHA ASLAY ATAMBE… ALIFICHWA YAMOTO BAND!

Post Image

NAENDA Kusema ndio moja kati ya ngoma ambazo zilimfanya Aslay Isihaka ajulikane kwenye gemu la Bongo Fleva, wakati huo alikuwa chini ya mikono ya Mkubwa Fella kupitia Yamoto Band. Kadiri miaka ilivyozidi kusogea, imani kwa bwa’mdogo huyo ilizidi kuwa kubwa kwa mashabiki. Walioujua vizuri muziki wake waliweza kumfananisha na wasanii wakubwa tu Bongo lakini swali […]

Read More..

Alikiba sio level yangu – Aslay

Post Image

Msanii Aslay ambaye sasa hivi anafanya vizuri zaidi huku akiachia kazi mpya kila siku, amewataa mashabiki kutompambanisha na Alikiba au msanii yeyote, kwani hajaweza kufikia nafasi ya Alikiba. Aslay ameyasema hayo kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na East Africa Televison, na kusema kwamba ingawa anaendelea kufanya vizuri lakini hawezi kupambanishwa na msanii huyo kwani hawako […]

Read More..

Breaking : Raila Odinga ajitoa kushiriki Uc...

Post Image

Kiongozi Mkuu wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, leo October 10, 2017 ametangaza kutoshiriki kwenye uchaguzi mkuu ambao uliamriwa na mahakama kurudiwa October 26 mwaka huu. Uchaguzi huo wa tarehe 26 utakuwa ni marudio ya uchaguzi mkuu, baada ya mahakama ya juu nchini Kenya kufuta matokeo ya uchaguzi wa tarehe 8 mwezi Agosti mwaka huu.

Read More..

Alphonce Simbu ndani ya wanariadha 40, 800 ...

Post Image

Mbio za Chicago Marathon zilizofanyika nchini Marekani leo hii 8/10/2017 zimemalizika zikiwashirikisha wanariadha 40,800 kutoka nchi mbali mbali duniani akiwemo mshiriki kutoka Tanzania ndugu Alphonce Simbu ambaye alishikiri mashindano hayo makubwa duniani .   Kwa upande wa wanaume Mshindi katika Mashindano hayo alikuwa mwanariadha kutoka Marekani akifuatiwa na wanariadha wawili kutoka Kenya walioshika nafasi ya […]

Read More..

Wanafunzi wazawadia Magari baada ya kufanya...

Post Image

Mkurugenzi wa Shule za Sekondari za Waja Mkoa wa Geita, Eng. Chacha Wambura amewazawadia magari wanafunzi wake waliohitumu Kidato cha Sita katika Shule za Sekondari Waja Girls baada ya kufanya vizuri katika masomo yao. Kutoka kwenye tovuti ya shule, zawadi imekuja baada ya wanafunzi hao kuwa katika “TOP 10” ya wanafunzi waliofanya vizuri katika kidato […]

Read More..

Watu 50 wauawa, 200 wajeruhiwa Las Vegas

Post Image

Zaidi ya watu 50 wameuawa huku takriban watu 200 wakijeruhiwa katika tukio la ufyatulianaji risasi kwenye tamasha mjini Las Vegas. Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 64 akiwa amejihami kwa bunduki na mkazi wa Stephen Paddock, alifyatua risasi kutoka ghorofa ya 32 ya hoteli ya Mandalay Bay akielekeza mtutu kwenye ukumbi wa wazi […]

Read More..

Mwakyembe Apiga Marufuku Tuzo za Muziki na ...

Post Image

WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amepiga marufuku uandaaji na uendeshwaji wa mashindano ya urembo (Miss Tanzania) na tuzo za muziki hapa nchini kutokana na ubabaishaji wa waandaaji wa mashindano hayo. Mwakyembe amesema mashindano ya Miss Tanzania yamegubikwa na ubabaishaji wa hali ya juu ambapo kwenye utoaji wa tuzo kumekuwa na tabia ya kuchelewa kuwapa […]

Read More..

Gwajima Kumuombea Lissu

Post Image

Mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima  wa kanisa la Ufufuo na Uzima amefunguka na kusema kuwa siku ya Jumapili atafanya maombezi maalum kwa afya ya Mbunge Tundu Lissu ambaye jana alipigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Dodoma nyumbani kwake. Mchungaji Gwajima amesema kuwa atatumia misa hiyo kulaani vikali kitendo cha kinyama alichofanyiwa Tundu Lissu na watu hao […]

Read More..

Rais Magufuli atoa tamko tukio la Lissu

Post Image

Rais John Magufuli amesikitishwa na taarifa alizozipata tukio la kupigwa kwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akiwa nyumbani kwake Dodoma leo na kuviagiza vyombo vya dola viwasake waliyofanya uhalifu huo. Rais Magufuli amesema hayo kupitia ukurasa wake wa twitter jioni ya leo na kutaka vyombo vya usalama kuwatafuta watu waliofanya tukio hilo […]

Read More..

Magufuli ataka waliotajwa sakata la tanzani...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amewataka wateule wake wote waliotajwa katika ripoti za kamati zilizotathmini mfumo wa uchimbaji, usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya tanzanite na almasi kukaa pembeni kupisha vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi zake. Rais Magufuli amesema hayo leo Septemba 7, Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kupokea […]

Read More..

Hashim Rungwe Ashikiliwa Polisi

Post Image

Dar es Salaam. Aliyekuwa mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Hashim Rungwe anashikiliwa na polisi kwa siku nne sasa. Rungwe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Chaumma anashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es Salaam. Mwanasiasa huyo anashikiliwa akituhumiwa kughushi nyaraka. Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Lazaro […]

Read More..

Polisi wafukua kaburi la dereva wa bodaboda

Post Image

Moshi. Mwili wa dereva wa bodaboda, Juma Hamis (26) umefukuliwa na polisi kwa ajili ya uchunguzi kubaini chanzo cha kifo chake. Hamis aliyekuwa mkazi wa Boma Mbuzi alizikwa katika makaburi ya Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Kufukuliwa kwa mwili huo kunatokana na amri iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi. Hamis alifariki dunia Julai 28 […]

Read More..

Charugamba Ammwagia Sifa Rose Mhando

Post Image

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili, Ussy Charugamba, amesema katika wakongwe kwenye tasnia hiyo, anamkubali zaidi Rose Mhando kwa kuwa amewaonyesha njia waimbaji wengi. Bosi huyo wa Ussy Production, ameliambia MTANZANIA kuwa anajiona mwenye bahati kufanya kazi na Rose Mhando kwa kumshirikisha kwenye wimbo wake unaoitwa ‘Wema’ ambao utakuwa kwenye albamu yake ya sita. “Rose Mhando […]

Read More..

Mahakama yafuta ushindi wa Uhuru Kenyata

Post Image

Mahakama ya juu nchini Kenya imefuta ushindi wa Rais Uhuru Kenyata kwa uchaguzi uliofanyika Agosti 8, 2017, na kutaka uchaguzi huo urudiwe.   Hukumu hiyo imetolewa leo na jopo la majaji 6 ilirushwa moja kwa moja kwenye vyombo vya habari nchini Kenya, imesema uchaguzi huo utarudiwa baada ya siku 60. Akisoma uamuzi huo Jaji Mkuu […]

Read More..

VIDEO:TANROADS Yadai Kutopata Zuio la Mahak...

Post Image

Dar es Salaam. Wakati Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kikilaani Kitendo cha Wakala wa Barabara Mkoa wa Dar es Salaam (Tanroads) kubomoa nyumba ambazo zina kinga ya mahakama, taasisi hiyo ya Serikali imeendelea na kazi hiyo kwa kuwa haijapewa zuio. Lakini meneja wa Tanroads wa Dar es Salaam, Julius Ndyamkama amesema hatua hiyo […]

Read More..

Hali ya Bulaya bado tete

Post Image

Dar es Salaam. Hali ya Mbunge wa Bunda Ester Bulaya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH ) imeelezwa kuwa bado ni tete. Hali hiyo ni kufuatia tatizo la kupumua alilolipata baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya Kituo cha Kati cha Polisi mjini Tarime. Mwananchi lilifika katika wodi namba 18 Sewahaji alipolazwa mbunge huyo, lakini […]

Read More..

Mh. Ester Bulaya Kuletwa Muhimbili na Ndege

Post Image

Hali ya Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Mh. Ester Amos Bulaya imezidi kuwa mbaya, kwa mujibu wa Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mara Mh. Joyce Sokombi, ambaye yuko naye hospitali akimuuguza. Mh. Sokombi amesema pamoja na kwamba amepelekwa katika hospitali ya mkoa Mara Mbunge huyo hajapata nafuu, hivyo amepewa rufaa ya kuja hospitali […]

Read More..