Prodyuza wa Going Bongo Kuchukua Wasanii Bo...
WASANII wanaochipukia wametakiwa kujitokeza katika usahili wa filamu mpya ya mshindi wa tuzo ya filamu bora Afrika Mashariki katika tuzo za Filamu za Kimataifa kwa nchi za Jahazi (ZIFF) kupitia filamu yake ya Going Bongo, Ernest Napoleon, utakaofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Usahili huo utakaoanza kwa wasanii wa kike wenye umri kati ya […]
Read More..





