Kuna watu wamekuja kuuharibu muziki wetu â€...
Msanii mkongwe wa muziki, Matonya amewataka wadau mbalimbali wa muziki kuwa makini na watu ambao wamekuja kuuharibu muziki wa bongofleva. Muimbaji huyo ambaye amewahi kufanya vizuri na wimbo ‘Vaileti’ na nyingine nyingi, ameiambia Bongo5 kuwa kuna vijana wameingia kwenye muziki bila kuwa navipaji. “Mimi napenda kuwapongeza wasanii wote wazuri ambao wanafanya vizuri lakini kuna watu […]
Read More..





