Ushuru Wamkwamisha Baby Madaha Kuingiza Nch...
Ushuru mkubwa unaotozwa katika bandari ya Dar es Salaam, umemzuia Baby Madaha kuingiza vifaa vyake vya filamu alivyovinunua mwaka jana mjini Dubai. Muimbaji na muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa serikali ya awamu ya tano imeongeza ushuru kiasi cha kuharibu mipango ya watu wengi. Amedai kuwa vifaa hivyo bado vipo Dubai alikohamishia makazi yake. “Nilileta baadhi […]
Read More..





