-->

Monthly Archives: November 2017

MC Pilipili Asimulia ajali Ilivyomuacha Kit...

Post Image

Dar es Salaam. Mshereheshaji maarufu nchini Emmanuel Mathias maarufu Mc Pilipili ameyataja mambo makubwa matatu aliyojifunza baada ya kupata ajali ya gari Septemba 12 mwaka huu katika Kijiji cha Nyasamba mkoani Shinyanga. Akizungumza na MCL Digital leo, mchekeshaji huyo amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva kuwakwepwa waendesha baiskeli waliokuwa pande mbili tofauti za barabara. […]

Read More..

Shamsa Atoa Povu Kisa Kuuza Duka!

Post Image

MREMBO wa Bongo Movies, Shamsa Ford ametoa povu la aina yake kwa mashabiki wanaomponda kwa kitendo cha yeye kuuza duka mwenyewe badala ya kumuweka binti amuuzie. Akizungumza na Amani, Shamsa ambaye anamiliki duka la nguo na mumewe Chid Mapenzi lililopo Kinondoni jijini Dar, alisema haoni aibu yoyote kuuza mwenyewe dukani hapo kwa sababu ustaa bila […]

Read More..

Dogo Janja na Irene Uwoya Wasisikilize Mane...

Post Image

Msanii Madee Seneda ambaye ni baba mlezi wa Dogo Janja, amewataka maharusi wake Irene Uwoya na Dogo Janja kutosikiliza watu kwani wakifanya hivyo hata mwaka hawatamaliza. Madee ameyasema hayo alipokuwa akipiga stori na Queen Fifi na JR kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba amefurahi kuona Dogo Janja kaoa ingawa alishtushwa na taarifa […]

Read More..

Maombi Yatikisa Nyumbani kwa Lulu

Post Image

Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’. Mtu wa karibu wa msanii huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake, alilidokeza Risasi Mchanganyiko kuwa, baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, […]

Read More..

Mama Yake Dogo Janja Afungukia Ndoa ya Dogo...

Post Image

Mama mzazi wa msanii Dogo Janja Bi. Zaituni Omari, amesema habari za mtoto wake kuoa ni za kweli na yeye kama mzazi alimpa baraka zote, vinginevyo asingeweza kuoa. Mama yake Dogo Janja ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa habari na kusema kwamba yeye kama mzazi ameridhika kwani pia ametimiza matakwa ya dini. “Alishawahi kuniambia […]

Read More..

Hamisa Mobetto Kuibuka Ndani ya Zero Player

Post Image

MWANAMITINDO Hamisa Mobetto, anaratajia kuonekana kwenye filamu mpya ya ‘Zero Player’ itakayozinduliwa Novemba 17 mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na MTANZANIA, kiongozi wa filamu hiyo, Allan Upamba, alisema Zero Player ambayo imefanyika nchini Afrika Kusini na kuchezwa na wasanii maarufu wa ndani na nje ya Tanzania, itazinduliwa rasmi kwenye Ukumbi wa Suncrest Cineplex […]

Read More..

Jokate: Nitaachana na Bongo Fleva

Post Image

MWANAMITINDO na msanii wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa, ‘soon’ ataachana na muziki huo, bila kutaja sababu ya kufanya hivyo. Jokate aliiambia Full Shangwe kuwa, anajipanga kuachia wimbo mmoja wa mwisho kisha anaachana kabisa na Bongo Fleva. “Nafikiria kutoa wimbo moja wa mwisho, halafu baada ya hapo nitakuwa nimestaafu kufanya muziki, sina sababu ya msingi ila ni […]

Read More..

Steps Aanze Kuuza DVD za Kutafsiri Nini Tun...

Post Image

KAMPUNI kubwa ambayo ilikuwa ndio mahiri katika usambazaji wa filamu Swahilihood ni kampuni ya Steps Entertainment ilitikisa lakini kwa sasa ni kama vile hawapo tena hata lile duka nzuri lilokuwepo mitaa ya Masasi na Mzimbazi likiuza filamu zetu halipo tena bali ni sehemu ya kubeti swali linakuja je waanze kuuza Dvd zilizotafsiriwa kwa Kiswahili? Ninapokuwa […]

Read More..