-->

Monthly Archives: November 2017

Gigy Money: Unene Ulikuwa ni wa Utoto

Post Image

MWANAMUZIKI na muuza sura kwenye video mbalimbali za wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameeleza kuwa unene aliokuwa nao awali ulikuwa ni wa utoto hivyo kukonda kwake kwa sasa ni utu uzima. Akizungumza na Za Motomoto News, Gigy Money alisema watu wanamsema kwa kukondeana kwake lakini anachoweza kusema ni kwamba unene […]

Read More..

Ray Azitosa filamu, Ageukia Huku

Post Image

NYOTA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema kwa sasa amejikita katika kilimo cha matikiti maji na kupumzika kidogo katika uzalishaji wa filamu akiamini kuwa kilimo hicho cha matunda kinampatia maslahi zaidi kuliko filamu kwani hali ya soko ni tete. “Mimi ni mtayarishaji mkubwa wa filamu, ninapoandaa kazi yangu ya sinema ni lazima nitumie pesa […]

Read More..

Sister P Amtamani Alikiba

Post Image

Msanii mkongwe kwenye bongo fleva, Sister P ambaye amewahi kutamba kwa ngoma kama, Anakuja,  Hey Dj na zingine amefunguka na kusema kuwa katika ujio wake mpya kwenye muziki anatamani kufanya kazi na mfalme Alikiba kwani anaamini watafanya kazi kubwa. Sister P amesema hayo leo alipokuwa akipiga stori na mwandishi wa tovuti ya EATV na kudai […]

Read More..

Hata pesa ya kumsaidia Dudu Baya ninayo –...

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Mr. Nice amesema anajua kwa sasa Dudu Baya ana hali mbaya ila kama msanii huyo anatajitokeza yeye yupo tayari kumsaidia ili aweze kuendelea na muziki wake. Muimbaji huyo ambaye kipindi cha nyuma alikuwa na ugomvi mkubwa na Dudu Baya, ameiambia E-Newz ya EATV kuwa anapoishi nchini Kenya amekuwa akisaidia […]

Read More..

Siri ya Wema Sepetu Kupukutika Yafichuka!

Post Image

VYUMA vimekaza? Siri ya staa mkali wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kupukutika imefichuka baada ya picha zake kusambaa zikimuonesha akiwa hana lile shepu aliloliimba Dogo Aslay. Kufuatia ishu hiyo, mashabiki wa Wema walipigwa na butwaa jinsi mwili wake huo ulivyopukutika. Ili kumaliza ubishi huo, Ijumaa Wikienda lilizungumza na Wema na kumuuliza kulikoni kupukutika […]

Read More..

Kajala Masanje Aoneshwa Akimtega Shemeji Ya...

Post Image

Video mpya ya ‘Omulilo’ ambayo ni kazi yake mwanamama Saida Karoli imeachiwa rasmi, huku Kajala akiigiza muhusika aliyeimbwa kwenye wimbo huo. Video hiyo inamuonyesha Kajala akiwa anaishi kwa shoga yake kipenzi, lakini licha ya kumsitiri anafanya kitendo kibaya cha kumtaka shemeji yake kimapenzi kwa kumtega kwa kumvalia mavazi ya kumshawishi. Kazi hiyo ambayo imefanywa na […]

Read More..

TID amvaa Ben Pol kisa kuimba wimbo wake Fi...

Post Image

Msanii wa Muziki wa Bongo Flava, TID amesema hajapendezwa na kitendo cha Ben Pol kuimba ngoma yake katika tamasha la ‘Fiesta’ wakati yeye hakuwa sehemu ya tamasha hilo. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo, East Africa Radio kuwa atazungumza na wakubwa wake pamoja na wanasheria wake ili kumchukulia hatua Ben Pol. “Nina kesi moja […]

Read More..

Shilole Ataja Rasmi Siku ya Ndoa Yake

Post Image

HATIMAYE mwanamuziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameibuka na kutangaza rasmi tarehe ya ndoa yake na mchumba wake, Uchebe ikiwa ni baada ya mashabiki kusubiri kwa hamu. Akichonga na Mikito Nusunusu, Shilole alisema anatarajia kuolewa Desemba 20, mwaka huu na harusi yake itakuwa babu kubwa kwani amejipanga. Alipobanwa kuwa anaolewa kwa sababu amepewa ujauzito […]

Read More..

Mpasuko,Aslay Kubomoa Team Kiba, Team Diamo...

Post Image

HITIMISHO la msimu wa Tigo Fiesta unatarajia kuhitimishwa leo kwenye Viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam, huku mashabiki mbalimbali wakisubiri kwa hamu kuhudhuria tukio hilo la kihistoria kwenye kiwanda cha burudani Bongo. Pamoja na kutokuwapo kwa msanii wa kimataifa kama ilivyozoeleka, lakini mashabiki wa burudani wameonekana kuridhishwa na wasanii wa hapa nyumbani ambao […]

Read More..

Mr. Nice Amchana Dudu Baya, Adai Hana Mhaha...

Post Image

Msanii Mr Nice ambaye kwa sasa ameachia kazi yake mpya ya Yaya, amejibu tuhuma za msanii mwenzake Dubu Baya aliposema kwamba maisha yamemshinda na kukimbilia Kenya, na kumjibu kuwa Dudu Baya ni msanii asiyejielewa, ndio maana hana mahali pa kuishi. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Teleivison, Mr.Nice amesema ni wakati sasa Dudu Baya akomae […]

Read More..

Afande Sele Afungukia Tabia Hizi za Bongo M...

Post Image

Msanii mkongwe wa muzuki wa kizazi kipya, Selemani Msindi marufu kwa jina la Afande Sele, ameweka wazi juu ya chuki aliyonayo kwa tasnia ya filamu bongo ‘Bongo Movie’. Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, Afande Sele amesema hawachukii wasanii wa bongo movie, bali huchukia tabia zao chafu ambazo zinaharibu Tasnia. Afande Sele ameendelea […]

Read More..

Johari: Ndiku Alitupa Raha

Post Image

BLANDINA Chagula ‘Johari’ amemfungukia aliyekuwa mume wa muigizaji Irene Uwoya, marehemu Hamad Ndikumana kuwa enzi za uhai wake, aliwapa bata za kutosha.   Akizungumza na mwanahabari wetu hivi karibuni, mkongwe huyo wa sinema za Kibongo, alisema Ndiku alipokuwa anakuja nchini akitokea nchini Cyprus alikokuwa akiishi, alikuwa akiwaletea zawadi na kujirusha naye sana. “Kama unavyojua mimi […]

Read More..

Huyu Ndiye Gigy Money Mpya

Post Image

ALITOKA kwa staili ya peke yake. Akapewa majina yote. Pengine majina hayo alistahili kwa namna alivyojiweka na kujitangaza mbele ya jamii. Isingekuwa rahisi kumtabiria makubwa, ungeweza kuishia kusema ni msichana wa mjini, mwenye mambo mengi yasiyo na staha. Asiye na uoga mbele ya jamii ya wastaarabu. Wakati anaanza kujulikana kwenye ulimwengu wa burudani, alifahamika kama […]

Read More..

Filamu ya Hamisa Yatikisa Jiji

Post Image

FILAMU ya mwanamitindo Hamisa Mobeto iliyozinduliwa wiki iliyopita, katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Suncrest Cineplex uliopo ndani ya Quality Center, uliopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam, hivi sasa inatikisa jiji kwa kile kinachotajwa kuwa ina kiwango kikubwa cha ubora. Kwa mujibu wa wadau waliozungumza na Risasi Mchanganyiko juzikati, filamu hiyo iitwayo Zero […]

Read More..

Sina mpango wa kurudi CCM – Wema Sepetu

Post Image

Malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu amemwambia muigizaji mwenzake wa filamu ambaye ni kada wa CCM, Steve Nyerere kwamba hana mpango wa kurudi tena CCM.   Wema amesema hayo baada ya kuona ujumbe wa Steve Nyerere kumpongeza Alberto Msando kwa uamuzi wake wa kukihama chama cha ACT Wazalendo ya kwenda Chama Cha Mapinduzi, CCM. “HAHAHAHAHAHAHAHAHAHA […]

Read More..

Mdogo wa Ndikumana Awachana Bongo Movie

Post Image

Mdogo wa marehemu Hamadi Ndikumana ambaye alikuwa mume wa muigizaji wa filamu Tanzania Irene Uwoya, anayeitwa Laddy Ndikumana, amesema waigizaji wa filamu wa bongo (bongo movie ) ni wajinga, kutokana na mambo yao wanayoyafanya. Laddy ameyasema kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba waigizaji hao ni wajinga na wanafiki kwa kuwa wameshindwa […]

Read More..

Irene Uwoya Avishwa Viatu vya Zari

STAA wa filamu za Kibongo Irene Uwoya, ameendelea kugonga vichwa vya habari za burudani baada ya mume wake, Hamad Ndikumana aliyefunga naye ndoa ya Kikristo kufariki dunia mapema wiki hii akiwa nyumbani kwake, Kigali nchini Rwanda. Kwa wiki tatu mfululizo Uwoya amekuwa hakuauki kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa tukio aliloliita ni […]

Read More..

Jengo la Studio za Clouds Media Group Linau...

Post Image

Dar es Salaam. Moto umezuka katika ofisi za Clouds Media Group na kusababisha Television na Radio Clouds kutokuwa hewani kwa muda. Moto huo ulianza saa 4 asubuhi katika chumba kimoja kwenye ghorofa ya kwanza uliosambaa kwenye jengo la kampuni hiyo. Hata hivyo hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikana. Magari ya Zimamoto yapatayo manne yalifika […]

Read More..