Vera Sidika, Huddah… Bifu Lao Lawapaisha ...
MASTAA wa kike wanaochuana vikali katika mitindo nchini Kenya, Vera Sidika ‘Vee Beiby’ na Alhuda Njoroge ‘Huddah’ wanazidi kupata umaarufu Bongo kutokana na bifu lao la muda mrefu sasa. Huddah anajulikana kitambo kidogo hapa Bongo, lakini kwa sasa ni kama anampaisha mwenzake Vee Beiby kutokana na bifu lao linalofukuta. Kwa muda mrefu Huddah amekuwa akimchokonoa […]
Read More..





