-->

Author Archives: editor

Zari, Diamond Kimenuka Ulaya!

Post Image

Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa Sweeden na familia yake. DAR ES SALAAM: Hakuna furaha isiyo na karaha! Ndiyo kauli inayoweza kutumika kwenye habari ya ziara ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Familia ya Wasafi Classic Baby (WCB) huko barani Ulaya ambapo staa huyo na mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari The […]

Read More..

Serikali Iruhusu Bangi – Afande Sele

Post Image

Msani mkongwe wa Hip Hop ambaye alitupa karata yake kwenye siasa na kufeli Afande Sele, ameitaka serikali kuruhusu biashara na matumizi ya bangi, ili kuongeza pato la taifa kwa kuilipia kodi biashara hiyo. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Afande Sele amesema iwapo zao hilo la biashara likiruhusiwa rasmi nchini […]

Read More..

Stara Thomas: Bado Nipo Kwenye ‘Gospel’

Post Image

MKONGWE katika muziki wa Bongo Fleva, Stara Thomas, ameibuka na kudai kwamba muziki wa injili haujamshinda hivyo ataendelea kuimba Bongo Fleva na Injili kwa kuwa nyimbo zake hazipotoshi jamii. “Baada ya kukaa vizuri ndani ya Biblia nimeona naweza kufanya Bongo Fleva kwa ajili ya kuelimisha jamii huku nikiendelea kuimba muziki wa injili, cha msingi ni […]

Read More..

Harmonize Atamani ‘Levo’ za Diamond

Post Image

MSANII wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ amefunguka kuwa anatamani kuona anakuja kuongoza kundi la wasanii kama ilivyo kwa bosi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye anamiliki Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB). Harmonize, ambaye anatikisa kwenye stesheni mbalimbali za redio na runinga hapa nchini na ngoma yake ya Bado, aliompa shavu Diamond […]

Read More..

Juma Nature Adai Mshindani Wake Kwenye Muzi...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki, Juma Nature amedai msanii pekee ambaye anaweza akashindana naye kwa sasa ni Diamond. Akizungumza na tovuti ya Times Fm, Juma Nature ameomba wadau kuandaa tamasha ili washindanishwe. “Watu wanamtukuza sawa lakini watuweke stage moja tuone nani atakamua, unajua tuseme ukweli bongo flava sasa mimi na Diamond ndio wapinzani pekee,” alisema Juma […]

Read More..

Lady Jaydee Kula na Mashabiki Wake

Post Image

MKALI wa wimbo wa ‘Ndi ndi ndi’, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, ameonyesha kuwateka mashabiki wake kwa kuchagua video tatu nzuri wanazomtumia kisha anakwenda kula nao chakula cha jioni na kuwa nao katika matukio yake makubwa ya kimuziki. Katika maelezo yake aliyoweka katika ukurasa wake wa facebook, Jay Dee aliandika kwamba waliomtumia video wakiwa wanaimba wimbo […]

Read More..

Ray C wa Sasa Sio Kama wa Kipindi Kile R...

Post Image

Msanii Ray C amevijia juu vyombo vya habari vianvyoandika taarifa za uongo juu yake, kuwa amerudia kutumia madawa ya kulevya, na kuahidi safari hii atavifikisha mahakamani.   Katika ukurasa wake wa instagrama Ray C ameandika ujumbe mrefu kuhusu vyombo vya habari vinavyomchafua, na kwamba wana mpango wa kukwamisha harakati zake za kupambana na madawa ya […]

Read More..

Vanessa amfungukia laivu Jack Patrick!

Post Image

Baada ya kumkwapua Juma Mussa Mpolopoto ‘Jux’ aliyekuwa mpenzi wa modo Jacqueline Fitzpatrick ‘Jack Cliff’ kisha modo huyo kufungwa kwa msala wa madawa ya kulevya nchini China, mtoto mzuri wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V-Money’ ameibuka na kumzungumzia ‘mtalaka’ huyo wa Jux. V-Money alimfungukia modo huyo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akifanya mahojiano maalum (exclusive) […]

Read More..

Sugu Awachana Wasanii Kufanya Show Ulaya

Post Image

Kwenye stori tatu ya Planet Bongo ya East Africa Radio, Sugu amesema huwezi kutumia kigezo cha wasanii kufanya show nje ya Afrika yaani Ulaya, America na kwengineko kama kigezo kuwa game imekua, kwa sababu show kama hizo walishazifanya miaka zaidi ya 20 iliopita. “Huwezi kutoa credit kwa kusema wasanii wanaenda kupiga show Ulaya, Sugu, X-plastars, […]

Read More..

Wake Zangu Hawahusiki na Umaarufu Wangu-Mze...

Post Image

Mzee Yusuf ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha E News kinachorushwa na EATV kuhusiana na wakezake kuzozana kwenye mitandao ya kijamii na kama suala hilo haliwezi kumharibia katika tasnia ya muziki hapa nchini. ”Wake zangu hawahusiki na ‘usupastaa’ wangu mimi ni Mfalme na wake zangu wanaweza kuondoka lakini mimi nikabakia na ndiyo maana […]

Read More..

Barakah Da Prince Ajiweka kwa Naj

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva ‘Barakah da Prince’ akiwa na mpenzi wake Najma Dattan ‘Naj’. HATIMAYE! Baada ya kufichaficha kila sehemu juu ya uhusiano wao, msanii wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah da Prince’ ameamua ‘kujilipua’ kwa mpenzi wake mpya, Najma Dattan ‘Naj’ na kwamba ndiyo kila kitu kwake. Akiliachia domo liserereke, Barakah anayebamba na Ngoma […]

Read More..

Ishu ya Madawa ya Kulevya, Tunda Amkingia K...

Post Image

David Genzi ‘Young D’ akiwa na mpenzi wake Tunda. MUUZA nyago kwenye video za Bongo Fleva, Tunda Sebastian amejikuta akimkingia kifua mwandani wake, David Genzi ‘Young D’ kutokana na kuhusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya na kudai maneno hayo ni uzushi mtupu. Akibonga na Showbiz alisema kuwa, anawashangaa watu ambao kila kukicha wamekuwa wakimsakama […]

Read More..

Waziri Nape Aelezwa Rose Mhando Alivyo jipu

Post Image

MSANII wa nyimbo za injili nchini, Rose Mhando, ameshtakiwa kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, kwa kitendo cha utapeli na kushindwa kutekeleza mkataba wa kuhudhuria na kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka lililofanyika jijini Mwanza licha ya kulipwa gharama zote alizotaka. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions inayoongozwa na Alex Msama, ambayo […]

Read More..

Ferooz Awashukia Msahabiki Wanaodai Anatumi...

Post Image

Ferooz amewajia juu mashabiki wake katika mitandao ya kijamii baada ya kuambiwa anatumia madawa ya kulevya.   Ferooz amedai baada ya Chidi Benz kuonekana afya yake imedhoofika kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya basi mashabiki wanamchukulia kila msanii aliyepungua mwili wake anatumia unga. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Ferooz ameandika: Tatizo la wabongo mnapenda […]

Read More..

Ray c Anaswa Kazimika

Post Image

Ray C akiwa hoi na kinachodaiwa kuwa ni utumiaji wa madawa ya kulevya. Stori: Musa Mateja, Wikienda DAR ES SALAAM: LICHA ya kutumia nguvu nyingi kukanusha habari zinazochapishwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuwa, amerejea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amenaswa ‘laivu’ akiwa […]

Read More..

Wastara Atoroshwa Hospitalini

Post Image

Staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma akiwa hoi hospitali. Morogoro: Taarifa mbaya! Staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma ambaye mapema wiki iliyopita alidai kupewa talaka la mumewe, Sadifa Khamis Juma, Mbunge wa Donge, Zanzibar, anadaiwa kutoroshwa hospitalini kisha kupelekwa hoteli ya mafichoni huku akiendelea na matibabu. Kwa mujibu wa chanzo makini, Wastara aliyekuwa amelazwa kwenye […]

Read More..

Riyama Alipiwa Mahari

Post Image

Hatimaye! Taarifa ikufikie kwamba, staa wa kitambo wa Bongo Muvi, Riyama Ally amelipiwa mahari na mpenzi wake ‘sharobaro’ ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji  Mwalimu ‘Leo Mysterio’ huku mipango kabambe ya ndoa ikiendelea. Riyama ameliambia Wikienda kuwa, anamshukuru Mungu kumpata mtu anayeona ndiye anamfaa katika maisha yake na tayari sasa ni mchumba rasmi wa […]

Read More..

Bifu la Diamond na Alikiba Linavyowanufaish...

Post Image

Ni ukweli kuwa Diamond na Alikiba ni wasanii ambao hawapatani kwa muda mrefu.   Kutokana na ugomvi wao uliopo umepelekea mpaka mashabiki wao kuanzisha team, team hizi zinakuwa zinamsupport msanii wao na kumpinga mpinzani wao. Diamond aliwahi kuhojiwa kwenye kipindi cha Sporah Show alisema, “Kuna wimbo wa Alikiba ‘Singel Boy’ nilimuomba Alikiba kuingiza sauti tulipokuwa […]

Read More..