Gabo Zigamba: Hakuna Wanawake Wakuoa Siku h...
Msanii wa filamu ambaye anafanya vizuri na filamu ya ‘Safari ya Gwalu’ Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa siku hizi hakuna wanawake wakuoa. Mwigizaji huyo ambaye anapewa nafasi kubwa yakufanya vizuri zaidi katika tasnia ya filamu, amesema wanawake wengi wa siku hizi hawajatulia. “Wanawake hakuna siku hizi kuna majike shupa,” Gabo alikiambia kipindi cha Uhondo […]
Read More..





