-->

Author Archives: editor

Gabo Zigamba: Hakuna Wanawake Wakuoa Siku h...

Post Image

Msanii wa filamu ambaye anafanya vizuri na filamu ya ‘Safari ya Gwalu’ Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa siku hizi hakuna wanawake wakuoa. Mwigizaji huyo ambaye anapewa nafasi kubwa yakufanya vizuri zaidi katika tasnia ya filamu, amesema wanawake wengi wa siku hizi hawajatulia. “Wanawake hakuna siku hizi kuna majike shupa,” Gabo alikiambia kipindi cha Uhondo […]

Read More..

Shilole Ampongeza Nuh Mziwanda kwa Kufunga ...

Post Image

Shilole amempongeza Nuh Mziwanda kwa kuongeza idadi ya wasanii walioukimbia ukapera baada ya kufunga ndoa kimya kimya na mpenzi wake Nawal. Kupitia mtandao wa Instagram, Shilole ameandika ujumbe unaosomeka, “Hongera Nuh Mwenyezi Mungu awatie baraka tele kwenye ndoa yenu.” Hitmaker huyo ameungana na mastaa wengine waliofunga ndoa mwaka huu akiwemo Mwana FA, Shamsa Ford, Nyandu […]

Read More..

Martin Kadinda: Diamond Hakukosea Mavazi Kw...

Post Image

Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amefunguka kwa kusema kuwa Diamond hakukosea kuvaa mavazi aliyovaa kwenye video yake ya wimbo ‘Salome’ baada ya watu katika mitandao ya kijamii kudai mavazi hayo hayakuendana na uhalisia ya video hiyo. Mbunifu huyo ambaye pia amekuwa akimvalisha msanii huyo, amesema hakuona tatizo kwa Diamond kutumia mavazi yale kwa kuwa […]

Read More..

MTV EMA Wampokonya Tuzo Wizkid na Kumpa Ali...

Post Image

IKIWA ni siku chache baada ya waandaaji wa Tuzo za MTV EMA 2016 kutoa tuzo hizo na kumtangaza msanii wa Nigeria Wizkid kuwa ndiye mshindi wa Best African Act na Worldwide Act ambapo katika kipengele hicho alikuwa akichuana na msanii wa Tanzania, Ali Kiba. Waandaaji hao wamempokonya Wizkid tuzo hiyo kwa madai kuwa hakustahili na […]

Read More..

Picha:Mwili wa Samuel Sitta Ulivyopokelewa ...

Post Image

Mwili  wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta umewasili jioni hii katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ukitokea nchini  Ujerumani ambako alikuwa akitibiwa hadi mauti yalipomfika. Mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege, mwili wa Marehemu Sitta utapelekwa nyumbani kwake Msasani, Dar […]

Read More..

Alikiba,Jide,Joh Makini,Shetta Wapambana Ku...

Post Image

East Africa Television LTD imeendelea kutaja ‘nominees’ wa vipengele vingine viwili watakaowania EATV AWARDS. Kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio, EATV LTD ikishirikana na Vodacom Tanzania na CocaCola imetaja vipengele viwili vya kundi bora la mwaka, na video bora ya mwaka, ambapo wasanii kutoka nchi 3 za Afrika Mashariki, wamefanikiwa kupenya. Wasanii hao tukianzia […]

Read More..

Eshe Buheti: Mabadiliko Hayakwepeki

Post Image

Anatambulika kwa jina lake halisi la Eshe Buheti. Ni miongoni mwa waigizaji waliotumia majina yao vyema katika tasnia ya filamu nchini. Buheti alifanya mahojiano na gazeti hili kuhusu masual mbalimbali ikiwamo mtuzamo wake katika tasnia ya filamu, unio wa tamthilia, anavyowazungumzia wakongwe na mabadiliko katika filamu. Mtazamo wake Anasema mtizamo wake ni kujipanga na kuja […]

Read More..

Tunda Man Atoa Ushauri Huu kwa Madee Kuhusu...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Tunda Man amemshauri rafiki yake Madee kufunga ndoa kwa kuwa amemzidi umri na ana mwanamke ambaye anampenda hivyo haoni sababu ya Madee kuacha kufunga ndoa na yupo tayari kuchangia mahari ya Madee.   Akiongea ndani ya eNewz Tunda amewapongeza wasanii wezake waliofunga ndoa akiwemo Nyandu Tozi, Mwana Fa , Mabeste na wengine Tunda […]

Read More..

Mimi Sio Meneja wa Wema Sepetu – Martin K...

Post Image

Aliyekuwa meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na malkia huyo wa filamu baada ya wawili hao kutokuwa karibu zaidi kama zamani. Mbunifu huyo wa mavazi ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa yeye na Wema Sepetu ni kama kaka na dada na sio meneja wake tena. “Mimi kum-meneji Wema nimemaliza kama miaka […]

Read More..

Abby Skills Amtaka Hakeem 5 Kumuomba Radhi ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa bongo fleva Abby Skills amemchana msanii mwezake Hakeem 5 kutuliza akili yake na arudi kwa Ally Kiba amuombe msamaha kwa kuwa Kiba hana tatizo na mtu. Akiongea ndani ya eNewz, Abby amesema Hakeem 5 alimkosea sana Alikiba na kumshauri arudi nyuma na kuomba msamaha kwa kuwa mwanamuziki huyo hana kinyongo na […]

Read More..

Donald Trump Ashinda Uchaguzi wa Rais Marek...

Post Image

Donald Trump amemshinda Hillary Clinton katika matokeo ya uchaguzi wa urais uliokuwa na ushindani mkali. Bi Clinton amempigia simu Bw Trump kumpongeza kwa ushindi wake. Bw Trump alikuwa ameshinda majimbo mengi muhimu na kujiweka katika nafasi nzuri ya kushinda. Alikuwa ameshinda Ohio, Florida, na North Carolina, ingawa Bi Clinton alishinda Virginia. Kwa sasa Trump ana […]

Read More..

Lulu ni Wife Material – Idris Sultan

Post Image

Mchekeshaji na mshindi wa Big Brother 2014 Idris Sultan amedai katika tasnia ya filamu, mrembo Elizabeth Michael ‘Lulu’ ndiye msichana mwenye sifa ya kumuoa. Idris ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Wema Sepetu na baadae kuachana, ameiambia 255 ya XXL ya Clouds FM kuwa Lulu ndiye msichana ambaye anahisi ametulia. “Mimi naona Elizabeth Michael ametulia sana,” […]

Read More..

Wasanii Waliofanikiwa Kuwania Tuzo za EATV

Post Image

Zikiwa zimebaki siku 33 kutolewa kwa Tuzo za EATV ambazo zinahusisha wasanii wa muziki pamoja na wasanii wa filamu nchini, East Africa Television leo imetangaza wasanii ambao wamefanikiwa kuingia katika baadhi ya vipengele vya tuzo hizo. Akizungumza kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Dominican Mkama, Mkuu wa Mauzo Kanda ya Dar es Salaam […]

Read More..

Ruby Afungukia Tetesi za Kusaini WCB

Post Image

Muimbaji wa kike mwenye sauti ya dhahabu kwenye Bongo Fleva, Ruby amefunguka juu ya tetesi zilizosambaa kuwa amesaini kujiunga na lebo ya WCB. Ruby amepinga kujiunga na lebo hiyo lakini amedai kuwa anapenda kuwa karibu na Diamond kwa ajili ya kujifunza vitu vingi kutoka kwake. “WCB hawana roho mbaya unaenda tu muda wowote kama unajua […]

Read More..

Video ya Kala Jeremiah Yamkutanisha Mama na...

Post Image

Video ya msanii Kala Jeremiah ‘Wanandoto’ imeweza kumkutanisha mtoto na mama yake mzazi baada ya mtoto huyo kupotea nyumbani kwao tangu mwaka jana mwenzi wa tisa. Mama mzazi wa mtoto huyo amessimulia alivyoteseka kumtafuta mtoto huyo ambapo anasema alikwenda wa waganga, amehangaika kwenye maombi, na njia nyingine za kumpata mtoto wake huyo lakini haikuwezekana mpaka alipokuja […]

Read More..

Tamthilia ya JB ‘Kiu ya Kisasi’ Kuingia...

Post Image

Mtayarishiji wa filamu na mwigizaji, Jacob Stephan ‘JB’ amewataka mshabiki wa filamu kukaa mkao wa kula kwa ajili ya ujio wa tamthilia yake mpya ‘Kiu ya Kisasi’ ambayo ipo katika hatua ya mwisho ili kuingia sokoni. Tamthilia hiyo imewakutanisha mastaa mbalimbali akiwemo, Naj na pamoja na wengine. Kupitia instagram, JB ameandika Niko katika hatua za […]

Read More..

Hii Ndiyo Kauli ya Mwisho ya Sitta Baada ya...

Post Image

Mtoto wa marehemu Samweli Sitta,ambaye pia ni Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta amesema kabla ya kifo cha mzee sita alisema “that is life (hayo ndiyo maisha) baada ya kuambiwa na daktari kwamba ugonjwa unaomsumbua hawezi kupona. Benjamini amezungumza hayo alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari kutaka kujua kilichopelekea kifo cha baba yake kutokea alieleza kuwa […]

Read More..

Miss Tanzania Alia Kutelekezwa na Kamati

Post Image

Miss Tanzania 2016 Diana Edward ambaye ndiye mrembo anayetarajiwa kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia ‘Miss World’, ameilalamikia kamati ya mashindano hayo kwa kumtelekeza. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diana ambaye kwa sasa anatakiwa awe kwenye maandalizi ya mashindano ya Miss World, amesem abado hajapata msaada wowote kutoka katika Kamati ya […]

Read More..