-->

Category Archives: Other News

Okwi Asaini Mkataba wa Miaka Miwili Simba

Post Image

Emanuel Okwi amesaini mkataba wa miaka miwili (2) kujiunga na Simba kuanzia msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara pamoja na mashindano mengine ikiwa ni pamoja na michuano ya Afrika (Caf Confederatio Cup).  

Read More..

Watanzania tunafundishwa michezo ambayo hat...

Post Image

Pwani. Rais John Magufuli ameziponda vikali taasisi za kiraia zinazohalalisha mapenzi ya jinsia moja na kuhimiza wanafunzi wanaopata mimba shuleni, kurudi shule baada ya kujifungua. Ameyasema hayo leo (Alhamisi) katika ziara yake ya siku tatu, mkoani Pwani ambako amezindua viwanda saba na kutembelea kiwanda cha kuzalisha dawa za kuua vimelea vya mbu. “Hawa wageni wanaleta […]

Read More..

Watoto wa JK, Juma Nkamia Washinda Medali z...

Post Image

Dar es Salaam. Mtoto wa Rais mstaafu, Rashid Kikwete na mtoto wa mbunge wa Kondoa, Abdulrazak Nkamia wamelipa sifa Taifa baada ya kushinda medali za dhahabu katika mashindano ya Genius Olympiad, Marekani. Genius Olympiad ni shindano la kimataifa la mazingira linalofanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Oswego kilichopo nchini Marekani. Rashid ambaye ni mtoto […]

Read More..

Katika Utawala Wangu Hakuna Atakayepata Mim...

Post Image

Pwani. Rais John Magufuli amesema wakati wa utawala wake hakuna mwanafunzi atakayepata mimba na kuruhusiwa kurudi shule. Ameyasema hayo leo (Alhamisi) wakati wa ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani ambako amezindua viwanda saba. “Azae halafu aende kuwahubiria wenzake, unajua ilikuwa hivi, halafu nilifanya hivi,”amesema. Amesema waliozaa shuleni wanaweza kwenda kupata elimu nyingine kama vyuo […]

Read More..

Wanaume Vinara wa Michepuko – Kigwangalla

Post Image

Naibu waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla amefunguka na kusema kuwa wanaume wengi wamekuwa vinara wa michepuko jambo ambalo linapelekea kupata virus vya UKIMWI na kwenda kuwaambukiza wanawake. Kigwangalla amesema hayo leo bungeni wakati akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti maalum CHADEMA, Susan Lyimo ambaye alitaka […]

Read More..

Niyonzima Aitosa Yanga

Post Image

Klabu ya Mabingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara Young Africans (Yanga) yamwagikwa machozi baada ya Nahodha wao raia wa Rwanda Haruna Niyonzima kushindwa kufikia makubaliano ya kuendelea kuchezea klabu hiyo baada ya kumaliza mkataba wake mwezi julai. Hayo yamebainishwa na uongozi wa klabu hiyo kupitia kwa Katibu Mkuu, Boniface Mkwasa kwa kusema hawataweza kuendelea na Niyonzima katika […]

Read More..

Mtu Mmoja Akamatwa Akiingiza Nyama Zikiwa n...

Post Image

Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Nombo mkazi wa Dar, amekamatwa leo Juni 19, 2017 akijaribu kuingiza simu 5 katika Gereza la Mahabusu la Keko.     Kijana huyo alikuwa amezifunga simu hizo kwenye mapande ya nyama yaliyorostiwa kama inavyoonesha kwenye picha. Simu hizo zilikuwa ziingizwe gerezani humo ili wapewe wafungwa kwa ajili ya […]

Read More..

Kigogo IPTL, Rugemalira Wafikishwa Mahakama...

Post Image

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani, mmiliki kampuni ya PAP, Habirnder Seth Singh na mfanyabiashara James Rugemalira kwa makosa ya uhujumu uchumi. Akizungumza na waandishi wa habari, leo Jumatatu, Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Kamishna Valentino Mlowola amesema, “Leo nawapa taarifa kuwa tunawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili, kwa makosa ya kuhujumu uchumi na […]

Read More..

Asilimia 61 Tanzania Kuwa Jangwa-Makamba

Post Image

Takwimu zinaonyesha kwamba nchi ya Tanzania ipo hatarini kugeuka jangwa ambapo asilimia 61 ya maeneo ya nchi tayari yapo katika hatari zaidi ya ukame kutokana na ukataji miti hovyo. Akizungumza ofisini kwake mjini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba amesema kwamba mikoa mbalimbali nchini imekwishaanza kuathirika na hali […]

Read More..

Mtanzania Ahukumiwa Jela Miezi 3 Uingereza,...

Post Image

Mwanaume mmoja mwenye asili ya kitanzania, Omega Mwaikambo (43) amekamatwa nchini Uingereza kwa kosa la kuweka picha za mwili wa mtu aliyefariki katika ajali ya moto kwenye mtandao wa Facebook. Mwaikambo ameukumiwa kifungo cha miezi miatatu jela pamoja na kulipa faini ya kwenda jela miezi 3 kwa kosa hilo huku akitakiwa pia kulipa faini ya […]

Read More..

JPM Asema Barrick ni Wanaume, Wametubu na W...

Post Image

Rais John Pombe Magufuli (JPM) amekutana na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni mama ya uchimbaji wa madini ya Barrick Canada, Profesa John Thornton na kufanya naye mazungumzo Ikulu leo. Amesema Barrick imepitia mapendekezo yote ya kamati ya pili ya mchanga wa madini na kuwa imekubali kulipa chochote ambacho kitaonekana wanatakiwa kulipa. “Baada ya kuwaona nilifurahi na […]

Read More..

Spika Awakumbusha Wapinzani Kuwa Nao Wana M...

Post Image

Dodoma. Mjadala wa bajeti umeendelea leo bungeni huku suala la mchanga wa madini likitawala sehemu kubwa ya mjadala huo. Wakati wa mjadala huo, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia. Ndugai amesema hayo leo […]

Read More..

Rais Magufuli apokea taarifa ya ripoti ya P...

Post Image

Leo June 12 2017 ndio ilikua siku ya Rais Magufuli kuipokea Ripoti ya pili ya mchanga wa madini ambao Makontena yake yalizuiwa kusafirishwa kwenda nje ya Tanzania.. hii video hapa chini itakukutanisha na kila alichosema na kuonyesha hisia zake

Read More..

Bajeti ya Mpango Yaibua Shangwe

Post Image

Serikali  ya Jamuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2017/18, huku ikiwa imetangaza kufuta na kupunguza tozo, ushuru na kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye sekta mbalimbali hapa nchini. Bajeti hiyo imewasilishwa leo Juni 08, na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ambapo amependekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko […]

Read More..

Mabomu Yatumika Kutawanya Bobaboda

Post Image

Jeshi la polisi mkoani Shinyinga limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya madereva Bobaboda ambao walikuwa wakiaandamana kuonyesha kupinga kitendo cha polisi baada ya dereva bodaboda mmoja kufariki wakisema kifo chake kimesababishwa polisi. Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema tukio hili limetokea leo majira ya saa moja asubuhi hadi saa sita mchana ambapo askari polisi walikuwa wakipimana […]

Read More..

Rais Magufuli Amteua Anna Mghwira Kuwa Mkuu...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemteua Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Ikulu leo Jumamosi imesema kuwa Mgwira amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Saidi Meck Sadiki. Katika taarifa hiyo Rais Magufuli pia amewateua Meja Jenerali Issah Suleiman na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi(DIGP), Abdlrahman Kaniki […]

Read More..

Rais Magufuli Afunguka Anavyomkumbuka Ndesa...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Mbunge mstaafu wa Jimbo la Moshi mjini Mzee Philemon Ndesamburo kilichotokea asubuhi ya leo. Katika salamu za rambirambi alizozitoa Rais Magufuli kwenda kwa wafiwa pamoja na viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) […]

Read More..

Maajabu ya Pacha Walioungana, Wajikuta Kati...

Post Image

Jana tuliishia sehemu inayoeleza jinsi pacha hawa walioungana, Maria na Consolata, wanavyochangia hisia za baadhi ya viungo vyao. Pengine ni kuchangia huko kwa hisia za viungo, kumefanya wawe pia na hisia moja katika masuala ya kimaisha. Wawili hawa wanahisia moja ya kimapenzi. Sasa endelea… Si rahisi kufikiria maisha ya ndoa ya Maria na Consolata kwa […]

Read More..