-->

Tag Archives: NIVA

Picha: Niva Aibuka Kariakoo na Kutoa Zawadi...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva’ siku ya jana aliwahangaza wengi kwa kitendo cha kutembelea maduka ya filamu kariakoo na kusaidia kuuza a filamu yake ya Kisanga nae Mwana ambapo alitoa zawadi za T-Shirt za filamu yake hiyo na Radio za solar kutoka steps solar kwa mashabiki. Filamu ya Kasanga Naye Mwana ambayo imewajumuisha […]

Read More..

Filamu ya Kasanga Naye Mwana Yaingia Sokoni...

Post Image

ILE Filamu ya Kasanga naye mwana imeingia leo sokoni na kusambazwa nchi nzima akionge na FC Nassor kutoka kampuni ya Steps Entertainment ya jijini Dar es Salaam amesema kuwa filamu hiyo inaptaikana katika maduka yote ya filamu na Bongo movie Shop kila mkoa. Filamu ya Kasanga Naye Mwana imeingia leo sokoni na inapatikana katika maduka […]

Read More..

Niva Atembelea Watoto Wenye Shida Katika Ki...

Post Image

MWIGIZAJI wa kiume wa filamu  Zuber Mohamed ‘Niva’ aka Super Mario leo hii mchana ametembelea kituo cha watoto wenye shida wanaoishi katika kituo cha Taifa kilichopo Kurasini katika Wilaya ya Temeke na kuweza kutoa zawadi kwa watoto hao ambao wapo pia watoto wenye matatizo mbalimbali na mtindio wa Ubongo. Niva akitoa msaada wa kwa mlezi […]

Read More..

Niva Supermarioo Alamba Dili Nono

Post Image

Mwigizaji Niva Zubery wanamwita Niva  supermarioo Niva ameingia mkataba mpya na kampuni ya  Steps entertainment wa kuangusha filamu kali kwa mwaka huu. Huku akianza na filamu kali ya Kasanga nae Mwana akiwa na Gabo. Wakati huo kazi nyingine hiyooo ya KIZA akiwa na Riyama Ally na Grace Mapunda.

Read More..

Niva Amfungukia Nay wa Mitego Baada ya Kuch...

Post Image

Baada ya msanii Nay wa Mitego Kumchana Niva Kwenye ‘Shika Adabu Yako’ kupitia mtandao wa instagram Niva amefunguka haya; Alianza kuwa kuandika haya; “Jioni ya Leo ndio watu watajua. Kama natafuta Kiki kwako au wewe @naytrueboy umeamua kuipata Kiki kwangu coz ney watu wameanza kukujua 2013… mimi watu wameanza kunijua tangia elfu mbili na sita […]

Read More..

Ishakua Soo Itamembeba Niva- Jimmy Mafufu

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa filamu ijayo hajaona msanii wa Bongo wa kumshirikisha kwani wasanii wengi ameshawashirikisha katika filamu zake nyingi na sasa anaangalia uwezo wa kuwatumia wasanii wakubwa kutoka . “Sioni tena msanii wa kumshirikisha filamu zangu za kiume maana katika filamu yangu […]

Read More..

Baada ya Jimmy Mafufu Kushindwana na Jason ...

Post Image

MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Swahilihood Jimmy Mafufu amemwangukia msanii wa filamu Bongo Zubery Mohamed ‘Niva’ kwa kumshirikisha katika filamu ya Ishakua soo sinema ambayo ipo njia kutoka tarehe 15.February .2016 awali msanii huyo alikuwa na mpango wa kumshirikisha msanii mkubwa kutoka nchini Marekani Jason Statham katika filamu hiyo ambayo ni filamu ya kipekee kwa […]

Read More..

Dada Zangu wa Bongo Movies Washobokaji Kaso...

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Niva  amefunguka na kudai kuwa dada zake wengi wa Bongo Movies wanapenda kuwashobokea wanaume hasa wakiona vitu kama magari. ‘Dada zangu wa bongo movies wengi washobokaji, watu ambao sio washobokaji ni wawili tu kwenye bongo movies nzima, Riyama na Monalisa kwisha, walionbaki wote  ni washobokaji, wakimuona mtu hivi basi, shobo shobo”. […]

Read More..