-->

Tag Archives: RAY

Ni Mvutano Kati ya Ray na Batuli Kuhusu Mad...

Post Image

Kutoka Mtandaoni Mastaa wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ wamerushiana maneno kupitia akaunti zao kwenye mtandao wa Instagram kufuatia madai aliyoyatoa Batuli kuwa amedhulumiwa na Ray kwenye filamu ya Tajiri Mfupi ambayo batuli ameigiza. Alianza Batuli kwa kuandika haya; Haki Ya Mtu Haizami Swali: Movie Yako Nimecheza Mwaka Juzi Wiki Moja […]

Read More..

Ray Kawa Mkongo Mpaka Leo Anaishi Kwao- Nay

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nay wa mitego ameweka wazi baadhi ya mistari ambayo ipo kwenye moja ya wimbo wake ambao ana wasiwasi kuuachia kwa mashabiki kutokana na vitu alivyozungumza. Kwenye wimbo huo ambao anadai anaogopa akiuachia watanzania watamchukia kwa mambo aliyozungumza kwenye wimbo huo alioupa jina la ‘Shika adabu yako’. Katika wimbo huo […]

Read More..

RJ Mbioni Kudondosha ‘Tajiri Mfupi’-Ray

Post Image

  Muigizaji mkongwe na mkurugenzi wa kampuni ya RJ inayojihusisha na utengenezaji wa filamu hapa bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amedokeza kuwa kwa sasa kampuni hiyo ipo mbiyoni kuachika filamu yao mpya inayokwenda kwa jina la TAJIRI MFUPI. ‘Kampuni yako ya kizalendo nchini Tanzania RJ company (Best Quality Ever!) ipo mbioni kudondosha mzigo wa kufa mtu […]

Read More..

Ray Kufungua Mwaka na ‘Tajiri Mfupi’

Post Image

Staa mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye pia ni moja kati ya wakurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya RJ anatarajia kufungua mwaka huu wa 2016 kwa kuuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Tajiri Mfupi ikiwa imesheheni mastaa wakali kama Ray mwenyewe, Muhogo Mchungu, Batuli na wengineo. Akiongea na chanzo […]

Read More..

Chuchu Hans Akanusha Kugombana na Johari Ki...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Chuchu Hans amekanusha kugombana na Johari Chagula baada kuibuka madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa wawili hao hawaelewani kisa Vicent Kigosi aka Ray.   Chuchu aliyesema pia kuwa uhusiano wake na Ray hauna tatizo, amekiambia kipindi Take One cha Clouds TV Jumanne hii kuwa, hana tatizo na Johari na mara nyingi […]

Read More..

Chuchu Hans Akanusha Kuachana na Ray

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Chuchu Hans amesema bado yupo kwenye uhusiano wa kimapenzi na Vicent Kigosi aka Ray licha ya hivi karibuni baadhi ya watu kudai wawili hao hawapo tena pamoja.   Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumanne hii, Chuchu alisema toka aanze kutoka kimapenzi na staa huyo mengi yamezushwa juu […]

Read More..

Ray Awapa Makavu Wanaofatilia Maisha ya Wat...

Post Image

Ray ameandika haya kwenye ukurasa wake Instagram. “Kijana mwenzangu mwaka ndio huo unaisha inama tafakari nini ulichokifanya mwaka huu,je ulichokipanga kimefanikiwa kwa asilimia ngapi au kazi yako ilikuwa nikuangaika na maisha ya watu kwenye insta? Wenzako wanapiga hatua kumi mbele wewe unapiga hatua kumi nyuma. ujachelewa achana na maisha ya watu pambana na maisha yako […]

Read More..

Ujumbe Huu wa Ray Umewagusa Wengi

Post Image

Mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara kadhaa amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali kwenyekupitia ukurasa wake mtandaoni kuhusu maisha kwa ujumla. Kila mtu amekuwa akizichukulia jumbe hizo kwa namna anavyofikiria yeye mwenyewe lakini huu wa leo umewakuna wengi. Ray ameandika; “Katika maisha unapoamua kuwa na mtu ni kwa maisha yako usihitaji mtu kwa […]

Read More..