-->

Daily Archives: April 6, 2016

Wastara, Hili la Ndoa Inabidi Ujifunze!

Post Image

KWAKO mwigizaji wa kitambo Bongo Muvi, Wastara Juma. Habari za kazi? Unaendeleaje na shughuli zako za kila siku? Binafsi namshukuru Mungu. Sijambo. Naendelea kupambana. Nimekukumbuka leo kwa barua, maana kitambo kidogo hatujaonana laivu. Nakumbuka mara ya mwisho tulikutana nyumbani kwako, Tabata. Tukazungumza mengi, lakini hiyo ilikuwa yapata zaidi ya miaka minne iliyopita. Dhumuni la barua […]

Read More..

Filamu ya Tanzania Kuonyeshwa Tamasha la Ma...

Post Image

BAADA ya mafanikio makubwa iliyopata filamu ya ‘Aisha’ ilipoonyeshwa kumbi mbalimbali ikiwemo Nafasi Artspace na Pangani, filamu hiyo imechaguliwa kwa ajili ya kuonyeshwa katika tamasha la kimataifa la filamu la New African Films litakalofanyika Washington D.C. nchini Marekani, mwaka huu. Pia filamu hiyo imechaguliwa kuonyeshwa katika tamasha la kimataifa la filamu duniani katika maeneo manne mashuhuri […]

Read More..

Rais wa Shirikisho la Filamu Asema Haya Kuh...

Post Image

Baada miaka ya hivi karibuni kuibuka kwa wasanii wengi wa muziki kuhusishwa na matumizi ya Madawa ya kulevya, Rais wa Shirikisho la Filamu ‘TAFF’ Simon Mwakifwamba wamewapongeza wasanii wa filamu kwa kutokujihusisha na matumizi ya Madawa ya kulevya. Akizungumza na Clouds FM Jumanne hii, Mwakifwamba amesema kuwa hakuna msanii wa tasnia hiyo anajihusisha na utumiaji […]

Read More..

Hivi Ndivyo Irene Uwoya Alivyojifungua Kwa ...

Post Image

Msanii wa filamu Irene Uwoya amesema hakupenda kabisa kujifungua kwa upasuaji lakini ilimbidi afanye hivyo ili kuokoa maisha yake pamoja naya mwanaye.   Muigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Krish, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa wakati anaelekea hospitali kucheki afya yake na maendeleo ya mimba yake, hakujua kama ndio siku […]

Read More..

Dudu Baya Amuomba Radhi Shetta

Post Image

Msanii Dudu baya ambaye alikuwa na ugomvi na msanii mwenzake Sheta, na kumtolea maneno machafu kwenye kipande cha video kilichosambaa kwenye mitandao ya kijamii, amemuomba msamaha msanii huyo na kumtaka kuwe na amani kati yao. Kwenye ukurasa wake wa instagram Dudu Baya amepost picha ya Sheta huku akiandika ujumbe mrefu wa kumuomba radhi msanii huyo. […]

Read More..

Hii Ndiyo Mipango ya Diamond kwa Mwaka Huu

Post Image

Pamoja na kuwa tumekuwa tukimshuhudia Diamond Platnumz akitangaza kolabo na wasanii wa kutoka Marekani lakini hakuna hata moja tuliyoona hata cover yake,mwaka jana rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete alimuunganisha Diamond na meneja wa Trey Song na ikasema kuwa kuna kolabo itafuta hiyo ni mbali na Swizz Beats,Alicia Keys,Alaine,Kanye West na wengine,na hivi karibuni […]

Read More..

Babu Yake Wastara Aeleza kilichosababisha N...

Post Image

Babu yake Wastara amefunguka na kueleza kilichosababisha kuvunjia kwa ndoa ya Wastara na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma. Akizungumza na Times Fm, Babu huyo aliweka bayana kuwa Mbunge huyo mwenye cheo ndani ya umoja wa vijana CCM, alifikia hatua ya kuwatongoza wafanyakazi wa ndani ili awe nao kimapenzi. “Wastara hataki kurudiana na […]

Read More..