Davina Ajikita na Huku Sio kwenye Movie Pek...
MWIGIZAJI wa kike wa Filamu Bongo Halima Yahaya ‘Davina’ anasema kuwa kaamua kuwa mjasiriamali badala ya kutegemea njia moja tu ya kuigiza wakati anakuwa na mahitaji mengi ni bora kuwa mjasiriamali kuweza kumudu maisha ya watu nyota. “Maisha magumu kwa sasa huwezi kutegemea kitu kimoja tu lazima ujishughulishe katika kuhakikisha unapata kile uanchotaka kama sasa […]
Read More..





