-->

Daily Archives: April 28, 2016

Naonyesha Mali Zangu Kuwapa Nguvu Vijana-Na...

Post Image

Msanii Nay wa Mitego amesema mara nyingi yeye hupenda kuonesha vitu anavyo miliki zikiwepo gari, nyumba hata pesa kwa lengo kuu moja, anadai anafanya hivyo ili kuwatia moyo vijana ambao wamekata tamaa. Amesema anafanya hivyo kwa kuwa yeye mwenyewe alitoka katika maisha magumu ambayo alikuwa hadhani kama angeweza kufikia mafanikio hayo lakini alipambana na kupigania […]

Read More..

Nilipenda Sana Ugomvi Utotoni-Riyama

Post Image

Staa wa filamu nchini, Riyama Ally amesema wakati akiwa mdogo alikuwa anapenda sana ugomvi. Akizungumza na gazeti la Mwanaspoti Alhamisi hii, Riyama alisema wakati huo watu mtaani kwao walikuwa wanamuogopa. “Utotoni nilipenda sana ugomvi, yaani mtu asinichokoze ninaye huyo yaani nilikuwa napenda kupigana na kuingilia ugomvi hata kama haunihusu kiasi mtaani walikuwa wananiogopa, kitu ambacho nikikumbuka […]

Read More..

Nimesahau Habari za Shilole- Nuh Mziwanda

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Jike Shupa’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye alishasahau habari za Shilole hivyo hata wimbo wake huo mpya hajamuimbia Shilole Kama ambavyo baadhi ya watu walikuwa wakihisi kutokana na ujumbe uliopo kwenye wimbo huo. Nuh Mziwanda akizungumza na eNEWS alisema yeye hawezi […]

Read More..

Pete ya Uchumba Siyo Kigezo Kuwa Utaolewa- ...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kwamba siyo vizuri kuzungumzia masuala ya mchumba kwenye vyombo vya habari au kujitangaza sana kwani mtu unaweza kuishia kwenye kuvishwa pete ya uchumba tuu.   Wolper amefunguka hayo katika kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV ambapo mtangazaji Deogratius Kithama alitaka kujua kwa undani kuhusu mwanadada huyo mrembo ni […]

Read More..

Faiza Ally Kuanzisha Biashara ya Vichupi Vy...

Post Image

Msanii wa filamu ambaye haishi vituko, Faiza Ally ameamua kuja kivingine kwa kuanzisha biashara mpya ya chupi za kuogolea. Kupitia ukurasa wa instagram, Faiza ameandika: Haya wapenzi wangu mimi#wapenzi wa beach# nawaletea chupi nzuri za kuogelea #swimming dress za wakubwa #watoto #wanaume na wanawake kaeni tayari kupendeza # beach mwenzie vichupi ama vepe ?? #Look […]

Read More..

Nay Wamitego na Niva Wavuana Nguo Hadharani

Post Image

Baada ya lile drama kati ya nyota wa Bongo movie, Niva Supermariyo, na Nay wa Mitego kushika moto kutokana na wimbo wa ‘Shika adabu yako’ ya Nay na Niva kuamua kumjibu kupitia filamu ambayo aliipa jina la ‘Maisha ya mtoto wa Manzese’. Sasa mastaa hao wameamua ‘kuvuana nguo’ hadharani kwa kila mmoja kuamua kumponda mwenzake. […]

Read More..

Hawa wa Nitarejea ya Diamond Ataka Menejime...

Post Image

Msanii Hawa ambaye alifanya poa kwenye moja ya collabo iliyotikisa Afrika Mashariki, Nitarejea ya Diamond, amefungukia suala la kupata uongozi na kumsimamia kazi zake za muziki. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na east Africa Radio, Hawa amesema anaogopa kutangaza kuwa anahitaji mtu wa kumsimamia (manager) kutokana na aliyoyapitia siku za nyuma, na kuhofia […]

Read More..