Hatimaye Shilole Kuolewa Sasa
Msanii wa bongo fleva asiyekaukiwa drama Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kwa sasa ameshatolewa barua na mpenzi wake aliyeko naye kwenye mahusiano na endapo Mungu akimjalia atafunga naye ndoa ili kuhalalisha. Shilole amefunguka hayo kwenye 5Selekt ya EATV na kusema kwa sasa ameamua kuweka mahusiano yake faragha kidogo ili aweze kuwa huru na mpenzi wake. “Mimi […]
Read More..





