-->

Daily Archives: March 19, 2018

Mama Uwoya Afunguka Mapya Kuhusu Ndoa ya Ir...

Post Image

Dar es Salaam. Mama yake, Irene Uwoya, Neema Mrisho amesema hampendi Dogo Janja kwa sababu msanii huyo hana adabu. Ameyasema hayo ikiwa ni siku chache baada ya Irene Uwoya kusema ameshindwa kumpeleka Dogo Janja kwa wazazi wake, kutokana na kuwa mama yake kuwa mtu wa kusafiri mara kwa mara. Akizungumza na MCL Digital leo Machi […]

Read More..