-->

Daily Archives: March 27, 2018

VideoMPYA: Beka Flavour anakuletea hii nyin...

Post Image

Baada ya staa wa muziki wa Bongo Fleva Beka Flavour kuachia ngoma yake yakibenten na kufanya vizuri this time anakusogezea nyingine ya kuitazama “Noana kiza”akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo. bofya PLAY kuitazama

Read More..

Alichosema Jay Moe kuhusu kutofanya collabo...

Post Image

  Mashabiki wengi hujiuliza inakuaje kwenye upande wa Bongo Fleva mastaa wakongwe katika game hii wanashindwa kufanya collaboration wao kwa wao , ugumu unakuwa wapi?? Je ni kwamba ladha ya muziki itapungua kutokana na wao kuwa wakongwe katika muziki? Majibu yote anayo Jay Moe, alisema “Naona watu wanacho jaribu kukitafuta saivi ni kitu kipya , Solo nipo naye […]

Read More..

1