-->

Daily Archives: March 17, 2018

Shilole na Uchebe wafunguka kuhusu ndoa kuv...

Post Image

Msanii wa muziki bongo ambaye kwa sasa mjasiriamali anayehakikisha matumbo ya watu yanapata afya, Shilole au Shishi Trump, hatimaye amefunguka kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na mume wake Uchebe. Akizungumza na mwandishi wa EATV Shilole amesema hajaachana na mume wake na wala hawafikirii kuachana. Kwa upande wa mume wake Shilole Bwana Uchebe amesema sio kweli […]

Read More..