-->

Daily Archives: March 4, 2018

Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu atoa neno kw...

Post Image

Wasanii wa filamu nchini wametakiwa kuzingatia maadili na nidhamu ili waweze kufanikiwa katika kazi zao. Rai hiyo imetolea na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Joyce Fissoo alipokuwa akiwasilisha mada katika kikao kazi cha maafisa Utamaduni na wadau wa tasnia ya filamu wa mkoa wa Arusha iliyofanyika jana Jijini Arusha. Mama Fissoo alisema kuwa […]

Read More..