-->

Author Archives: editor

Mzee Majuto: Filamu Yangu Ijayo ni Zaidi ya...

Post Image

Msanii wa filamu za kuchekesha Bongo, King Majuto amesema kuwa filamu yake mpya ijayo ni zaidi ya filamu zake zilizopita. Akiongea na Times FM, “Hii ina ujumbe wa kuelimisha jamii kuachana na mambo Ambayo hayana manufaa kwa maisha ya sasa na nimewashirikisha wasanii mbalimbali maarufu.” Aidha Majuto amefafanua kuwa sababu ya kuchelewa kuiachia filamu hiyo […]

Read More..

Joh Makini Afunguka Kuhusu Wapi Bongo Fleva...

Post Image

Msanii Joh Makini ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa ‘Perfect Combo’ amefunguka na kusema muziki wa bongo fleva sasa unaelekea sehemu nzuri na wale wote waliokuwa wanafanya ujanja ujanja kwenye muziki wataachwa kwani wakati umebadilika sasa na watu wanataka kusikia muziki mzuri na si ujanja ujanja. Joh Makini aliyasema hayo kwenye kipindi […]

Read More..

Filamu ya Aisha Yaongoza Tuzo za Ziff

Post Image

FILAMU ya Aisha imenyakua tuzo nne za Ziff ikiwemo mwigizaji bora wa kike, Godliver Gordian, mhariri bora wa video, Momose Cheyo, mwongozaji bora, Chande Omari na filamu bora ya makala iliyokwenda kwa prodyuza, Amil Shivji.  Tuzo hizo za Bongo Movie zimetolewa kwa vipengele viwili kikiwemo cha tuzo za Azam na tuzo za ComNet. Filamu nyingine […]

Read More..

Diamond Afunguka Haya Baada ya ‘Kidogo’...

Post Image

Diamond Platnumz anasherehekea mafanikio ya video ya wimbo wake mpya, Kidogo. Ndani ya siku nne, video ya wimbo huo aliowashirikisha P-Square imefikisha views zaidi ya milioni moja kwenye mtandao wa Youtube. Staa huyo hakusita kusherehekea hatua hiyo na mashabiki wake:  

Read More..

Siwema: Nay Hajanikatisha Tamaa ya Kuwa na ...

Post Image

Mrembo aliyezaa na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amefunguka kuwa, kuingia doa kwa penzi lake na jamaa huyo hakujamkatisha tamaa kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ambaye ni staa. Siwema ameliambia Wikienda kuwa hawezi kuapa kwamba hatakaa atumbukie tena kwenye penzi la msanii kwa kuwa hakuna anayejua huko […]

Read More..

Kazi Kazi’ Ndiyo Ujio Mpya Prof Jay Kweny...

Post Image

Mbunge wa jimbo la Mikumi kupitia tiketi ya Chadema na mwanamuziki wa Hip hop Prof Jay amefunguka na kusema kuwa amendika na kutengeneza video ya wimbo wake mpya alioupa jina la ‘Kazi kazi’  ili kuwatia moyo vijana na watu waliokata tamaa ya maisha na kuwataka kufanya kazi kwani ipo siku maisha yao yatabadilika. Prof Jay […]

Read More..

Video ya Fid Q yashinda Tuzo za ZIFF

Post Image

TUZO mpya ya video bora ya wimbo wa Bongo Fleva imekwenda kwa Farid Kubanda ‘Fid Q’ kupitia video ya wimbo wake wa ‘Walk it Off’. Katika shindano hilo, wasanii saba wa muziki wa kizazi kipya kutoka Dar es Salaam na watatu kutoka Uganda walioshindanishwa video zao, video hiyo ndiyo iliibuka mshindi. Kwa mujibu wa mkurugenzi […]

Read More..

Nisha: Majungu, Wivu Vilinitenga na Marafik...

Post Image

Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka sababu za yeye kutokuwa na marafiki wa kike kuwa ni majungu na wivu tofauti na marafiki wa kiume. Nisha ameliambia Wikienda kuwa, watu wengi wamekuwa wakimuuliza sababu ya kuwa na marafiki wa kiume pekee na siyo wa kike ambapo amekuwa akiwajibu kuwa si kwamba hakuwahi […]

Read More..

Shaa Sipo Tena Ndani ya Mj record

Post Image

Saa ameithibitishia Enews kwamba kwa sasa yeye hayupo tena chini ya lebo ya Mj Record Malikia wa uswazi kama mwenyewe anavyopenda kujiita Shaa ameweka wazi zile tetesi zilizokuwa zimezagaa kwamba ameondoka Mj Record na kesema ni kweli hayupo chini ya lebo hiyo lakini haimaanishi kwa hafanyi kazi na studio za Mj . Hata hivyo Shaa […]

Read More..

Chura ya Snura Bado Kimbembe

Post Image

LICHA ya kufungiwa na mamlaka husika za serikali kutokana na video yake kukiuka maadili ya Mtanzania, wimbo wa ‘Chura’ ulioimbwa na Snura Mushi ‘Snura Majanga’ unaonekana kumpa changamoto kwa mashabiki wake kila wanapomtaka auimbe. Katika kila onyesho lake mjini hapa, mkali huyo anayetamba kwa sasa na wimbo mpya wa ‘Shindwe’ unaomaanisha kishindo, mashabiki wamekuwa wakimshinikiza […]

Read More..

Waziri Nape Azindua Filamu ya Sikitu!

Post Image

Waziri Nape Nnauye akiongea jambo kabla ya kuizindua filamu ya Sikitu, ndani ya ukumbi wa sinema uliopo ndani ya Jengo la Quality Center jijini Dar es Salaam. Muandaaji wa filamu hiyo, Kajala Masanja (wa pili kutoka kulia), akiingia ukumbini hapo tayari kwa kushuhudia zoezi la uzinduzi huo.   Nape katikati, akifuatilia filamu hiyo muda mfupi […]

Read More..

Ujumbe wa Babu Seya Kwa Mtoto wa Kajala

Post Image

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa staa wa filamu Kajala Masanja, Paula, ambapo Kajala amemwandikia ujumbe mzuri mwanae huyo huku akimkumbusha mwanae jukumu alilopewa na msanii mkongwe wa muziki, Babu Seya aliye gerezani kwa muda mrefu. Wawili hao walimtembelea Babu Seya hivi karibuni na kuzungumza naye mambo kadhaa. Kupitia instagram, Kajala ameandika: Dear […]

Read More..

Niliitwa Mimi Mwizi- Babu Tale

Post Image

Meneja wa Diamond Platnumz na Tip top Connection, Babu Tale amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi waliondoka kwake kwa maneno ambayo walikuwa wakiambiwa mtaani na wananchi kuwa ana wasimamia huku akiwaibia pesa zao. Babu Tale alisema haya kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai wasanii hao waliamua kuondoka chini ya uangalizi […]

Read More..

Wimbo wa ‘Pale Kati’ wa Nay wa ...

Post Image

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Taarifa iliyotolewa leo na Baraza hilo na kusainiwa na Katibu wake Mtendaji Godfrey Mngereza, imeeleza kuwa msanii huyo amekuwa na tabia na mienendo yenye kuchafua Sekta ya Sanaa yeye binafsi […]

Read More..

Mama Afunguka Wema Kurudiana na Diamond!

Post Image

Licha ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuibuka na kukanusha sakata lao la kurudiana, bado madai ya wawili hao kutoka kwa siri yamekuwa yakishika kasi kiasi cha kumfanya mama mzazi wa Wema, Miriam Sepetu naye kulazimika kufungukia taarifa hizo. MADAI YA KURUDIANA […]

Read More..

Steve Nyerere: Mastaa Tupunguze ‘Raundi’

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri Bongo, Steve Nyerere amewataka mastaa wenzake kupunguza kuagiza raundi wanapokuwa kwenye starehe za unywaji pombe badala yake, siku moja moja wajitoe kwa ajili ya kuwasaidia watoto yatima. Akizungumza wakati wa futari iliyoandaliwa na mfanyabiashara Davis Mosha nyumbani kwake Sinza, Steve aliwataka kuiga mfano wa pedeshee huyo kwa kuwa mara nyingi hujitoa kwa watoto […]

Read More..

Faiza Ally Afungukia Kiki za Bongo Movi

Post Image

Msanii wa filamu Faiza Ally amewataka wasanii wenzake wa filamu kuacha kutafuta ‘kiki’ ambazo haziwanufaishi katika kazi zao. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Faiza amesema wasanii wengi wa kike wa filamu wanatafuta kiki za mapenzi bila kujua kiki hizo zitawasaidiaje. “Kiki sio mbaya lakini hiyo kiki inakusaidiaje?, mimi ukiona nafanya kiki ujue kuna kazi ambayo […]

Read More..

Roma Amemchana Babu Tale

Post Image

Wakati wananchi wa kisubiri kusikia wimbo mpya wa Roma juu ya kuichana serekali ya Magufuli ,Roma ameachia wimbo wake huo ambao amewachana wala unga pamoja na babu tale kumganda Diamond Baada ya mashabiki kukaa na kusubili kazi mpya ya Roma Mkatoliki ambayo amemshirikisha msanii mwenzake Darasa ambayo kila mwananchi akitegemea kusikia akiichana serekali ya Magufuli […]

Read More..