-->

Author Archives: editor

Nunua Filamu Hapa: Filamu Mpya Zilizotoka, ...

Post Image

NUNUA FILAMU HAPA: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. KAMA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA FILAMU POPOTE PALE: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. Filamu hizi zinapatikana sasa

Read More..

Diamond Platnumz Atoa Msada wa Madawati 600

Post Image

Msanii Diamond Platnumz akiwa na uongozi na wasanii wote wa WCB, leo wamemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda madawati 600 ya wanafunzi ambayo yatasaidia takribani ya wanafunzi 1800 katika jiji la Dar es Salaam ambao walikuwa wanakaa chini. “Mapema leo na familia nzima ya WCB wasafi katika ofisi ya Mkuu wa […]

Read More..

Chuchu Hans Adaiwa Kunasa Ujauzito

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans anadaiwa kunasa ujauzito wa mchumba wake ambaye naye ni staa wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’. Kwa mujibu wa chanzo ambacho kipo karibu na wawili hao, Chuchu kwa sasa ni mtu wa kujifungia ndani na amekuwa hapatikani kwenye matukio mbalimbali yanayomhusu. “Ameshanasa, tena ujauzito huo ni wa Ray, unaambiwa sasa […]

Read More..

Esha Alia Wivu kwa ‘Hausigeli’ Wake

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Esha Buheti ‘amelia’ wivu kwa mfanyakazi wake wa ndani (hausigeli) kuwa katika maisha yake ya ndoa hapendi kumwachia ampikie mumewe kwani siyo maadili. Akizungumza na Showbiz Xtra Esha alisema kuwa, hata mumewe akipikiwa na dada wa kazi huwa anajua kwani akikionja chakula tu lazima aulize mpishi ni nani kutokana kuwa […]

Read More..

Mau Fundi Ahamia ‘Stand Up Comedy’!

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri katika tasnia ya filamu Maulid Ali ‘Maufundi’ amesema kuwa kwa sasa katika kujiongezea kipato kwenye uigizaji anageukia uchekeshaji wa majukwaani (Stand up Comedy) ili kuepukana na hali ya soko la filamu ambalo limepoteza mwelekeo. “Waswahili husema ukicheka na Nyani utavuna mabua, sasa mimi sitaki kuvuna mabua ndio maana nakimbilia kwingine ambako wengi wanakuogopa […]

Read More..

Babu Tale Afungukia Swala la Wasanii wa ‘...

Post Image

Baada ya kambi ya WCB kuonekana wasanii wake wanapenda kutoka kimapenzi na wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao, uongozi wa kambi hiyo umelizungumzia swala hilo. kizungumza na waandishi wa habari Alhamisi hii, Mmoja kati ya viongozi wa juu wa kambi hiyo, Babu Tale, amesema ni bahati kwa wasanii wake kupata wanawake waliowazidi umri. “Sisi tunameneji […]

Read More..

Wema Sepetu ni ‘Brand’ Lakini Haitumiki!

Post Image

NI mrefu, mwenye ngozi yenye rangi ya dhahabu. Ana macho meupe, pua fupi, midomo minene iliyofunika meno yaliyopangika vyema kinywani na kutengeneza mwanya mdogo wa kichokozi katikati. Sauti yake nyembamba ni kivutio kingine, shingo ndefu kama ya twiga ni kati ya sifa zinazomuacha kwenye orodha ya warembo wa Tanzania wenye mvuto kwa mwaka wa kumi […]

Read More..

Kajala Amwanika Bwana Mpya!

Post Image

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzikati alimwanika bwana’ke mpya, kufuatia kupigana kibuti na Mbongo Fleva, Quick Raca, Risasi linakujuza. Katika Pool Party ya staa mwenzao, Shilole, iliyofanyika katika uwanja wa ofisi ya BKT iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam, Kajala alimtambulisha mwanaume huyo bila kumtaja jina, akisema […]

Read More..

Wolper Afungukia Alivyondanganyika Kwenda A...

Post Image

Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amesema alijikuta akidanganyika kwenda Afrika Kusini kwasababu alitaka akasomee Kiingereza, lugha anayoamini ni muhimu wake. Akiongea kwenye kipindi cha Take One, kinachoruka kupitia Clouds TV, Wolper amesema kuwa chuki zilizopo kwenye kiwanda cha filamu na tatizo la kutoijua lugha hiyo ndiyo sababu nyingine iliyomfanya akubali kumfuata mpenzi wake Mkongo […]

Read More..

Mboto Ataja Kirusi Hatari Bongo Muvi

Post Image

KAMA ni kipaji amejaliwa na anajua kikitumia vyema. Haji Salim maarufu kama Mboto ni mchekeshaji mkubwa hapa Bongo aliyefanikiwa kuiteka hadhira yake. Ubunifu wake ni kati ya silaha zinazomfanya akubalike zaidi. Nje ya kamera, Mboto hana maringo, ni msikivu na mpole wa kiasi lakini ukiwa naye karibu andaa mbavu zako, maana vituko vyake vinaweza kuchanachana […]

Read More..

Irene Uwoya Kuja na Hii Mpya

Post Image

Mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya baada ya ukimya wa muda mrefu bila kuachia kazi, anajipanga kuachia tamthilia yake mpya iitwayo ‘Drama Queen’. Akiongea na Bongo5 Alhamisi hii, Uwoya amesema tamthilia kwa sasa zinalipa vizuri kutokana na runinga nyingi kuhitaji tamthilia. “Nataka kufanya tamthilia ambayo inaitwa Drama Queen,” alisema Uwoya “Mimi ndio Drama Queen mwenyewe, na […]

Read More..

Diamond Platnumz Afunguka Kuhusu Wema Sepet...

Post Image

Akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Diamond Platnuzm amesema kitendo alichofanya Wema kupost kazi zake anadhani imefika wakati labda Wema Sepetu ameona hakuna sababu yeye kuendelea kumchukua Diamond Platnumz na ndiyo maana ameonyesha upendo kwa kusupport kazi zake na za wasanii kutoka kwenye Label yake. “Kuna wakati inafika watu mnakuwa mmekuwa labda, […]

Read More..

Wema Sepetu Adai Mwaka 2006 Ulikuwa Mwisho ...

Post Image

staa wa bongo movie,  Wema Sepetu ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006 amesema hajui lolote kuhusu mashindano hayo zaidi ya kuwa mwaka alioshinda yeye ndiyo ulikuwa wa mwisho kwa mashindano hayo. Mwaka jana mashindano ya Miss Tanzania yalifungiwa na BASATA kutokana na tuhuma za upangaji wa matokeo uliosababisha kupoteza msisimko na mvuto wa mashindano […]

Read More..

Dudubaya Adai Kuwa Ray C Anakula Ngada Kama...

Post Image

Msanii Dudubaya ambaye siku za karibuni ameachia wimbo wake mpya unaofahamika kwa jina la ‘Kokoriko’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ray C ambaye alisaidiwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kuachana na matumizi ya dawa za kulevya amerudia tena. Kwa mujibu wa Dudubaya anasema msanii huyo hakuwa na dhamira ya dhati kutoka moyoni mwake kuachana na […]

Read More..

Vanessa Alazimishwa Kudendeka

Post Image

NJEMBA mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, juzikati aliwashangaza watu baada ya kulazimisha kudendeka jukwaani na msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V-Money’.   Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Bilicanas uliopo Posta jijini Dar ambapo msanii huyo alikuwa akitumbuiza huku akipita kwa mashabiki na kutaka […]

Read More..

Mawakala Wakusambaza Filamu Wanahitajika

Post Image

Kama wewe una Duka/Supermarket /Kibanda  au unataka kuanza biashara popote pale ulipo sasa unaweza ukaongeza biashara yako kwa kuuza filamu za bongo kwa faida kubwa zaidi. Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. Wahi sasa.  

Read More..

Shetta: Mimi sibebi Unga

Post Image

Star wa Bongo Fleva Shetta anayefanya vizuri na wimbo wake mpya wa ”Namjua” ameweka wazi juu ya mafanikio yake baada ya kuwa na tetesi nyingi kuwa siku hizi na yeye anabeba mabegi ya unga. Akizungumza na Enewz Shetta alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa yeye shughuli yake kubwa ni mziki na hata anaposafiri kwenda nchi […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Sitaki Marafiki Tena

Post Image

BAADA ya urafiki wa waigizaji mashuhuri na wanaozungumzwa sana nchini, Wema Sepetu na Aunty Ezekiel ‘Mama Cookie’ kuvunjika, waigizaji hao wameibuka na kudai kwamba hawahitaji marafiki. Ilishangaza Aunty Ezekiel kutomualika Wema Sepetu katika sherehe ya mtoto wake na mnenguaji wa Diamond Platinum, Moses Iyobo iliyofanyika mwishoni mwa wiki ukumbi wa Serena Hotel. Aunty Ezekiel alipoulizwa […]

Read More..