-->

Author Archives: editor

Msaga Sumu: Sikunufaika na Wimbo Wangu wa K...

Post Image

MSANII wa nyimbo za Uswahilini ‘Kigodoro’, Seleman Jabir ‘Msaga Sumu’, ameweka wazi kwamba licha ya kupata jina kubwa katika kampeni za urais na wabunge mwaka 2015, lakini hakunufaika na wimbo aliowatungia wagombea hao. Msaga Sumu aliweka wazi hayo jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Msanii huyo […]

Read More..

MAKALA: Lulu, Kupanda, Kushuka na Kuibuka T...

Post Image

Dar es Salaam. Alikuwa anatambulika kutokana na uigizaji wake tangu akiwa binti wa miaka mitano na umahiri wa kuvaa vyema uhalisia wa nafasi anazopewa kuigiza, jambo lililomtengenezea mashabiki wengi. Umaarufu hauna tofauti na mvua za masika ambazo zinaweza kuleta neema au maafa kwa mafuriko. Wanaomfahamu Lulu tangu akiigiza kama mtoto katika tamthilia za Kundi la […]

Read More..

Tupeni Uhuru Tufanye Yetu – Richie

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania ambaye juzi ameiwakilisha vizuri nchi na kutwaa tuzo nchini Nigeria Single Mtambalike au Richie, ameiomba serikali kuwapa uhuru katika kazi zao ili wapate uhalisia wa matukio. Akiongea kwenye kipindi cha WeekendBreakfast juma pili kinachorushwa na East Africa Radio, Richie amesema kitendo cha wasimamizi wa kazi za sanaa kufungia baadhi ya kazi […]

Read More..

Samatta Azidi Kutikisa Nyavu Ulaya

Post Image

Mshambuliaji wa Tanzania Mbwana Ally Samatta nyota yake imezidi kung’ara baada ya kuifungia klabu yake ya KRC Genk bao dhidi ya Club ya KV Oostende katika ligi kuu ya Belgium Pro League. Samatta alifunga goli hilo dakika ya 24 ambapo ni mara yake ya kwanza kuingizwa katika kikosi cha kwanza (first eleven) katika timu hiyo. […]

Read More..

Kayumba: Sikujua Kama Fella na Tale Watamsi...

Post Image

From zero to hero. Kwa sasa huo ndio msemo ambao Kayumba atakuwa anautaja kila siku.   Baada ya kuachia wimbo ‘Katoto’ na kuzidi kufanya vizuri kwenye media na video yake kuwa na ubora, mshindi wa BSS season 5, Kayumba Juma amesema hakujua kama Fella na Tale watakuwa wasimamizi wakuu wa mshindi wa BSS. Akiongea na […]

Read More..

Babu Seya, Papii, Mapokezi ya Kifalme

Post Image

DAR ES SALAAM! Inawezekana ikawa habari njema kwa mashabiki wao kusikia kwamba familia ya mwanamuziki aliyefungwa maisha jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, ipo katika maandalizi makubwa ya kuwapokea kifalme wawili hao mara watakapotoka gerezani, Risasi Jumamosi lina habari kamili. Nguza Vicking ‘Babu Seya’ […]

Read More..

Mr. Nice Alitumwa na Mungu – Wabogojo

Post Image

Msanii Mtanzania ambaye anafanya shughuli zake nchini Macau Othman Ford (Wabogojo) amesema anamuheshimu sana Mr. Nice kwani alitumwa na Mungu kuja kumtoa yeye kisanaa. Wabogojo amesema Mr. Nice ndiye alimtoa kwenye na kumfanya kuanza kujulikana kwa watu, hivyo kwake ni sawa na bosi wake na kila akirudi hapa nchini lazima aende nyumbani kwake kujua anaendeleaje […]

Read More..

Nimekasirika Kupata Tuzo Hii – Richie

Post Image

Msanii wa filamu za Kitanzania Single Mtambalike maarufu kama Richie amesema amekasirishwa na kitendo cha yeye kushinda tuzo moja, badala ya zote mbili ambazo filamu yake ilikuwa nominated. Richie ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Weekend Breakfast siku ya jumapili,, na kusema kuwa baada ya filamu yake kuingia kwenye hizo category mbili aliamini yeye […]

Read More..

Lulu: Hakuna Ushirikina Kwenye Ushindi Wang...

Post Image

Lulu amesema kuwa haamini ushirikina wala hajawahi kufanya kazi yoyote katika ushirikina kuanzia utoto wake. Amefunguka hayo usiku wa kuamkia jana kupitia Friday Night Live ya EATV na EA Radio baada ya kuulizwa kuhusiana na comment zinazo endelea kwenye mitandao ya kijamii kuwa ushindi wa tuzo yake umetokana na ushirikina. Lulu alifunguka kuwa kuanzia utoto […]

Read More..

Masanja Aeleza Jinsi Alivyoupata Uchungaji

Post Image

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji amefunguka na kuzungumzia jinsi alivyoupata uchungaji wake. Masanja ambae kwa sasa anaendesha huduma ya ‘Street Gospel’, amekiamba kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa imani yake ndio imemfanya kuwa mchungaji. “Uchungaji upo wa aina mbili, kuna wa kuoteshwa na wakusomea. Kwa mfano ukiangalia mapadri wa Roman hakuna Padri […]

Read More..

Mama Diamond Afanya Kweli

Post Image

Mama Diamond akifanya usafi kwenye nyumba yake ya Tandale hivi karibuni. DAR ES SALAAM: KUFURU! Mama wa staa mwenye jina kubwa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasimu ‘Sandra’ amedaiwa kufanya kufuru ya aina yake kwa kununua mtaa mzima, Tandale-Uzuri jijini Dar na kuikarabati nyumba yake aliyokuwa akiishi zamani kwa kutumia takriban shilingi milioni 100. […]

Read More..

Watu Wamejifunza Kutoka Kwangu – Matonya

Post Image

Matonya ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa yeye kama msanii kuna mambo mengi ambayo watu huiga kutoka kwake, kutokana na ushawishi mkubwa alionao kwa jamii. “Unajua tumebarikiwa na nguvu, tuna upendo mkubwa sana kwa watu kiukweli lazima tujue ndio maana kila ninachokifanya najitahidi kiwe kizuri kwa jamii, […]

Read More..

Filamu ya Mwezai Mchanga Wiki Ijayo Mtaani!

Post Image

ILE Filamu ya Mwezi Mchanga inayoshirikisha wasanii Nyota katika tasnia ya filamu inatoka wiki ijayo siku ya Alhamisi mwezi March na kusambazwa nchini nzima chini ya Kampuni ya usambazaji wa filamu Bongo ya Splash Entertainment amesema Steven Selenge. “Filamu ya Mwezi Mchanga inatarajia kutoka mwezi huu siku ya Alhamisi na itapatikana nchi nzima katika maduka […]

Read More..

Lulu Afungukia Madai ya Kutoka Kimapenzi n...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya AMVCA 2016, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amefunguka na kuelezea mahusiano yake na CEO wa EFM, Dj Majay baada ya hivi karibuni kuonekana kuwa karibu zaidi. Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television Ijumaa hii, Lulu alisema kama ni kweli yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na Majay basi mashabiki […]

Read More..

Faiza Aonya Mastaa Kuibiana Mabwana

Post Image

MREMBO ambaye jina lake lilivuma zaidi baada ya kutinga na ‘pampers’ kwenye sherehe yake ya kuzaliwa, Faiza Ally, amewaonya mastaa wenzake kuacha kutafuta umaarufu (kiki) kwa kuibiana mabwana. Akizungumza na mwandishi wetu, Faiza ambaye ni mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, alisema anatambua mastaa wengi ustaa wao hauji kwa kufanya […]

Read More..

Maneno Haya ya Lulu Yamewagusa Wengi

Post Image

Siku utakayojua kusudi La wewe kuwepo duniani pengine ndo siku utakayojua umepoteza muda kiasi gani kufatilia mambo ya wengine,kujilinganisha na wengine,au kufanya mambo yasiyo na faida ktk maisha yako,Hakuna aliyekuja duniani kwa bahati mbaya ipo sababu ya uwepo wako…fanya jitihada za kujua hyo sababu…ukishajua Tu utakuwa busy sana kuhakikisha unafikia malengo uliyokusudiwa automatically utajikuta unakuwa […]

Read More..

Nilimpenda Jackie Cliff Ila Sitarudiana Nae...

Post Image

Msanii Jux ambaye kwa sasa yupo kimahusiano na Vanessa Mdee, amefunguka na kuweka wazi sakata ambalo lilimkuta mpenzi wake wa zamani anayefahamika kama Jackie Cliff na mahusiano yake na model huyo. Kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV Jux alikiri wazi kuwa alikuwa akitoka kimapenzi na Jackie Cliff na kusema alikuwa anampenda sana licha ya […]

Read More..

Baba Mzazi wa Lulu Yupo Tayari Kupokea Maha...

Post Image

Baba yake Lulu ameongea na E-newz na kutufahamisha bado hajapokea mahari ya mwanae na yupo tayari kupokea mahari, hivyo E-news imeamua kuutoa ujumbe huu wa baba Lulu. Huku wengi wakidhani kuwa ujumbe huo unaweza kumfikia mtu mzima Majey ambaye kwa sasa wapo kwenye mahusiano na Lulu.  

Read More..