-->

Author Archives: editor

Madam Ritha: Wasanii Tumieni Fursa ya Vingâ...

Post Image

MKURUGENZI wa Kampuni ya upigaji picha za video ya Benchi Mark Production, Ritha Paulsen, amewataka wasanii watumie fursa ya wingi wa ving’amuzi na vyombo vya habari kwa kuzalisha bidhaa bora na za nyumbani. Ritha alisema kutokana na wingi wa ving’amuzi kwa sasa, uhitaji wa vipindi vya nyumbani ni mkubwa, hivyo wasanii na maprodyuza wa video […]

Read More..

Mr. Blue na Ndoto za Kupiga Mzigo na Wiz Ki...

Post Image

MR Blue ni moja ya vichwa vikali kwenye Tasnia ya Muziki wa Hip Hop Bongo. Jamaa anajua sana, kwa sasa anatamba na ngoma yake ya Baki Na Mimi, amekaa kwenye gemu kwa muda mrefu bila kuchuja, sasa ni zaidi ya miaka 13, ambapo anasema ndiyo kwanza anaanza maana kuna vitu vizuri vingi amepanga kufanya katika […]

Read More..

Serikali Hii ya Dk Magufuli Tutafanikiwa -D...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Dkt Cheni amesema ana imani kubwa sana na serikali ya Rais Dkt John Magufuli kwamba itawasaidia wasanii katika kuondoa tatizo sugu la kuibiwa kwa kazi zao na kuuzwa kwa bei ya chini. Cheni ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku jumatatu […]

Read More..

Nay wa Mitego Afunguka Sababu za Kutowataja...

Post Image

‘’Sikutaka kulizungumzia hili lakini nilijua watu watajaji,hata kwenye ‘comments’ watu wengi wanasema kwanini sijamuimba rafiki yangu Diamond na ana skendo nyingi’’ Alisema Nay Wa Mitego. ‘’Unajua sitaki kufanya kitu ambacho kila mtu tayari anacho kichwani mwake ili ni jawabu tosha kwa watu ambao wanajaji hilo kila mtu angekuwa anategemea ningemdisi Ali Kiba au Diamond sikutaka […]

Read More..

Ningemkuta mama Kanumba nisingemfukuza-Lulu

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania, Elizabeth Michael alimaarufu kama ‘Lulu’ amefunguka na kusema kuwa yeye hafahamu sababu zilizofanya mama mzazi wa Kanumba asitokee kwenye mapokezi yake baada ya kushinda tuzo nchini Nigeria. Mtangazaji wa kipindi cha eNEWS alihoji ni sababu zipi zimepelekea Mama Kanumba kushindwa kutokea kwenye mapokezi yake ili hali Mama huyo alishiriki kwenye movie […]

Read More..

Gharama ya Mwili Wangu ni Ada ya Watoto Lon...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amesema gharama ya mwili wake ni sawa na kusomesha watoto wawili London. Jb ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Mimi mwili wangu ni wa Kimarekani nimekwenda juu na mnene ndiyo maana hata watafiti wanakiri kwamba hakuna […]

Read More..

Harmonize: Nitafanya Kazi na Ali Kiba Bila ...

Post Image

LICHA ya tetesi kwamba wasanii wawili wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, kutoonyesha nia ya kushirikiana katika muziki wao, msanii anayetamba na wimbo wa ‘Bado’, Rajabu Ibrahimu ‘Harmonize’, amesema yupo tayari kufanya kazi na Ali Kiba bila kikwazo chochote. Msanii huyo alisema Ali Kiba ni msanii wa Tanzania na ni […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Tunajenga Kwanza Ndani Ndio T...

Post Image

Kutokana na kusuasua kwa hatua za tasnia ya filamu Bongo kuingia katika soko la kimataifa, nyota wa filamu Aunt Ezekiel amesema kuwa zipo jitihada zinafanyika sasa kuweka mambo sawa katika soko la ndani ambalo limeshuka, kama msingi wa safari hiyo. Aunt ambaye hakufafanua mikakati yenyewe, ameeleza kuwa itakuwa ni uongo pale kufanya jitihada za kwenda […]

Read More..

Lulu: Tuzo Hii ni Mpango wa Mungu, Kutokana...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya Best Movie-East Africa, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alieleza hayo mara tu baada ya kutua Dar-es-salaam akitokea Lagos Nigeria na tuzo yake. ‘’Kila kitu ambacho kinatokea sasa hivi nakiweka ‘in a way’ zaidi ya mpango wa Mwenyezi Mungu nisingepitia ambavyo nimepitia katika maisha yangu nisingeenda Africa Magic ,ningekuwa labda nimeshakufa au nimeshaacha kuigiza […]

Read More..

Rekodi Yangu Haitavunjwa – Mr. Nice

Post Image

Mr. Nice ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio na kusema kuwa kwa sasa kazi anazofanya ni kwa ajili tu ya mashabiki wake, ili asiwapoteze lakini hahitaji hata promo. “Ninachojaribu kukifanya hapa ni kwamba naendelea kuwa mwanamuziki kwa sababu sasa hivi sitafuti promo ya aina yoyote, the only […]

Read More..

JB: Soko la filamu za Bongo Halijafa

Post Image

Muigizaji Jacob Stephen ‘JB’amefungyuka haya kuhusu soko la filamu na tasnia kwa ujumla. ’Nakataa soko la filamu halijafa,limesinzia na kuna sababu kubwa sana watu wengi hawajui kwanini imesinzia,filamu sasa hivi inatakiwa ipelekwe ‘next stage’ kitu chochote kikitakiwa kitoke hapo kilipo na kwenda sehemu nyingine kinakuwa kama kinakufa mf,kuna wakati Fulani Bongo Fleva walikuwa na hali […]

Read More..

Mwamuzi wa Kike Jonesia wa Tanzania Achakug...

Post Image

Mwamuzi wa kike wa Kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuungana na waamuzi kutoka nchini Kenya kuchezesha mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake wenye umri chini ya miaka 17 (WWC-Q 17) mwishoni mwa mwezi huu. Jonesia Rukyaa atakua mwamuzi wa akiba katika mchezo huo kati […]

Read More..

Tuzo ya Lulu Yamliza Mama Kanumba

Post Image

Tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Filamu Afrika Mashariki, iliyotwaliwa na Mbongo, chozi mama wa aliyekuwa nyota wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, tambaa na Risasi Mchanganyiko liujaze moyo wako. Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na mama Kanumba, muda mchache baada ya Lulu kutangazwa na waandaaji wa tuzo ambao ni African Magic Viewers […]

Read More..

Wasanii Watoa Neno Siku ya Wanawake Duniani

Post Image

IKIWA leo ndiyo maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani, wasanii wa kike wameeleza mambo mbalimbali kuhusiana na siku hiyo huku wakiwataka wanawake wenzao kuwa na msimamo katika kuendesha maisha yao. Anty Ezekiel Mwigizaji huyo wa filamu za Bongo amewataka wanawake wenzake waache utegemezi kwa wanaume wao. “Kuna biashara nyingi za kufanya, unaweza kuuza hata vitumbua […]

Read More..

Lupita: Malengo Yangu Hayajakamilika Bado

Post Image

MKALI wa filamu nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amedai kwamba japokuwa amepata mafanikio makubwa katika filamu, bado malengo yake hayajakamilika. Msanii huyo alifanikiwa kutwaa tuzo za Oscar mwaka 2015, lakini amesisitiza kwamba lengo lake ni kuwa msanii mkubwa duniani kama ilivyo kwa wasanii wengine. “Nimekuwa na mafanikio makubwa kutokana na filamu, lakini ninaamini bado malengo yangu […]

Read More..

Picha: Mapokezi ya Lulu Uwanja wa ndege wa ...

Post Image

Picha za mapokezi za Mshindi wa Tuzo ya AMVCA2016 kipengele cha Movie bora ya Afrika Mashariki elizabeth michael ‘Lulu’ wakati akiwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam (JNIA) akitokea Nigeria.

Read More..

JB Azungumzia Mkakati Wake wa Kuibua Watu W...

Post Image

Muigizaji na mkurugezi wa kampuni ya Jerusalem films, Jacob steven alizungumza mkakati huo wa kampuni yake  alipokuwa akizungumzia filamu yake ya chungu cha tatu kwenye kipeindi cha ulimwengu wa filamu. Msikilize hapa Part 1 Part 2

Read More..

Mzee Yusufu: Wake Zangu Marufuku Kutumia In...

Post Image

WAKATI wanawake duniani kote leo wakiadhimisha siku ya wanawake duniani, wake wa mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yusufu, Leila Rashid na Chiku wamekatazwa kutumia tena mtandao wa Instagram. Wanawake hao wamekatazwa kutumia mtandao huo na endapo watatumia kwa siri mume wao huyo amewaeleza kwamba ndiyo itakuwa talaka yao. Mzee Yusufu amechukua uamuzi […]

Read More..