-->

Author Archives: editor

Filamu ya Siri ya Moyo Kuonyeshwa Cineplex ...

Post Image

ILE Sinema ya Siri ya Moyo kutoka kwa mtayarishaji mahiri wa filamu Swahilihood Salum Saleh ‘Man Fizo’ inatarajiwa kuonyeshwa katika ukumbi wa sinema wa Cineplex cinema Quality Centre barabara ya Mwalimu Nyerere zamani Pugu Road, terehe 1. Dec. 2016 Man Fizo ndio mtayarishaji wa filamu ya Nimekosea wapi? Akiongea na FC mratibu wa tamasha hilo […]

Read More..

Alikiba Aicheka Kauli ya Diamond Kuhusu Pet...

Post Image

Kama una kumbuka  kauli ya Diamond aliyoitoa wiki iliyopita kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kuhusu pete ya kijani ambapo Diamond alisema “Mimi sina matatizo na watu ndio maana wakijaribu kushindana na mimi huwa wanashindwa. Hata ukiniangalia sina hata pete ya kijani kwenye vidole vyangu.” Kumbe alikuwa amerusha jiwe gizani kwa upande wa pili. Inawezekana […]

Read More..

Riyama,Muhogo, Bi. Hindu na King Majuto wa...

Post Image

BODI ya ukaguzi na filamu na michezo ya kuigiza ilifanya warsha kwa wasanii wa filamu Jiji la Mwanza kwa mafanikio makubwa sana kwa kupata wasanii washiriki wengi ambao wamepata elimu kutoka kwa wawezeshaji mahiri katika masuala ya filamu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam na Dodoma. Akiongea na FC Katibu mtendaji wa Bodi ya […]

Read More..

Madee Ajibu Tuhuma Zinazomkabili Babu Tale

Post Image

Msanii Madee ambaye ni miongoni mwa wasanii viongozi wa Tip Top inayosimamiwa na Babu Tale, amejibu tuhuma za meneja wao huyo kuitelekeza Tip Top na kuegemea zaidi kwa Diamond Platnumz. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Madee amesema hawezi kupinga maneno yaliyopo mtaani kwani ni kitu kinachoonekana kwao, lakini ukweli ni kwamba Babu Tale […]

Read More..

Wema Sepetu Ampongeza Ommy Dimpoz

Post Image

Baada ya hapo jana Ommy Dimpoz kufunguka kiundani kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kwa kuelezea kilichopelekea akosane na rafiki yake wa zamani, Diamond Platnumz – Wema Sepetu amempongeza kwa kile alichokifanya. Malkia huyo wa filamu nchini, amempongeza hitmaker huyo wa Kajiandae kwa kumsifia kuwa ni mpole na mwenye busara ila alipenda kile alichokifanya […]

Read More..

Namchukia Mwanaume Aliyenipa Mimba – ...

Post Image

Msanii wa bongo movie Nisha Bebe amesema ujauzito wake unampa hisia tofauti na mawazo mpaka anafikia hatua ya kupost mambo tofauti tofauti kwenye mitandao yake kwa kuwa hampendi mwanaume aliyempa ujauzito huo. Akiongea ndani ya eNewz Nisha amesema amevumilia miezi mitano bila mtu kujua kitu chochote juu ya mimba yake lakini kwa sasa ameshindwa kuvumilia na […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kisa cha Kukosana na D...

Post Image

Katika interview ndefu aliyofanyiwa Alhamis hii kwenye kipindi cha XXL kupitia Clouds FM, Ommy Dimpoz amefunguka kwa kina visa na mkasa vilivyopelekea akosane na swahiba wake wa zamani, Diamond Platnumz.   Ommy amelazimika kusimulia hayo baada ya Jumatano kupitia kipindi hicho hicho, Diamond kuelezea uhusiano wao na jitihada ambazo Ommy amewahi kuzifanya ili kuomba wayamalize. […]

Read More..

Wasanii Hatupendani: Aisha Bui

Post Image

Msanii wa bongo movie nchini Aisha Bui amefunguka na kusema kuwa bongo movie haitaweza kuendelea kama wasanii wenyewe hawatapendana na kushirikiana wenyewe. Akiongea na eNewz, amesema kuwa kama wasanii hawatakuwa na upendo wowote basi hata kazi zao za sanaa bado hazitaweza kufanikiwa. “Wasanii tuwe na upendo na tuwe na ushirikiano, sisi wenyewe tuwe na upendo […]

Read More..

Ushuru Wamkwamisha Baby Madaha Kuingiza Nch...

Post Image

Ushuru mkubwa unaotozwa katika bandari ya Dar es Salaam, umemzuia Baby Madaha kuingiza vifaa vyake vya filamu alivyovinunua mwaka jana mjini Dubai. Muimbaji na muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa serikali ya awamu ya tano imeongeza ushuru kiasi cha kuharibu mipango ya watu wengi. Amedai kuwa vifaa hivyo bado vipo Dubai alikohamishia makazi yake. “Nilileta baadhi […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepe...

Post Image

MASTAA wawili waliokuwa mashosti siku za nyuma, Aunty Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wameingia kwenye msuguano tena hivi karibuni huku hali ikionesha kuwa mastaa hao kwa sasa ndiyo basi tena. Hali hiyo imetokea juzi baada ya Aunty kuweka picha ya kumtakia siku njema ya kuzaliwa rafiki na msanii mwenzake, Maimartha Jesse kwa kuandika, “Happy bday […]

Read More..

Bongo fleva Haitapoteza Muziki wa Dansi ...

Post Image

Msanii wa dansi nchini Tanzania Nyoshi amesema muziki wa bongo fleva haujaua soko la muziki wa dance nchini ila kwa sasa kuna baadhi ya wadau wa radio na televisheni wameamua kusapoti muziki wa bongo fleva zaidi. Akiongea ndani ya eNewz Nyoshi amesema bendi nyingi zinatoa nyimbo kwa wakati lakini ukipeleka nyimbo kwenye televisheni na radio hazipigwi […]

Read More..

Chemical Awajibu Wasioamini kuwa Yeye ni Bi...

Post Image

Rapper wa kike mwenye swaga za hatari Chemical amesema anashangazwa kwa kitendo cha baadhi ya watu wanaompinga kuwa hajawahi kufanya mapenzi. Hitmaker huyo wa ‘Am Sorry Mama’ amekiambia kipindi cha Kubamba cha Times FM, kuwa aliwahi kuwa na mpenzi lakini waliachana kwa kuwa alikuwa na haraka ya kufanya mapenzi. “Sijawahi kufanya mapenzi hata siku moja. […]

Read More..

Meneja Maneno Naye Atafuta Meneja wa Kumsim...

Post Image

Msimamizi wa siku nyingi wa wasanii wa Muziki Tanzania Meneja Maneno amesema anatafuta mtu wa kufanya naye kazi kama meneja wake kwa sasa. Amesema anatafuta meneja kwa kuwa mbali na kwamba bado yuko kwenye kitengo cha umeneja katika ofisi yake na bado anasimamia baadhi ya wasanii kama vile Nay wa Mitego, kwa sasa na yeye […]

Read More..

Marlaw Apata Mtoto wa Tatu

Post Image

MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Lawrence Malima ‘Marlaw’ amepata mtoto wa tatu kutoka kwa mkewe ambaye pia ni msanii, Besta Rugeiyamu ‘Besta’. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na wasanii hao ambacho hakikupenda jina lake lichorwe gazetini, Besta alijifungua tangu Novemba 10, mwaka huu mtoto wa kike. “Kwa sasa wapo na furaha kwa kupata […]

Read More..

Naolewa Kweli, Siigizi Miye – Koleta

Post Image

Baada kuibuka maswali mengi kuhusu picha ambazo zilikuwa zikirushwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kuvalishwa kwa Pete ya uchumba kwa msanii mahiri wa Filamu na tamthilia Bongo Coletha Raymond ‘Koleta’ si Filamu ni kweli akiongea na FC msanii huyo huku akicheka alisema kufuatia picha hizo watu wanaompigia simu wameongezeka wakitaka kujua kama ni yeye. “Wasanii […]

Read More..

Pichaz: Je Ni Kweli Lady Jaydee Amefunga Nd...

Post Image

Huenda Lady Jaydee akawa amepata mwanaume wa kumkabidhi moyo wake. Tangu aachane na mume wake, Gardiner G Habash, muimbaji huyo mkongwe hajawahi kuonekana na mwanaume aliyehisiwa kuwa ni mpenzi wake. Na sasa kwa picha alizoweka Instagram, uwezekano wa kuwa amerejea kupenda tena ukawa ni mkubwa. Na tena kwa anachokiandika mwenyewe kwenye Instagram, Jide anamaanisha kuwa […]

Read More..

Wasanii Wanatubania Kwenye Pesa- Jengua

Post Image

MOHAMMED Fungafunga ‘Jengua’ amefunguka kuhusu wasanii wakongwe kutengwa na wasanii vijana katika masuala yanahusu fedha katika mialiko mbalimbali hasa ile yenye pesa kwa kualikana wao kwa wao japo katika mialiko hiyo wahusika huwahitaji wao na wasanii hao ujibu kuwa wao wapo bize. “Tabia za baadhi ya wasanii hawa vijana zinatukera sana sisi wasanii wazee au […]

Read More..

Dimpoz Afunguka Kuhusu Mubenga

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amekanusha tetesi za kuwa na ugomvi na aliyekuwa ‘business partiner’ ambaye pia alikuwa meneja wake maarufu kwa jina la Mubenga, baada ya kila mmoja kuchukua hamsini zake na kufanya yake. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television Ommy Dimpoz amesema Mubenga ameamua kufanya biashara zake mwenyewe bila kushirikiana naye, kitu ambacho ni […]

Read More..