-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Niva Amepata Shavu la Kufanya Kazi na Msani...

Post Image

Msanii wa filamu Niva Super Mariyoo, amefunguka kwa kudai kuwa amepata mwaliko na msanii mkubwa wa Marekani kwajili ya kushiriki kwenye filamu yake. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Niva amedai ofa hiyo imemfanya arudi darasani kwajili ya kujifunza kuongea kingereza. “Mtegemee kumwona Niva kimataifa zaidi ndani ya mwaka huu kupitia kampuni mpya ya Barazani, tayari […]

Read More..

Irene Uwoya Kujikita Kwenye Tamthilia, Fila...

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Irene Uwoya siku ya jana Februari 14, aliandaa party kubwa Club Next Door, Masaki kusherekea siku ya wapendanao duniani (Valentines Day) pamoja na mastaa wengine na mashabiki wake. Global TV Online ilipewa mualiko wa kuhudhuria party hiyo pamoja na kupata exclusive kutoka kwa Irene Uwoya mwenyewe ambaye alishare na sisi mipango […]

Read More..

Wastara Amchimba Mkwara Mpenzi Wake, Bond

Post Image

Msanii wa bongo movie Wastara amemchana mpenzi wake wa sasa Bond kwamba asipojirekebisha baadhi ya tabia zake atamuacha na akimwacha hatarudi tena kwake. Hata hivyo Wastara amesema anaweza kuvumilia shida anazopata kwa Bond lakini anaweza kumuacha muda wowote kwani hahitaji ‘stress’ za kimapenzi huku akiweka wazi kuwa amejitahidi na amefanikiwa kumrekebisha kwa 80 % na endapo ataendelea na […]

Read More..

Aunt Ezekiel Atoboa Kitu Kinachomuumiza Kwe...

Post Image

Msanii wa filamu ambaye ni mama wa mtoto mmoja, Aunt Ezekiel katika usiku wa siku ya wapendanao alifunguka na kuzungumzia kitu ambacho kilimuuza katika mahusiano yake na Mose Iyobo. Akiongea na Bongo5 usiku wa jana katika show ya Valentine’s Day iliyoandaliwa na Irene Uwoya, Aunt amedai kitu ambacho kilikuwa kinamsumbua ni kuambiwa anatoka na mkata […]

Read More..

Video: Joti Afunga Ndoa au Tangazo?

Post Image

Picha na video za msanii mchekeshaji, Joti akionekana amefunga ndoa siku ya leo. Ukweli wa kama ni ndoa ya kweli au ni moja ya kazi yake za matangazo ndiyo mjadala unaoendelea hadi sasa. Tazama video hii

Read More..

Watu Wanataka Kiki Kwa Jina Langu- Shilole

Post Image

ZUWENA Mohamed ‘Shilole’ analalamika akidai kuwa kwa sababu yeye ni msanii nyota wa filamu na muziki kuna watu wanataki kiki kupitia jina lake hata hivyo amelitambua hilo na atakuwa makini sana kila anaposikia jambo atafikiria alijibu au lah kwani akifanya hivyo anawatangaza wanaojinufaisha na jina lake. “Mimi ni super star kuna watu wanatumia jina langu […]

Read More..

Mwanaume wa Hivi Hafai Kabisa – Shamsa Ford

Post Image

Msanii wa filamu nchini na mfanyabiashara Shamsa Ford amefunguka na kutoa somo kwa baadhi ya wanawake kuwa wakiona wapo kwenye mahusiano na mwanaume ambaye hajivunii uwepo wa mwanamke basi wajue wazi mtu huyo si wake bali atakuwa wa mtu mwingine. Shamsa Ford anasema mara nyingi wanawake wanapenda kuwa na mwanaume ambaye ana heshima na mapenzi ya […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka kwa Mara ya Kwanza Tan...

Post Image

Staa wa bongo movie, Wema Sepetu ametoa shukrani kwa watu wote waliokuwa naye bega kwa bega tangu ashikiliwe rumande kufuatia kutajwa kwenye orodha ya kwanza ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ya watu wanaohusishwa na biashara ya matumizi ya dawa za kulevya. Wema alitoka kwa dhamana ya shilingi milioni 5 wiki iliyopita baada […]

Read More..

Kajala Afunguka Kutomuona Wema Selo

Post Image

Baada ya Miss Tanzania 2006/07 ambaye ni Mwigizaji wa Bongo Muvi, Wema Isaac Sepetu kusota lupango kwa siku kadhaa kufuatia kutajwa kwenye tuhuma za madawa ya kulevya na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, kabla ya kupandishwa mahakamani na kuachiwa kwa dhamana, staa mwenzake, Kajala Masanja ameibuka na kufunguka sababu ya kutokwenda kumuona mahabusu. […]

Read More..

40 ya Nillan: Wolper Achafua Hali ya Hewa, ...

Post Image

WAKATI sherehe ya kutimiza 40 kwa mtoto wa Diamond na Zari, Nillan ikiendelea, staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper Massawe amekerwa na wanaomsema vibaya Zari na kuamhua kuwafungukia hadharani akitoa povu lake mbele ya wageni waalikwa MTAZAME HAPA

Read More..

Shamsa Ford Umetisha Mama, Mungu Atakulipa

Post Image

MWEZI Februari umeanza vibaya kwa mastaa kadhaa kwenye kiwanda cha burudani ndani ya Bongo. Najua mnafahamu wazi kile kilichotokea wiki iliyopita na kupelekea baadhi ya wasanii wa muziki na filamu kutupwa rumande, tuyaache hayo. Kilichofanya nitumie wino wangu kuyaandika haya unayoyasoma ni jinsi ukubwa wa tatizo la ukosefu wa ushirikiano linavyoitafuna tasnia ya burudani. Ukitaka […]

Read More..

Movie Trailer: ‘Gate Keeper’ ya...

Post Image

Kutoka Steps entertainment, Filamu ya GATE KEEPER inatarajiwa kuingia sokoni mwezi wa tatu mwaka huu. GATE KEEPER imechezwa na mastaa kibao katika tasnia ya bongo movie , kutana na Vincent Kigosi (Ray) Single Mtambalike (Richie), Kajala Masanja, Nicole Franklyin. Tazama Trailer ya Filamu hii hapa chini  

Read More..

Wema Asomewa Mashtaka, Aachiwa kwa Dhamana

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu na wenzake wawili wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu asubuhi ya leo na kusomewa mashitaka matatu yanayohsiana na matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi. Akisomewa mashtaka na wakili wa serikali Nassoro Katuga mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba imeelezwa kuwa msanii huyo alikutwa na kiwango kidogo cha […]

Read More..

Serikali Yatetea Ada za Uhakiki wa Filamu

Post Image

Serikali imetetea ada za uhakiki wa filamu zinazotozwa hapa nchini na kusema kuwa ada hizo zipo kwa mujibu wa sheria na kanuni, huku ikifafanua kuhusu utaratibu wa kulipwa kwa ada hizo. Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Anastazia Wambura ameyasema hayo leo Bungeni, Mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Mafinga Mjini […]

Read More..

Irene Uwoya Afungukia Wanaume Wenye Sura Mb...

Post Image

Hujiamini kutupa karata yako kwa muigizaji mrembo Irene Uwoya sababu unahisi huna sura nzuri na ya kuvutia? Basi unaichezea bahati yako sababu unaweza kuwa na nafasi kubwa zaidi. Kwa mujibu wa Irene, wanaume wenye sura mbaya ndio ambao huamsha zaidi hisia zake za kimapenzi! Strange, lakini ndio ukweli wake. Muigizaji huyo ambaye ameandaa event maalum […]

Read More..

Duma Afunguka Haya Kuhusu Picha zake Tata

Post Image

INAKUWAJE Pale ambapo unakuwa na hamu ya kutoka kimapenzi na mtu maarufu harafu hupati nafasi hiyo kufuatia staa unayemtamani yupo kwenye penzi zito na mtu mwingine? Bila shaka picha zake zinaweza kuwa tulizo lako tosha. Ukubwa wa majina ya mastaa unaongeza idadi ya mashabiki wanaotamani kutoka nao kimapenzi ila hawapati fursa hiyo kwa sababu tu […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Haya Akiwa Bado Ameshu...

Post Image

Sakata la Madawa ya Kulevya limechukua sura mpya kufuatia msani wa bongo movie, Wema Sepetu, ambaye ni mmoja wa watuhumiwa, kutoa ya moyoni juu ya sakata zima la kukamatwa kwao na kuhusisha tukio hilo na hila dhidi yake. Operesheni ya kukamata wanaojihusisha na madawa ya kulevya ilianzishwa na Paul Makonda mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo […]

Read More..

Mama Wema Sepetu Ashinda Polisi Kujua Hatim...

Post Image

Sakata la baadhi ya wasanii wakubwa nchini kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya limezidi kuchukua sura mpya, huku mzazi wa Wema Sepetu akishinda polisi kujua hatima mwanaye. Akiongea huku akiwa kama mtu aliyepatwa na hamaki mama mzazi wa Wema Sepetu, alisema kwa sasa anasubiri kauli ya Polisi ili aweze kujua kama mtoto wake atafikishwa […]

Read More..