-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Lulu Azuiwa Kuingia Ikulu

Post Image

Imefichuka! Baada ya kuitwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa ajili ya kupongezwa kutokana na tuzo aliyopata nchini Nigeria, staa wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alijikuta akihaha baada ya kuzuiwa kuingia Ikulu kutokana na kutokuwa na kitambulisho cha chama cha waigizaji. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba Lulu alijikuta katika wakati mgumu kwani utaratibu wa […]

Read More..

Movie ya Mama kijacho yambadili sura Tunda ...

Post Image

  Tunda Man amebadilisha muonekano wake kwaajili ya Movie ya Mama kijacho, huku akiachia ndevu kama Rick Rose na leo siku ya Jumatano ndiyo wamemaliza kushoot na walikuwa kambini kwa wiki 1 hivi kukamilisha movie hiyo ambayo kwenye muvi hiyo imemhusisha msanii mrembo wa Bongo Movie Riyama Ally pamoja na Comediani Mboto. Pia Tunda Man […]

Read More..

Shamsa Ford Atoa Wito kwa Wanawake Kupinga ...

Post Image

Shamsa Ford kutoka kiwanda cha filamu Bongo amezungumza kwa mara nyingine tena sababu ya kuachana na aliyekuwa mzazi mwenzie, aliyezaa naye mtoto mmoja wa kiume kuwa ni Vipigo vya mara kwa mara kutoka kwa mzazi mwenzie huyo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shemsa Ford ameandika hivi: Wanawake wenzangu tusimame kwa pamoja na tukemee hii tabia […]

Read More..

Ubonge Wamnyima Raha Wema Sepetu

Post Image

Kupitia ukurasa wake wa Instgram Wema aliandika ujumbe ambao umeleta utata kwa baadhi ya mashabiki ambao wanahisi huenda Wema Sepetu bado ana ujauzito kutokana na kitendo chake cha kutotaka kupost picha zake mpya na kutokana na mabadiliko yake ambayo wanahisi yanaletwa na ujauzito. Ingawa mashabiki wengine wamekuwa wakimshauri kuwa anapaswa kupunguza mwili wake kwa kufanya […]

Read More..

Masanja: Sikukurupuka Kugombea Ubunge Ludew...

Post Image

Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji amesema akukurupuka kuwania ubunge wa jimbo la Ludewa, mkoani Njombe kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo Deogratius Filikunjombe kufariki kwa ajali.   Akizungumza katika kipindi cha Uhondo cha EFM Alhamisi hii, Masanja alizungumzia kitu ambacho kilimkwamisha kupata didhaa ya kugombea ubunge kupitia chama hicho. […]

Read More..

Sijawahi na Sitokuwa na Mpenzi Mcongo -Wema...

Post Image

Muigizaji mwenye umaarufu mkubwa kwenye filamu za kibongo Wema Sepetu, amemkana raia wa Kongo ambaye watu wengi wanadai ana mahusiano naye ya kimapenzi. Katika ukurasa wake wa instagram Wema Sepetu ameandika juu ya taarifa hiyo na kusema kuwa hana mahusiano na raia huyo mkongo anayejulikana kwa jina la Apocalypse, sipokuwa anamfahamu kama rafiki tu kwake. […]

Read More..

MAKALA: Lulu, Kupanda, Kushuka na Kuibuka T...

Post Image

Dar es Salaam. Alikuwa anatambulika kutokana na uigizaji wake tangu akiwa binti wa miaka mitano na umahiri wa kuvaa vyema uhalisia wa nafasi anazopewa kuigiza, jambo lililomtengenezea mashabiki wengi. Umaarufu hauna tofauti na mvua za masika ambazo zinaweza kuleta neema au maafa kwa mafuriko. Wanaomfahamu Lulu tangu akiigiza kama mtoto katika tamthilia za Kundi la […]

Read More..

Tupeni Uhuru Tufanye Yetu – Richie

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania ambaye juzi ameiwakilisha vizuri nchi na kutwaa tuzo nchini Nigeria Single Mtambalike au Richie, ameiomba serikali kuwapa uhuru katika kazi zao ili wapate uhalisia wa matukio. Akiongea kwenye kipindi cha WeekendBreakfast juma pili kinachorushwa na East Africa Radio, Richie amesema kitendo cha wasimamizi wa kazi za sanaa kufungia baadhi ya kazi […]

Read More..

Nimekasirika Kupata Tuzo Hii – Richie

Post Image

Msanii wa filamu za Kitanzania Single Mtambalike maarufu kama Richie amesema amekasirishwa na kitendo cha yeye kushinda tuzo moja, badala ya zote mbili ambazo filamu yake ilikuwa nominated. Richie ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Weekend Breakfast siku ya jumapili,, na kusema kuwa baada ya filamu yake kuingia kwenye hizo category mbili aliamini yeye […]

Read More..

Lulu: Hakuna Ushirikina Kwenye Ushindi Wang...

Post Image

Lulu amesema kuwa haamini ushirikina wala hajawahi kufanya kazi yoyote katika ushirikina kuanzia utoto wake. Amefunguka hayo usiku wa kuamkia jana kupitia Friday Night Live ya EATV na EA Radio baada ya kuulizwa kuhusiana na comment zinazo endelea kwenye mitandao ya kijamii kuwa ushindi wa tuzo yake umetokana na ushirikina. Lulu alifunguka kuwa kuanzia utoto […]

Read More..

Masanja Aeleza Jinsi Alivyoupata Uchungaji

Post Image

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji amefunguka na kuzungumzia jinsi alivyoupata uchungaji wake. Masanja ambae kwa sasa anaendesha huduma ya ‘Street Gospel’, amekiamba kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa imani yake ndio imemfanya kuwa mchungaji. “Uchungaji upo wa aina mbili, kuna wa kuoteshwa na wakusomea. Kwa mfano ukiangalia mapadri wa Roman hakuna Padri […]

Read More..

Filamu ya Mwezai Mchanga Wiki Ijayo Mtaani!

Post Image

ILE Filamu ya Mwezi Mchanga inayoshirikisha wasanii Nyota katika tasnia ya filamu inatoka wiki ijayo siku ya Alhamisi mwezi March na kusambazwa nchini nzima chini ya Kampuni ya usambazaji wa filamu Bongo ya Splash Entertainment amesema Steven Selenge. “Filamu ya Mwezi Mchanga inatarajia kutoka mwezi huu siku ya Alhamisi na itapatikana nchi nzima katika maduka […]

Read More..

Lulu Afungukia Madai ya Kutoka Kimapenzi n...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya AMVCA 2016, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amefunguka na kuelezea mahusiano yake na CEO wa EFM, Dj Majay baada ya hivi karibuni kuonekana kuwa karibu zaidi. Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television Ijumaa hii, Lulu alisema kama ni kweli yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na Majay basi mashabiki […]

Read More..

Faiza Aonya Mastaa Kuibiana Mabwana

Post Image

MREMBO ambaye jina lake lilivuma zaidi baada ya kutinga na ‘pampers’ kwenye sherehe yake ya kuzaliwa, Faiza Ally, amewaonya mastaa wenzake kuacha kutafuta umaarufu (kiki) kwa kuibiana mabwana. Akizungumza na mwandishi wetu, Faiza ambaye ni mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, alisema anatambua mastaa wengi ustaa wao hauji kwa kufanya […]

Read More..

Maneno Haya ya Lulu Yamewagusa Wengi

Post Image

Siku utakayojua kusudi La wewe kuwepo duniani pengine ndo siku utakayojua umepoteza muda kiasi gani kufatilia mambo ya wengine,kujilinganisha na wengine,au kufanya mambo yasiyo na faida ktk maisha yako,Hakuna aliyekuja duniani kwa bahati mbaya ipo sababu ya uwepo wako…fanya jitihada za kujua hyo sababu…ukishajua Tu utakuwa busy sana kuhakikisha unafikia malengo uliyokusudiwa automatically utajikuta unakuwa […]

Read More..

Baba Mzazi wa Lulu Yupo Tayari Kupokea Maha...

Post Image

Baba yake Lulu ameongea na E-newz na kutufahamisha bado hajapokea mahari ya mwanae na yupo tayari kupokea mahari, hivyo E-news imeamua kuutoa ujumbe huu wa baba Lulu. Huku wengi wakidhani kuwa ujumbe huo unaweza kumfikia mtu mzima Majey ambaye kwa sasa wapo kwenye mahusiano na Lulu.  

Read More..

Serikali Hii ya Dk Magufuli Tutafanikiwa -D...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Dkt Cheni amesema ana imani kubwa sana na serikali ya Rais Dkt John Magufuli kwamba itawasaidia wasanii katika kuondoa tatizo sugu la kuibiwa kwa kazi zao na kuuzwa kwa bei ya chini. Cheni ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku jumatatu […]

Read More..

Ningemkuta mama Kanumba nisingemfukuza-Lulu

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania, Elizabeth Michael alimaarufu kama ‘Lulu’ amefunguka na kusema kuwa yeye hafahamu sababu zilizofanya mama mzazi wa Kanumba asitokee kwenye mapokezi yake baada ya kushinda tuzo nchini Nigeria. Mtangazaji wa kipindi cha eNEWS alihoji ni sababu zipi zimepelekea Mama Kanumba kushindwa kutokea kwenye mapokezi yake ili hali Mama huyo alishiriki kwenye movie […]

Read More..