Gharama ya Mwili Wangu ni Ada ya Watoto Lon...
Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amesema gharama ya mwili wake ni sawa na kusomesha watoto wawili London. Jb ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Mimi mwili wangu ni wa Kimarekani nimekwenda juu na mnene ndiyo maana hata watafiti wanakiri kwamba hakuna […]
Read More..





