-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Zari Awapa Makavu Wabaya Wake

Post Image

Ni muda mrefu mahusiano ya Diamond na Zari yameelezwa kutokuwa mazuri kutokana na muimbaji huyo kuhusishwa kutoka na warembo wengine. Kuna tetesi nyingi sana zimevuma kwenye mitandao ya kijamii hivi karibuni zikiwahusu Diamond na Zari. Huku tetesi hizo zikimhusisha Diamond kusaliti mahusiano yake kwa kutoka na warembo wengine akiwemo Hamisa Mobetto na mrembo aliyetumika kwenye […]

Read More..

Hiki Ndicho Chanzo cha Bifu la Vera na Hudd...

Post Image

Mrembo kutokea pande za Mombasa nchini kenya, Vera Sidika ametoa sababu ya kuwa na bifu na mlimbwende mwenzake wa nchini humo, Huddah Monroe, bifu ambalo limeteka vyombo vya habari kwa muda mrefu Akifunguka kwenye FNL ya East Africa Tv na Radio, Vera Sidika amesema wakati yeye akiwa Mombasa, Huddah Monroe tayari alishakuwa maarufu jijini Nairobi, […]

Read More..

Vera Sidika Atoa Angalizo Kwa Wasichana Kuh...

Post Image

Mlimbwende ambaye anasumbua katika mitandao ya kijamii kutokana na shepu yake ya kibantu pamoja na kuweka matiti feki, Vera Sidika amewakanya mabinti wengine kutofuata yale aliyoyafanya, kwani wanaweza wakajiingiza kwenye matatizo. Akizungumza kwenye FNl ya East Africa Television, Vera Sidika amesema yeye aliamua kujiongeza matiti yake ili awe na mwili unaoendana na jinsi alivyo kwenye […]

Read More..

Picha: Zari Ajiachia na Mimba Yake!

Post Image

Hizi ni baadhi ya picha za Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ aizotupia mtandaoni kuonyesha mimba yake. Mastaa hao wanatarajia kupata mtoto wa pili na mpenzi wake mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz.  

Read More..

Mchungaji Alowa Maneno ya Mama Wema

Post Image

Yule mchungaji aliyejitokeza hivi karibuni kumuombea muigizaji wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu, Daudi Mashimo, amedaiwa kuvurumishiwa matusi na mama wa staa huyo, Mariam Sepetu alipokuwa akimpigia simu kumuombea. Kwa mujibu wa chanzo chetu, mchungaji huyo anayeongoza kondoo katika Huduma ya Injili ya Maumivu na Uponyaji iliyopo Mbezi-Msakuzi jijini Dar, anadaiwa kukutwa na dhahama hiyo […]

Read More..

Koffi Olomide Akamatwa Nyumbani Kinshasa

Post Image

Mwanamuziki maarufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC amekamatwa akiwa nyumbani kwake mjini Kinshasa. Wiki iliyopita Olomide alitimuliwa kutoka nchini Kenya baada ya video kuonyesha akimpiga teke mnenguaji wake wa kike katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta baada yake kuwasili nchini humo. Lengo la ziara ya Kenya alipangiwa kutumbuiza mashabiki wake Bomas of […]

Read More..

Joyce Kiria ‘superwoman’ wa Wanawake Li...

Post Image

Mtangazaji wa TV, Joyce Kiria pamoja na crew ya kipindi chake, Wanawake Live, wamepata ajali wakati wakielekea mjini Sumbawanga, Rukwa. “Juzi jtano tulianza safari ya kuja Sumbawanga toka kwa lengo la kumtembelea Wankota Binti Shujaa asiekata Tamaa kirahisi wala asieogopa changamoto, na pia ilikuwa tukitoka kwa Wankota, ni safari ya kwenda Mbeya kufanya kampeni ya […]

Read More..

Diamond Kuachia Hii Akiwa na P Square

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametupia picha hiyo hapo chini kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na kundi la P Square pamoja na uongozi wake,  wakiangalia kazi hiyo kama kufanya mapitio na kuandika kuwa anasikia harufu ya hit song. Diamond Platnumz ingawa hajaweka wazi lini kazi hiyo inatoka lakini kuna kila dalili kuwa kazi […]

Read More..

Mwasiti Afunguka Kuhusu Kutoka Sam Misago

Post Image

Mkongwe wa bongo flava Mwanadada Mwasiti amefunguka na kusema kwamba wimbo wake mpya wa Utabaki unaniangalia hauhusiani kabisa na maisha yake ya kimahusano na amesema huo ni wimbo kama nyimbo nyingine na kwamba yeye haimbi kwa kumlenga mtu. Hata hivyo Mwasiti ameiambia Enews kwamba hana mahusiano ya kimapenzi na mtangazaji maarufu hapa nchini Sam Misago […]

Read More..

Alikiba:Unaweza Nichukia, Ukapenda Muziki W...

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa muziki hauna siri na muziki hauna tofauti kati ya mtu na mtu kwani unaweza kuwa una chuki na yeye lakini akiimba muziki mzuri ukapenda kazi yake na kuimba. Alikiba alizidi kutoa ufafanuzi kuwa kama binadamu inawezekana ukatoa labda humpendi mtu fulani au msanii fulani kutokana na mambo yake lakini […]

Read More..

PetitMan:Sipo Endless Fame, Sina Tatizo na ...

Post Image

Aliyekuwa meneja wa wasanii walikuwa kwenye kampuni ya Endless Fame chini ya Wema Sepetu,PetitMan amesema kuwa kwa sasa hayupo tena kwenye kampuni hiyo kutokana na matatizo ya kifamilia lakini hata tatizo na Wema Sepetu na kuwa wanaongea kama kawaida. ‘’Endless Fame nilikuwa kama ‘Coordinator’ na pia nilikuwa meneja wa wasanii, kwa sasa hivi nimesimama kufanya […]

Read More..

Ray C Apelekwa ‘Sober House’ Bagamoyo

Post Image

Muimbaji mkongwe wa muziki nchini, Rehema Chalamila ‘Ray C’ Ijumaa hii amepelekwa Life and Hope & Rehabilitation Centre (Sober House) iliyopo Bagamoyo kwa ajili ya kusaidiwa kuanacha na matumizi ya Madawa ya kulevya, uongozi wa sober hiyo umethibitisha.   Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku moja toka aonekane katika video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii […]

Read More..

Hemed PHD Afunguka Madhara ya Kutoka na Sta...

Post Image

MUUZA sura kwenye filamu za Kibongo, Hemed Suleiman ‘Hemed PHD’ amefunguka kuwa japo ni staa na mtu maarufu Tanzania lakini hata siku moja hajawahi kufikiri kuwa atakuja kujihusisha kwenye uhusiano wa kimapenzi na staa wa kike kutoka Bongo kwa sababu anafahamu madhara yake. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, PHD aliongeza kuwa madhara ya kutoka na […]

Read More..

Ommy Dimpoz: Afunguka Kufungwa Jela Huko Ma...

Post Image

NYOTA wa Bongo Fleva na Bosi wa lebo ya Poz kwa Poz ‘PKP’, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema moja ya matukio ambayo hawezi kuyasahau ni siku aliposwekwa lupango huko Marekani kwa kosa la kutumia vibaya hati yake ya kusafiria. Akibonga na Swaggaz hivi karibuni, Ommy Dimpoz, alisema alikuwa anatokea Uingereza kwenda Marekani, viza aliyokatiwa na […]

Read More..

Rama D Afunguka Kuhusu Yeye na Lady Jay Dee

Post Image

Mwanamuziki wa R&B nchini Tanzania Rama D, amekanusha vikali habari zilizotapakaa mtandaoni kwamba kwa sasa anatoka kimapenzi na mwanadada Lady Jay Dee, amesema wanaheshimiana sana na haiwezi kutokea kitu kama hicho daima . Hata hvyo Rama D ameendelea kusema kwamba yeye anamfaham mpaka mpenzi wa mwanadada Lady Jay Dee na kusema hata siku ya show […]

Read More..

Video: Ray C Apewa Msaada na Polisi ya Baad...

Post Image

Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C usiku wa jana alikamatwa na jeshi la polisi maeneo ya Kinondoni Manyanya almaarufu ‘Kinondoni kwa Mpemba’ jijini Dar es salaam baada ya kupiga makelele barabarani akidai anataka kutekwa. Muimbaji huyo mahiri ambaye ameathirika na Matumizi ya madawa ya kulevya, alidaiwa kufika katika eneo hilo na kuomba msaada […]

Read More..

Shilole Kunogesha ‘Hainaga Ushemeji&#...

Post Image

Msanii wa nyimbo za singeli MANFONGO amefunguka ndani ya Enews kuhusiana na wimbo wake mpya wa HAINAGA USHEMEJI ambao video qeen ni mwanadada shilolee. Manfogo ameiambia E news kwamba hakumshirikisha shilole katika video yake ili kuuwa winbo wa chura kama watu wanavyoongea bali yeye alimpigia simu mwana dada shishi na kumuomba amtafutie video queen wa […]

Read More..

Picha: Muonekano Mpya wa Chid Benz

Post Image

Mkali wa Hip Hop hapa Bongo,  Chidi Benz amefanikiwa kuirudisha afya yake baada ya kuachana na matumizi ya Madawa ya kulevya na hizi ni baadhi ya picha zake za hivi sasa ziklizoweka mtandaoni. NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. KAMA UNATAKA KUWA […]

Read More..