-->

Tag Archives: WOLPER

Wolper, Dk. Fadhili Siri Yao Yavuja

Post Image

Siri imevuja! Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dar, Dk. Fadhili Emily amedaiwa kumponza mwigizaji Jacqueline Wolper kwa mpenzi wake wa sasa, Mkongo baada ya picha yake kukutwa kwenye simu ya mwigizaji huyo. Chanzo kilicho karibu na Wolper kimepenyeza habari kuwa Wolper ambaye yupo nchini Afrika Kusini akijivinjari na Mkongo wake, […]

Read More..

Wolper, Mkongo Watimkia Sauzi!

Post Image

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper na mpenzi wake Mkongo, wamedaiwa kuuza magari yao na kutimkia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’. Chanzo makini kilichoomba hifadhi ya jina, kimepenyeza ubuyu kuwa miezi kadhaa iliyopita, maisha ya Wolper na Mkongo huyo yalibadilika na kuwa magumu hivyo katika kusaka suluhisho la kujikwamua, wakaamua kuuza magari yao na kwenda […]

Read More..

Wolper Awapigia Saluti Wabongo Huko Insta

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ameonyeshwa kushangazwa na baadhi ya wabongo kwenye mtandao wa instagram kwajinsi wanavyopenda kusukiongeza kwa kile mtu atakachokiandika. “Some people are just waiting for that sad news about you. May they wait till they perish mtu akifunguka kidogo mnajiongeza namnayoyajua dah kweli waTz insta mzungu alituletea sisi natujipigie makofi […]

Read More..

Tukumbuke Kuwa Haya Maisha Ya Duniani ni ya...

Post Image

Kutoka kwenye ukurasa wake mtandaoni,nyota wa bongo movies, Jacqueline Wolper ametukumbusha hili. Kuna wakati tunatatakiwa tujue na tukumbuke kuwa haya maisha ya duniani ni ya kupita kuanzia binadamu pamoja na vitu vya duniani. Binadam tunajisahau sana tunawaza kutafuta mapesa na magari ya kifahari na majumba ya kifahari lakini hatujipangi kutafuta maisha ya huko tuendako yani […]

Read More..

Wolper Akanusha Kuihama CHADEMA na Kukataa ...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Jacqueline Woper ambaye alikuwa msatari wa mbele kumpigia kampeni aliekuwa mgombe urasi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye uchaguzi wa mwaka jana, Mh. Edward Lowassa amekanusha habari iliyoripotiwa na moja ya magazeti ‘pendwa’ kuwa kwa sasa staa huyo ameshajitoa CHADEMA na hataki tena kuitwa mtoto wa Lowassa ‘Jacqueline […]

Read More..

Tiffah Dangote Anawasumbua Wengi-Wolper

Post Image

Hapa na Pale: Staa wa Bongo movies, Jacqueline Woper ambaye siku za hivi karibuni ameonekana kuwa karibu na falimila ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz amefunguka hayo kupiytia ukurasa wke myandaone mara baada ya kubandika picha ya mtoto Tiffah. Tiffah Dangote..mtoto anawasumbua wengi huyu…!Naona mpk kuna wengine wanahisi wanalingana na Tiffah maana sio kwa […]

Read More..

Wolper Akiri Kujipendekeza kwa Diamond na Z...

Post Image

BAADA ya kupata wakati mgumu wa kushambuliwa na maneno kila akiweka picha mtandaoni ya Diamond ama Zari, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ ameweka wazi kwa kuwajibu, haoni tatizo kujipendekeza kwa hao watu. Akichezesha taya na Amani, Wolper alisema kuwa, ilifika kipindi katika ukurasa wake wa Instagram watu wengi walikuwa wakimshambulia kwa maneno na […]

Read More..

Mama Diamond, Wolper Wafunika Kwenye Je Uta...

Post Image

Kuna msemo usemao “experience is the best teacher”, msemo huu umekamilika kupitia mama mzazi wa msanii Diamond Platnums , baada ya kuigiza kama mama ambaye ana maisha magumu kupitiliza,huku akiwa ameuvaa uhusika vilivyo kupitia video mpya ya msanii huyo ambaye ni mwanae wa kumzaa huitwao, je utanipenda. Mama diamond, ni kati ya watu wachache waliotumika […]

Read More..

Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara

  “Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga […]

Read More..