-->

Category Archives: Artists News

Kiingereza Kikwazo Kwetu- Jaqueline Wolper

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Jacqueline Wolper, ameweka wazi kwamba wasanii wengi wa Tanzania wanashindwa kufanya filamu na wasanii wa nje kwa sababu hawaifahamu vyema Lugha ya Kiingereza. Wolper alisema kwake lugha ya kiingereza ni changamoto kubwa ndiyo maana hawezi kufanya filamu za kushirikiana na wasanii wa nje kama baadhi ya wasanii wanavyofanya. “Wasanii wachache ndio […]

Read More..

Wema, Jike Shupa Kimenuka!

Post Image

Ule ushosti wa staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na muuza sura kwenye video za wasanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ unadaiwa kuvunjika na sasa kila mmoja yupo na mambo yake, Risasi Jumamosi linatiririka. Chanzo makini kililieleza gazeti hili kuwa wawili hao kwa sasa hawana ushosti tena kutokana na watu […]

Read More..

Alikiba Kuweka Muziki Wake Wasafi.com, Sawa...

Post Image

Kwa takribani miaka mitatu sasa mafahari wawili wa muziki wa kizazi kipya yaani Bongo Flava Alikiba na Diamond Platinumz wamekuwa katika bifu zito sana, licha ya wao kujaribu kila siku kuukwepa ukweli huo. Hakuna kati yao ambaye amewahi kujitokeza hadharani na kukiri uhasama kati yao lakini ni wazi kuwa watu hawa hawapikiki chungu kimoja. Mara […]

Read More..

TIGO: Bando lako #Halichachi

Post Image

Sasa unaweza kutumia dakika za maongezi, sms, na MB’s zako bila presha ya muda mpaka ziishe. Bando lako #Halichachi

Read More..

Video: Vita ya Maneno kati AY na Mona Gangs...

Post Image

Msani wa bongo fleva AY amewataka watayarishaji wa muziki kuwa karibu na wasanii wao kila wanapoenda kwenye ‘tour’ mbalimbali ili kuweza kujifunza mambo mengi zaidi na kuongeza ubunifu. Akiongea kupitia eNewz AY amesema alipotoa hiyo kauli aliitoa kama wazo lakini producer  Mona Gangstar amesema yeye anawaza pesa na siyo kuzurura na msanii ili kuongeza ufahamu wake kwa kuwa wasanii hawapendi […]

Read More..

TigoApp: Pata Huduma Zote za Tigo Kupitia S...

Post Image

Sasa Tigo inakuletea huduma zote za Tigo kupitia simu yako ya mkononi. Tumia hii huduma sasa kurahisisha maisha yako! #TigoApp  

Read More..

Wasanii Bongo Umoja Wetu ni wa Misibani Tu:...

Post Image

Muigizaji wa kundi la Zecomedy la EATV, Mtanga amesema wasanii nchini hawana umoja kama watu wanavyodhani ila umoja huonekana pindi kukiwa na tatizo la msiba ndipo wasanii hukutana kwa umoja. Mtanga ameyasema hayo kupitia kipindi cha SUPAMIX ‘Kamatia Kitaa’ ambacho kimefanyika katika stendi ya Morocco Jijini Dar es Salaam ambapo kundi la Zecomedy limejumuika na wananchi […]

Read More..

Picha: Alikiba Atua Afrika Kusini Kwenye Tu...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Alikiba ametua nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki kwenye utoaji tuzo za MTV MAMA akiwa na kiongozi wake wa Rockstar4000, Seven Mosha, meneja wake anayetambulika kwa jina la Aidan pamoja na Barakah The Prince. Alikiba ni miongoni kati ya wasanii watakaotumbuiza kwenye tuzo hizo Jumamosi hii ya Oktoba 22 mjini […]

Read More..

Eshe Buheti Miaka 13 ya Ndoa, Siyo Mchezo

Post Image

MIONGONI mwa wasanii nyota wa filamu za Kibongo ni pamoja na Eshe Buhet. Uwezo wake wa kuigiza ndiyo uliomfikisha alipo leo hii, msanii huyu ambaye mchango wa mkongwe, Issa Mussa ‘Cloud 112’ ni mkubwa maana ndiye prodyuza wa kwanza kumchezesha na kumtambulisha. Eshe ambaye ni mzaliwa wa Tanga na kulelewa jijini humo alikuja jijini Dar […]

Read More..

Fella Agonga Mwamba kwa Juma Nature

Post Image

Mkurugenzi wa Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella ameonekana kugonga mwamba juhudi zake za kutaka kurudisha mahusiano yake ya kazi na msanii wake wa zamani wa Kundi la TMK Family, Juma Nature. Hapo awali Juma Nature alikuwa msanii wa Kundi la TMK Wanaume Family la Mkubwa Fella lakini baadae aliondoka na kwenda kuanzisha […]

Read More..

Chuchu Hans: Simtawali Ray, Nimembadilisha

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kuwa staili yake ya maisha imechangia kumbadilisha tabia mpenzi wake Vincent Kigosi ‘Ray’, ambaye pia ni msanii wa filamu. Chuchu aliye Miss Tanga mwaka 2005 amesema anakerwa na maneno ya watu mitandaoni kwamba anamtawala Ray, wakati ukweli ni kwamba wanaishi kwa kusikilizana. “Watu wanaongea sana uzushi, kitu […]

Read More..

Wema na Idris Kama Chris Brown na Karrueche

Post Image

Hii sasa kali, uhusiano wa mlimbwende kwenye tsnia ya Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Mchekeshaji, Idris Sultan umekuwa kama ule wa rapa, Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Karrueche Tran, wazungu wanauiita ‘off and on.’ Baada ya hivi karibuni kuzinguana tena hadi kumfanya Idris ajiondoe Instagram hadi sasa, wawili hao wanaonesha kuanza kutafuta suluhu. […]

Read More..

Man Fongo Awachimba Mkwara wa Bongo Fleva

Post Image

Kwa kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli, ni wazi kwamba unaelekea kuupoteza muziki wa Bongo Fleva kutokana na kasi ya kuenea kwake hapa nchini, jambo linalosisitizwa na mkali anayetesa katika muziki huo, Amani Hamisi ‘Man Fongo’. Man Fongo ambaye amepachikwa jina la Mfalme wa Singeli, anayesumbua na kibao chake cha Hainaga Ushemeji amesema wasanii wa […]

Read More..

Mtunzi wa Fiamu,Ally Yakuti Adai WalikoseaK...

Post Image

Ameandika filamu zaidi ya 100 zikiwamo maarufu kama Swahiba, Agano la urithi, Yellow Banana, Oprah, Hot Sunday, Family Tears, Fake Smile, Peace Of Mind, More Than Pain, Devil Kingdom na Foolish Age. Huyu ni mtunzi mahiri Afrika Mashariki, Ally Yakuti. Akifanya mahojiano na Starehe Yakuti anayataja mambo manne ambayo kwa njia moja ama nyingine yamerudisha […]

Read More..

Monalisa: Afungukia Maigizo ya Jukwaani,Mko...

Post Image

WAIGIZAJI wakongwe kwenye tasnia ya filamu nchini Tanzania, Yvone Cherry ‘Monalisa’ na mama yake mzazi, Suzan Lewis ‘Natasha’, wamesema sanaa za jukwaani zitasaidia kipindi hiki ambacho soko la filamu linaonekana kuyumba. Waigizaji hao walioanza kuigiza jukwaani muda mrefu, walisema hayo baada ya kushirikishwa katika igizo la ‘Mrs Lucy goes to Africa’ lililoonyeshwa juzi katika Ukumbi […]

Read More..

Shamsa Adaiwa Kujitwalia Bwana wa Wolper

Post Image

DAR ES SALAAM: Ubuyu ulionyooka mjini kwa sasa unamgusa staa wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford ‘Chausiku’ anayedaiwa kujitwalia mwanaume aitwaye Chid Mapenzi huku nyuma yake kukiwa na mazito kwamba, mwanaume huyo aliwahi kumilikiwa na mwigizaji Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’. Kumekuwa na habari za chini kwa chini kuwa Shamsa anatoka na Chid Mapenzi ambaye ni […]

Read More..

Waandaaji wa filamu Zilikamatwa Wajisalimis...

Post Image

Hayo yamebainishwa na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo alipokuwa akifanya mahojiano na mmoja wa waandaaji wa Filamu nchini aliyekutwa na kadhia hiyo Bw. Akim Igembe kutoka Kampuni ya Akim Master Film baada ya Filamu yake ijulikanayo kwa jina la “Mapenzi Uchizi” bango lake lilikutwa sokoni likiwa na alama ya Uhakiki […]

Read More..