-->

Daily Archives: January 17, 2016

Sabby: Mapenzi Kwangu No

Post Image

MSANII wa Bongo movies Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amesema katika kipindi hiki cha kasi ya Rais John Magufuli, hana muda wa kuhangaika na mapenzi, badala yake yeye atachapa kazi tu. Akizungumza na gazeti hili, msanii huyo alisema kumekuwa na wimbi kubwa la wezi wa mapenzi wanaotumia fedha, lakini kwake ni bora ajibidishe kivyake ili apate […]

Read More..

Habari Njema Kutoka kwa Shamsa na JB

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amewadokeza mashabiki wake kuwa wakae mkao kula kwani hivi sasa wapo chimbo NA jb wakiandaa kazi mpya itakayo kwenda kwa jina la BI MAPOZI. “Movie inayokuja nitakuwa na big boss, si unajua vicwa hivi viwili vikikutana. Itakuwa ni balaaa. Bonge la Movie inaitwa ( BI MAPOZI.)” Shamsa aliandika […]

Read More..

Nuh Mziwanda: Nilishaficha Mambo Mengi Sana...

Post Image

Nuh Mziwanda amedai kuwa aliyofanyiwa na Shilole ni mengi na mazito ambayo ilibidi ayafiche kwa maslahi ya penzi lao na heshima kwake. Akiongea kwenye kipindi cha D’Weekend Chat Show cha Clouds TV Ijumaa hii mbele ya Shilole aliyekuwa amejikunyata pembeni kwa kukasirishwa na uwepo wa ex wake studioni hapo bila kutaarifiwa mwanzoni, Nuh alisema Shilole […]

Read More..

Anti Lulu Afurahia Wastara Kuolewa

Post Image

MWANADADA Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ameweka wazi kuwa, amefurahishwa na Anti Lulu aliyewahi kuwa kwenye bifu zito na Wastara kisa kikiwa ni penzi la mtangazaji na msanii Bond Bin Sinan alisema: “Nampongeza kwa moyo safi nitamuombea ndoa yake idumu kwani ameonesha mfano bora kwa sisi tunaohangaika tu. ”nti Lulu afurahia Wastara kuolewa hatua ya Wastara Juma […]

Read More..