RJ Mbioni Kudondosha ‘Tajiri Mfupi’-Ray
Muigizaji mkongwe na mkurugenzi wa kampuni ya RJ inayojihusisha na utengenezaji wa filamu hapa bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amedokeza kuwa kwa sasa kampuni hiyo ipo mbiyoni kuachika filamu yao mpya inayokwenda kwa jina la TAJIRI MFUPI. ‘Kampuni yako ya kizalendo nchini Tanzania RJ company (Best Quality Ever!) ipo mbioni kudondosha mzigo wa kufa mtu […]
Read More..