Ray Kufungua Mwaka na ‘Tajiri Mfupi’
Staa mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye pia ni moja kati ya wakurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya RJ anatarajia kufungua mwaka huu wa 2016 kwa kuuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Tajiri Mfupi ikiwa imesheheni mastaa wakali kama Ray mwenyewe, Muhogo Mchungu, Batuli na wengineo. Akiongea na chanzo […]
Read More..