Rapper Chidi Benz akisamehewa na akipata ms...
Hakuna mtu aliyemkamilifu chini ya jua au Dunia hii tunayoishi. Chidi Benz naye ni binadamu, anamakosa yake kama mtu mwingine yeyote yule. Kwa wale aliowakosea basi hana budi kuwaomba msamaha wa dhati na najua wakijua kuna Mungu wataweza kumsamehe. Kitendo alichofanya Meneja wa wasanii wa muziki kutoka Tip Top connection ndugu Hamisi Tale Tale maarufu […]
Read More..





