Ray c Anaswa Kazimika
Ray C akiwa hoi na kinachodaiwa kuwa ni utumiaji wa madawa ya kulevya. Stori: Musa Mateja, Wikienda DAR ES SALAAM: LICHA ya kutumia nguvu nyingi kukanusha habari zinazochapishwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuwa, amerejea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amenaswa ‘laivu’ akiwa […]
Read More..





