-->

Author Archives: editor

Belle 9: Siwezi Kufanya Singeli, Atoa Sabab...

Post Image

Belle 9 amesema hafikirii kabisa kufanya muziki wa Singeli. Muimbaji huyo wa R&B amesema huo ni muziki wa kupita na katu hauwezi kudumu. Alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa swali na mtangazaji wa kipindi cha Supa Mega cha Kings FM, Prince Ramalove iwapo atafanya muziki huo mashabiki wakimtaka. “Sitegemei,” alisema Belle. “Hata kama nitafanya, sitofanya […]

Read More..

Diamond:Zamani Nilikuwa Namuiga Barnaba

Post Image

Diamond amesema wakati anaanza muziki, alikuwa anamuigiza Barnaba lakini baadaye akaja kupata njia yake mwenyewe. Alisema hivyo kujibu swali la anaonaje pale anapomsikia Harmonize akiimba kama yeye. Akiongea kwenye kipindi cha The Base cha ITV, Diamond alisema, “Unajua katika muziki kila mtu ana role model wake. Mimi wakati naanza nilikuwa nawaangalia sana Ne-Yo na Usher […]

Read More..

Dokii Afunguka Kukosa Madili, Atoa Wito Huu

Post Image

Muigizaji wa filamu na mwanamuziki nchini maarufu kwa jina la Dokii, amefunguka na kusema kuwa tangu alipo tangaza kuokoka amekuwa akikosa madili mengi sana kwenye tasnia ya filamu nchini. eNewz ilipiga story na Dokii na alisema amekuwa akikosa kazi za u ‘MC’ na sanaa aliyokuwa akiifanya kutokana na watu wengi waliokuwa wakivutiwa na ukataji wake […]

Read More..

Malaika Afungukia Yale Yanayomuumiza

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Malaika ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Rarua’ amefunguka na kusema kuwa watu wanapokuwa wakitumia picha zake au wakiandika mambo yanayohusu maisha yake binafsi ni kitu ambacho kinamuumiza sana.   Malaika alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz Kwa Ngaz’ kinachorushwa na EATV na kudai kuwa muda mwingine […]

Read More..

Meneja wa Diamond Aeleza Ukweli Kuhusu Mada...

Post Image

Baada ya Alikiba kudai alifanyiwa ‘figisu’ kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music [Festival] lililofanyika weekend iliyopita huku akimtuhumu meneja wa Diamond, Sallam kuhusika, Sallam amefunguka na kuzungumzia tuhuma hizo pamoja na kilichompeleka katika tamasha hilo. Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia kuonekana kupata mushkeli/kuzimwa na kumlazimu kuondoka jukwaani na muda mchache […]

Read More..

Baraka The Prince Hakuniangusha – Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa msanii Baraka The Prince hakumuangusha kabisa kwenye wimbo wao wa pamoja ‘Nisamehe’ Alikiba amesema kuwa kwake yeye ilikuwa rahisi sana kukubaliana na wazo la Baraka kwa kuwa msanii huyo kwanza anakipaji kikubwa lakini pia ni watu ambao wanaendana katika kazi. Alikiba alisema haya kupitia kipindi cha Planet Bongo ya […]

Read More..

Wema Awavaa Wanaomsema Vibaya Aunt Ezekiel

Post Image

SUPA-STAA Wema Isaac Sepetu ‘Madam’, amefunguka kuwa anachukizwa na watu wanaomtolea matusi muigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel, baada ya kuhudhuria sherehe ya kuzaliwa ya mzazi mwenza wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Akizungumza na Za Motomoto News, Wema alisema unatakiwa ufike wakati watu waelewe na waongozwe kwa akili zao za kuzaliwa […]

Read More..

Faiza Ally: Wasanii wa Filamu Tanzania Wata...

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania, Faiza Ally amefunguka kuhusiana na mwenendo wa tasnia ya Bongo Movie inayoendelea kwa sasa. Kupitia mtandao wa Instagram, muigizaji huyo amedai kuwa kwa sasa uigizaji si kazi ya kuichagua kuifanya labda uwe na njia mbadala tofauti na iliyopo sasa. Katika wasanii ambao wengi watakufa maskini Tanzania ni wasanii wa filamu… Na […]

Read More..

Tausi Mdegela: Sina Mahusiano ya Kimapenzi ...

Post Image

Muigizaji na mchekeshaji kwenye tasnia ya Bongo Movie, Tausi, amesema hana mahusiano yeyote nje ya kazi na Hemed PHD huku akisema huwa wanakutana kambini na hana hata namba ya simu ya msanii huyo. Tausi ameibuka na kusema hivyo baada ya kuwepo uvumi wa kujimwaga na staa huyo ambapo aliiambia eNewz “Hemedy ni msanii mwenzangu tu […]

Read More..

Lulu:Nimekataa Dili Kadhaa Kutoka Nigeria

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth ‘Lulu ‘ Michael amefunguka kwa kudai kuwa tangu alipopata tuzo ya AMVCA 2016 amekataa dili kadhaa kutoka kwa wasanii wa muziki wa Nigeria. Muigizaji huyo ameitaja sababu ya kukataa dili hizo imetokana na yeye si mwanamuziki wala video vixen. “Nimepata dili kama mbili tatu kutoka Nigeria za kuigiza filamu […]

Read More..

Linah Sanga Afunguka Kuhusu Ujauzito

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Linah Sanga maarufu kama ‘Ndege Mnana’ amefunguka na kusema kwa sasa hana ujauzito kama ambavyo watu wanahisi ila amedai kuwa yeye mwenyewe anatamani kuwa na mtoto na kusema muda si mrefu huenda mambo yakawa hivyo. Linah Sanga alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live ya EATV na kusema hivi sasa […]

Read More..

Nay wa Mitego: Ya Barakah na Stan Bakora in...

Post Image

Nay wa Mitego amedai kuwa kinachoendelea kati ya Barakah The Prince na Stan Bakora, kinaweza kuwa kitu cha kutengeneza. Akiongea na mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove, rapper huyo amewaita wawili hao wote watoto na kwamba umri wao unawaruhusu kufanya wwanachokifanya. “Siwezi kusimama upande wowote, hao ni watoto, wote ni wadogo mimi ni wadogo zangu,” […]

Read More..

Saida Karoli Atamani Collabo na Diamond

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amesema msanii Saida Kalori alimwambia kwamba anatamani kufanya naye kazi. Diamond ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha FNL cha EATV ambapo ameweka bayana kwamba wimbo ‘Salome’ ambao unaendana kabisa na wa Saida Kalori ulipata Baraka zote kutoka kwake na walipowasiliana kwa njia ya simu alimwambia anatamani kufanya naye kazi. […]

Read More..

Ditto Atoboa Siri ya Kufanya Nyimbo Zinazoi...

Post Image

Muimbaji na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema muziki wake bado unamlipa zaidi kupitia ring tone na hiyo ndio ilikuwa shabaha yake; kufanya nyimbo ambazo zitaishi kwa muda mrefu. Akiongea na Clouds E ya Clouds TV, Ditto alisema, “Unajua licha ya kuwa kimya kwa muda ila nyimbo zangu huwa zinakaa muda mrefu. Mtu akisikiliza kama […]

Read More..

Filamu ya ‘Afande Chacha’ Kuonyeshwa Si...

Post Image

Afande Chacha ni moja kati ya filamu bora zaidi kutoka Step Entertainment iliyojumuisha mastaa wakali wa bongo movie wakiweno Riyama Ally, Hemmed  PHD na Mzee Majuto. Kwa mara ya kwanza itaonyeshwa ijumaa tarehe 14 mwezi  kupitia Sibuka maisha channel 111 kwenye startimes kuanzia saa 3 usiku ni bongo movie bandika bandua.  

Read More..

Amber Lulu Afungukia Kukamatwa na Unga

Post Image

Kufuatia madai ya kukamatwa akisafirisha madawa ya kulevya ‘unga’ jijini Arusha kuelekea China, video queen matata Bongo, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ amefungukia ishu hiyo akidai kuwa anaamini ilitengenezwa na watu walioamua kumchafua. Amber Lulu aliliambia Wikienda kuwa alishangaa kuona mitandaoni kwamba amekamatwa na unga, lakini hakuna kitu kama hicho kwani hajawahi kukamatwa. Kabla ya kumpata […]

Read More..

Alikiba Atoa Madai Haya Kuhusu Tamasha la M...

Post Image

Hatimaye Alikiba ameeleza sababu ya kukatizwa kwa show yake kwenye tamasha la Mombasa Rocks ambalo Chris Brown pia alitumbuiza. Kwenye tamasha hilo, Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia kuonekana kupata mushkeli/kuzimwa na kumlazimu kuondoka jukwaani. Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Willy Tuva akiwa […]

Read More..

Nini Kimemfanya Snura Amng’ang’anie Chura?

Post Image

Kwa kawaida wasanii wengi ambao nyimbo zao hufungiwa, huachana nazo na kuendelea na nyingine, lakini kwa Snura imekuwa tofauti baada ya kuamua kukomaa hadi alipotimiza masharti yote na kuruhusiwa kuendelea na Chura wake. “Nimekubaliana na maelekezo ya serikali na nimebadili video ya wimbo wangu wa Chura na sasa umeruhusiwa rasmi. Lakini najua watu wengi watakuwa […]

Read More..